Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nazungumzia kiungo mkabaji mwenye uwezo wa kucheza no 6 tunae mmoja tu ambaye ni Laiva na mara nyingi ni majeruhi nafikiri angemtumia Veiga na Caicedo katikati balance itakuwa nzuri kuliko Enzo na Caicedo kwasababu kama ni pass Veiga ni mzuri, anajua kukaba na ni mtulivu
Mzee unajua kuchambua ball hope ulishawahi kuwa kocha mahali flani, Veiga amepangwa Kiungo tuone vyenga sasa.
 
Hopefully Veiga atakichafua Sana hapo katikati na kuwavuruga wababe Bournemouth ,wasumbufu sana hawa wahuni , Enzo ni majeruhi nini ?
Maana Enzo Kula benchi ni nadra sana ,labda akiwa majeruhi .
Ngoja tuone combination ya Veiga na Caicedo itakuwaje
 
Unataka kusema ile hatrick aliyopata mwafrika kaokota pochi ya mzungu😀😀😀😀😀😀
Hata leo hii unachukuliwa hapo unapelekwa pale stamford bridge unawekwa pemben palmar hujawahi kucheza mpira maisha yako yote utashindwa kufunga magoli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom