Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Viungo kwa maana ya Central Midfielders (CM) wako wanne kama sijakosea na kwa mfumo wa Enzo hata Fullback ni viungo kwa hiyo ongeza Gusto, James, Veiga na Cucurella. Kwa kweli midfield iko crowded. Personality ya mtu mmoja huwezi replace bali mfumo uanwez akumreplace
Veiga anaweza cheza sita pia vizuri sana,hiyo sehemu ya lavia
 
Kepa kapelekwa kwa mkopo Bournemouth , mimi nachagua Kepa over Sanchez anyday anytime .
Tino Anjorin ameuzwa Empoli ya Italy .
Halafu tunamtoa Kepa kwa mkopo na kusajili kipa mwingine leo ,kuna dogo mmoja wa Belgium tumemsajili leo anaitwa Mike Penders , Hawa wamarekani wanafanya money laundering nini ?
Maana kwa volume ya mauzo na manunuzi tunayofanya kwa misimu hii miwili ,Chelsea ndio club inayoongoza kufanya biashara kwa sasa ,si mchezo aisee
Hofu yangu ni huko mbeleni kubananishwa na Lungu la financial fair play
Kusajili Sanchez ilikuwa ni upuuzi
 
Yaani tuna lile lizee Marcus Bettinelli miaka yote ,imagine .
Tungeweza kuwa na Jorgensen ,Petrovic na Kepa kama back up
 
Kepa kapelekwa kwa mkopo Bournemouth , mimi nachagua Kepa over Sanchez anyday anytime .
Tino Anjorin ameuzwa Empoli ya Italy .
Halafu tunamtoa Kepa kwa mkopo na kusajili kipa mwingine leo ,kuna dogo mmoja wa Belgium tumemsajili leo anaitwa Mike Penders , Hawa wamarekani wanafanya money laundering nini ?
Maana kwa volume ya mauzo na manunuzi tunayofanya kwa misimu hii miwili ,Chelsea ndio club inayoongoza kufanya biashara kwa sasa ,si mchezo aisee
Hofu yangu ni huko mbeleni kubananishwa na Lungu la financial fair play
Kusajili Sanchez ilikuwa ni upuuzi
Hivi wewe ulimsikia Kepa akiisema vibaya Chelsea akiwa Real Madrid kwa mkopo. Alidhani Real Madrid wangemchukua kabisa, Menatlity chafu kama zile za Kepa na Lukaku hazitakiwi darajani. Hata kama angekuwa kama Bufon hatumtaki Chelsea huyo kilaza
 
Yaani tuna lile lizee Marcus Bettinelli miaka yote ,imagine .
Tungeweza kuwa na Jorgensen ,Petrovic na Kepa kama back up
Bettineli ni backup, huwezi mweka kipa kijana awe backup, hatakaa, forget it
 
Chelsea imeshatoa ofa ya kwanza rasmi kwa Victor Osimhen, iliyowasilishwa kwa wakala Calenda.

Katika saa chache zijazo inawezekana kwamba mazungumzo na Napoli yataanza.
~
@DiMarzio

1724794773945.png
 
Huu upepom umekuja ukapita, sijui kama Chelsea wako serious na Ivan Toney
Aidha ilivumishwa tu na media au Chelsea wameamua kufanya ili kushuinikiza Napoli na Victor Osimhen waamue kwa haraka
Kama nilivyosema sa ile, taarifa za SkySports zilikuwa fake news ili tu kulazimisha kambi ya Osimhen kulainika na kukubali mjadala
.
 
Ninapenda jinsi Maresca anavyosimamia mazoezi ya wachezaji ingawa yeye hatoi mazoezi makali ya mwili. Nadhani hatutakuwa na majeraha mengi ya misuli msimu huu, ikiwa tukiwa nao, haitakuwa kubwa kama ilivyokuwa miaka miwili ya nyuma.

Sisemi kuwa hatutakuwa na majeraha, lakini huenda haitakuwa mbaya kama ilivyokuwa miaka ya hivi karibuni. Pia, kuwa na wachezaji wanaoweza kucheza nafasi nyingi hurahisisha balance ya kwenye timu hata pale wachezaji muhimu wakiwa hawapo.

Hili tulilalamikia kwamba mazoezi ya Pochettino yalikuwa ya kizamani na yenye kuweka mzigo mkubwa kwa wachezaji na kusababisha matatizo ya misuli na hivyo kuongeza majeruhi yasiyotakiwa na yanayoweza kuzuilika.

Hii ndio appraoch ya Kipara na ndio maana Man City hawana majeruhi wengi.

Kama tukifanikiwa kwenye hilo na balance ikawepo kwenye defensi yetu, top 4 tumeingia kwa sababu sio Spurs, Aston villa au Man u wataweza kutuzuia
 
Ninapenda jinsi Maresca anavyosimamia mazoezi ya wachezaji ingawa yeye hatoi mazoezi makali ya mwili. Nadhani hatutakuwa na majeraha mengi ya misuli msimu huu, ikiwa tukiwa nao, haitakuwa kubwa kama ilivyokuwa miaka miwili ya nyuma.

Sisemi kuwa hatutakuwa na majeraha, lakini huenda haitakuwa mbaya kama ilivyokuwa miaka ya hivi karibuni. Pia, kuwa na wachezaji wanaoweza kucheza nafasi nyingi hurahisisha balance ya kwenye timu hata pale wachezaji muhimu wakiwa hawapo.

Hili tulilalamikia kwamba mazoezi ya Pochettino yalikuwa ya kizamani na yenye kuweka mzigo mkubwa kwa wachezaji na kusababisha matatizo ya misuli na hivyo kuongeza majeruhi yasiyotakiwa na yanayoweza kuzuilika.

Hii ndio appraoch ya Kipara na ndio maana Man City hawana majeruhi wengi.

Kama tukifanikiwa kwenye hilo na balance ikawepo kwenye defensi yetu, top 4 tumeingia kwa sababu sio Spurs, Aston villa au Man u wataweza kutuzuia
Majeraha mengi yalitucost sana msimu uliopita
 
Mechi ijayo tuna Palace , hawa midtable underdogs ndio wa kuwabaka goli za kutosha na kuhakikisha tunakusanya points nyingi ili kujiweka vizuri zaidi .
Ule msimu wa poch kwa kweli ilikuwa fedheha sana , yaani hadi palace na vilaza burnnely walitusumbua sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom