Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa Maoni yangu nahis kocha pekee aliyeweza mtumia Chilwel ni Tuchel tu wakat anacheza Wingback

Sidhan km anafit kila mfumo like Gusto na wengineo ndio maana imekuwa ngumu kwake kupata hata dakika kwe pre season
Hata kocha kakigusia hicho kwa namana tofauti kasema kitu kama makocha kadhaa wameshindwa kumtumia Chilwell kwenye nafasi tofauti. Msimu uliopita tulimlaumu sana Pochetino kwa kumfanya kuwa winga, sasa ndio napata point. Mashabiki wanampenda MAresca kwa sababu yuko mkweli
Chilwell hawezi kuicheza izuri kwenye LB, ukimweka hapo anachez akama winga anasahau kukaba
Ukimuweka kama winga anashindwa kucheza kama winga. Confusion ipo hapo
 
Petrovic na Chilwell hawatakuwemo kwenye kikosi cha 24/25, kocha hawataki kwa kuwa anawaona hawafai kwa mfumo wake.

Kwa hivyo Kikosi cha Chelsea cha wachezaji 25 kitaonekana hivi Msimu wa 2024/25:

Kocha Mkuu: Enzo Maresca
  1. Filip Jorgensen
  2. Robert Sánchez
  3. Marcus Bettinelli
  4. Reece James
  5. Malo Gusto
  6. Renato Veiga
  7. Axel Disasi
  8. Tosin Adarabioyo
  9. Benoît Badiashele
  10. Wesley Fofana
  11. Levi Colwill
  12. Marc Cucurella
  13. Enzo Fernandez
  14. Kiernan Dewsbury-Hall (KDH)
  15. Moises Caicedo
  16. Romeo Lavia
  17. Pedro Neto
  18. Rahim Sterling
  19. Mykhailo Mudryk
  20. Nicolas Jackson
  21. Christopher Nkuku
  22. Marc Guiu
  23. Cole Palmer
Wanaotarajiwa kuja ni

24* João Felix

25** Victor Osimhen

1723894991852.png
 
Mazungumzo ya Atleti-Chelsea kwa João Félix.
Kulikuwa na mawasiliano chanya. Ada ya uhamisho ya João inaweza kuwa £40M. Wanaendelea kujadili vigezo vya operesheni. Majadiliano yanaendelea. Uamuzi wikendi hii.
1723911692600.png
 
Petrovic na Chilwell hawatakuwemo kwenye kikosi cha 24/25, kocha hawataki kwa kuwa anawaona hawafai kwa mfumo wake.

Kwa hivyo Kikosi cha Chelsea cha wachezaji 25 kitaonekana hivi Msimu wa 2024/25:

Kocha Mkuu: Enzo Maresca
  1. Filip Jorgensen
  2. Robert Sánchez
  3. Marcus Bettinelli
  4. Reece James
  5. Malo Gusto
  6. Renato Veiga
  7. Axel Disasi
  8. Tosin Adarabioyo
  9. Benoît Badiashele
  10. Wesley Fofana
  11. Levi Colwill
  12. Marc Cucurella
  13. Enzo Fernandez
  14. Kiernan Dewsbury-Hall (KDH)
  15. Moises Caicedo
  16. Romeo Lavia
  17. Pedro Neto
  18. Rahim Sterling
  19. Mykhailo Mudryk
  20. Nicolas Jackson
  21. Christopher Nkuku
  22. Marc Guiu
  23. Cole Palmer
Wanaotarajiwa kuja ni

24* João Felix

25** Victor Osimhen

View attachment 3072480
Kwa kikosi hiki ndiyo maana uongozi wa Chelsea haivumilii makocha; kikosi kinakupa unachohitaji ni wewe kama kocha ushindwe kutumia mbinu zako kushinda mechi
 
Chelsea FC na Atletico Madrid Jumamosi usiku walikutana kwenye hatua za mwisho kwa Joao Felix kurejea Chelsea na Conor Gallagher kuhamia Atletico Madrid.

💰💰Kwa sasa wanafanyia kazi taarifa za mwisho za mpango huo. Ada ya mwisho ya Felix haitakuwa 60M au 65M au 70M kama ilivyoripotiwa nchini Uhispania, lakini itakuwa chini sana, karibu euro milioni 40 pamoja na add-ons zake.

📄📄Bado wanakamilisha baadhi ya maelezo kwa sababu watu wengi wanahusika, ikiwa ni pamoja na mawakala, mabroka, vilabu na wachezaji.

📃Pia kuna mambo mengi ya kushughulikia, ikiwa ni pamoja na masuala ya kodi.

@FabrizioRomano

 
Kwa ile Man City niliyoiona juzi hapo dhidi ya Man Nyumbu na kwa kikosi chetu kilivyo nadhani kocha ashindwe yeye kupata ushindi leo darajani. Tuna advantage kubwa sana leo kikosi sio kibaya na hata maingizo naamini yanaongeza nguvu kwenye kikosi. Nadhani kocha afanye karata zake vizuri leo uwezekano wa kushinda upo kwa zaidi ya asilimia 90.

KTBFFH🔵🔵🔵
 
Kwa ile Man City niliyoiona juzi hapo dhidi ya Man Nyumbu na kwa kikosi chetu kilivyo nadhani kocha ashindwe yeye kupata ushindi leo darajani. Tuna advantage kubwa sana leo kikosi sio kibaya na hata maingizo naamini yanaongeza nguvu kwenye kikosi. Nadhani kocha afanye karata zake vizuri leo uwezekano wa kushinda upo kwa zaidi ya asilimia 90.

KTBFFH🔵🔵🔵
Kuna tofauti kati ya umbali wa bus (CITY) ambalo ndio limefika Dodoma kuelekea Mwanza na bus lingine (THE BLUES) ndio kwanza lipo Mbezi Magufuli stand linamalizia kujaza abiria lianze safari ya kwenda Mwanza.
 
Kwa ile Man City niliyoiona juzi hapo dhidi ya Man Nyumbu na kwa kikosi chetu kilivyo nadhani kocha ashindwe yeye kupata ushindi leo darajani. Tuna advantage kubwa sana leo kikosi sio kibaya na hata maingizo naamini yanaongeza nguvu kwenye kikosi. Nadhani kocha afanye karata zake vizuri leo uwezekano wa kushinda upo kwa zaidi ya asilimia 90.

KTBFFH🔵🔵🔵
Tatizo letu kubwa ni mabeki, natamani ambeki wa leo wasiwe kama wale wa Pre season. Natamani Fofana wa leo asiowe Fofana wa pre season, natamani Colwill wa leo asiwe kama Colwill wa Pre season
 
Kocha ametoa hint anaweza leo kuwatumia hawa wachezaji

Beki wa uhakika kuwepo leo ni Colwill
Pivot ya katikati ni Lavia na Caicedo
LB ni Cucurella
No. RW au 10 ni Palmer
No. 10 ni Nkunku
LW ni Mudryk
Pia Malo Gusto atakuwepo
Enzo Fernandez naye atakuwepo

Line up ya leo inaweza kuwa hivi

----------------Jackson----------------------

Mudryk -----------Nkunku -------------Palmer

------Caicedo -------------Lavia--------

Cucurella------Colwill------Fofana------Gusto

---------------Sanchez---------------------

Sub
  1. Fillip
  2. Tosin
  3. Badiashile
  4. Disasi
  5. Enzo
  6. KDH
  7. Sterling
  8. Madueke
  9. Marc Guiu
 
Kuna tofauti kati ya umbali wa bus (CITY) ambalo ndio limefika Dodoma kuelekea Mwanza na bus lingine (THE BLUES) ndio kwanza lipo Mbezi Magufuli stand linamalizia kujaza abiria lianze safari ya kwenda Mwanza.
We jamaa ni mwalimu kama sio basi mtu wa mauzo kama sio kote huko jaribu kuingia hiyo sekta. Unaimudu vibaya mno
 
Tatizo letu kubwa ni mabeki, natamani ambeki wa leo wasiwe kama wale wa Pre season. Natamani Fofana wa leo asiowe Fofana wa pre season, natamani Colwill wa leo asiwe kama Colwill wa Pre season
Kama tukiwabana vizuri Man City hata hizo mistake za mabeki hazijaonekana
 
Neto ana shida gani
Kocha ametoa hint anaweza leo kuwatumia hawa wachezaji

Beki wa uhakika kuwepo leo ni Colwill
Pivot ya katikati ni Lavia na Caicedo
LB ni Cucurella
No. RW au 10 ni Palmer
No. 10 ni Nkunku
LW ni Mudryk
Pia Malo Gusto atakuwepo
Enzo Fernandez naye atakuwepo

Line up ya leo inaweza kuwa hivi

----------------Jackson----------------------

Mudryk -----------Nkunku -------------Palmer

------Caicedo -------------Lavia--------

Cucurella------Colwill------Fofana------Gusto

---------------Sanchez---------------------

Sub
  1. Fillip
  2. Tosin
  3. Badiashile
  4. Disasi
  5. Enzo
  6. KDH
  7. Sterling
  8. Madueke
  9. Marc Guiu
 
Neto ana shida gani
Nimemsahau duh, sasa hapo ataingai badala ya disasi kwenye bechi

Kocha ametoa hint anaweza leo kuwatumia hawa wachezaji

Beki wa uhakika kuwepo leo ni Colwill
Pivot ya katikati ni Lavia na Caicedo
LB ni Cucurella
No. RW au 10 ni Palmer
No. 10 ni Nkunku
LW ni Mudryk
Pia Malo Gusto atakuwepo
Enzo Fernandez naye atakuwepo

Line up ya leo inaweza kuwa hivi

----------------Jackson----------------------

Mudryk -----------Nkunku -------------Palmer

------Caicedo -------------Lavia--------

Cucurella------Colwill------Fofana------Gusto

---------------Sanchez---------------------

Sub
  1. Fillip
  2. Tosin
  3. Badiashile
  4. Enzo
  5. KDH
  6. Neto
  7. Sterling
  8. Madueke
  9. Marc Guiu
 
Nimemsahau duh, sasa hapo ataingai badala ya disasi kwenye bechi

Kocha ametoa hint anaweza leo kuwatumia hawa wachezaji

Beki wa uhakika kuwepo leo ni Colwill
Pivot ya katikati ni Lavia na Caicedo
LB ni Cucurella
No. RW au 10 ni Palmer
No. 10 ni Nkunku
LW ni Mudryk
Pia Malo Gusto atakuwepo
Enzo Fernandez naye atakuwepo

Line up ya leo inaweza kuwa hivi

----------------Jackson----------------------

Mudryk -----------Nkunku -------------Palmer

------Caicedo -------------Lavia--------

Cucurella------Colwill------Fofana------Gusto

---------------Sanchez---------------------

Sub
  1. Fillip
  2. Tosin
  3. Badiashile
  4. Enzo
  5. KDH
  6. Neto
  7. Sterling
  8. Madueke
  9. Marc Guiu
Pamoja na yote bado sina imani na Sanchez. Petrovic aliperform vizuri sana wakati Sanchez majeruhi lakini kila kocha anakuja na mipango yake kutokana na kile anachokiona mazoezini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom