Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

@Cash Money Forever


Huyu Maresca tungekuwa naye tangu mwanzo hii timu ingekuwa mbali sana, yuko kama magufuli
Wachezaji hewa wote waliokuwa wanakula nyamunyamu bure wanatumbuliwa

@Cash Money Forever


Huyu Maresca tungekuwa naye tangu mwanzo hii timu ingekuwa mbali sana, yuko kama magufuli
Wachezaji hewa wote waliokuwa wanakula nyamunyamu bure wanatumbuliwa
Ila asiwe sasa anawapanga wachezaji sehemu sio nafasi zao
 
Huwa nashikwa na butwaa napoambiwa Madueke ni zaid felix, wakat madueke akili ya mpira ipo kwenye rasta, anachojua ni kukimbia na mpira tu kama mwehu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tapeli mwingine huyu
 

Attachments

  • 20240821_144601.jpg
    20240821_144601.jpg
    2.9 MB · Views: 13
Wakuu usajili uko mbioni kuisha bado sijaona dalili zozote kumsajili Striker Osimheni wala Central Back zaidi ya mawinga tu, bodi kuu ya usajili ya Chelsea SC inakwama wapi?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Wakuu usajili uko mbioni kuisha bado sijaona dalili zozote kumsajili Striker Omsehini wala Central Back zaidi ya mawinga tu, bodi kuu ya usajili ya Chelsea SC inakwama wapi?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Nimeona Chelsea inamtaka Joe Gomez beki wa Liverpool
 
Maresca:

"Ukikatili? Sidhani. Ninajaribu kuwa muwazi. Nilisema, naweza kurudia ikiwa haijulikani.

"Nilimwambia Sterling atahangaika kupata dakika na sisi, nikasema Chilly ni kijana mzuri lakini anahangaika sana kupata nafasi nzurin ya kucheza na sisi, sidhani kama huu ni ukatili, bali ni uwazi tu"

Maresca:

"Brutal? I don't think so. I try to be honest. I said, I can repeat if it's not clear,

“I said to Sterling he is going to struggle for minutes with us, I said Chilly is a lovely guy but he’s struggling to find a position with us, I don’t think this is brutal, just honest”
 
Maresca on Joao Felix:
“Felix is a good player, he’s a talent, I think the good thing about him is he can play different positions, inside, outside, number 9, this is why we buy him”

Maresca kuhusu Joao Felix:
"Felix ni mchezaji mzuri, ana kipaji, nadhani kitu kizuri kwake anaweza kucheza nafasi tofauti, ndani, nje, namba 9, ndiyo maana tumemnunua"

1724243767361.png
 
Joao Felix: "I’ve developed as a player in a lot of ways: the perception of the game, and the spaces the ball can arrive easily where I can make more impact. I try to figure it out by watching some videos of me of my games.I’ve kind of changed since I was last here. I’m 24 now. I’ll be 25 in November. I feel like I grew up as a player. That’s normal with age. I’m more prepared for the Premier League."

Joao Felix: "Nimekua kama mchezaji kwa njia nyingi: kimtazamo wa mchezo, na nafasi ambazo mpira unaweza kufika kwa urahisi ambapo ninaweza kuleta matokeo zaidi. Ninajaribu kubaini hilo kwa kutazama baadhi ya video zangu. ya michezo yangu.

Nimebadilika tokea nilipokuwa hapa mara ya mwisho. Nina miaka 24 sasa. Nitakuwa 25 mnamo Novemba. Ninahisi kama nilikua kama mchezaji. Hiyo ni kawaida kwa umri. Nimejiandaa zaidi kwa Ligi Kuu."
 
Rahim Sterlinh amesalimu amri kwa Maresca
Amesema anataka kuihama Chelsea kabisa hataki mkopo
Kwa mukadha huu amejiandaa kisaikolojia kupunguza mshahara wake ili timu ziweze kumsajili. Chelsea inaweza kumruhusu atoke bure kwa sababu ya kuepuka mzigo wa mshahara kama akiamua kwenda mkopo.
Arsenal ni moja ya timu ambazo zinafikiria kumsajili Sterling

1724245747807.png
 
Ila asiwe sasa anawapanga wachezaji sehemu sio nafasi zao
Maresca anawataka wachezaji wanaocheza nafasi nyingi kwa hiyo usishangae wakicheza nafasi tofautitofauti aidha kwa kuanza au wakati mpira unaendelea. Mfumo wake klama PEP ndio uko hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom