[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hio £50m yote ya nini wakati Boehly anaweza kuweka £30m mezani akasajili Marasi watatu[emoji16][emoji16][emoji16]Joao Felix ameanza kufollow Chelsea kule Instagram
Hii inaonyesha kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia
Baada ya Atletico Madrid kukataa ofa ya Euro milioni 45, Chelsea wanatarajia muda wowote kupeleka ofa 7ya milioni 50 pamoja na add-ons
View attachment 3071790
View attachment 3071791
Bora tuwekeze kwa Osimhen zaidi sioni Chelsea ikiwasajili wote wawiliJoao Felix ameanza kufollow Chelsea kule Instagram
Hii inaonyesha kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia
Baada ya Atletico Madrid kukataa ofa ya Euro milioni 45, Chelsea wanatarajia muda wowote kupeleka ofa 7ya milioni 50 pamoja na add-ons
View attachment 3071790
View attachment 3071791
Chelsea wanataka kuwachukua wote wawili, Joao Felix na Victor Osimhen dirisha hili la kiangazi.Bora tuwekeze kwa Osimhen zaidi sioni Chelsea ikiwasajili wote wawili
Kwa maana nyingine ni kuwa gharama ya Callagher ndiyo inayomnunua Felix na gharama ya Lukaku inaongezwa kumnunua Victor...Chelsea wanataka kuwachukua wote wawili, Joao Felix na Victor Osimhen dirisha hili la kiangazi.
Felix ni muhimu kama kichocheo cha kumuuza Conor Gallagher
Hivyo hivyo na Osimhen ni muhimu kama kichocheo cha kumuuza Romelo Lukaku
Lakini Chelsea wamedai watawachukua tu kwa terms za Chelsea, Naona wanachelewesha ili Napoli na Atletico Madrid wachoke na kupunguza bei kwa hao wachezaji.
Chelsea wana Marc Guiu na Jackson hawana haraka.
Na pia nafasi atakayokuja kucheza Felix imejaa wachezaji wazuri na hapo pia Chelsea hawana haraka hata kidogo.
Cha kushangaza hawaongelei kabisa defensi yetu kana kwamba imekamilika kama ya Arsenal. Hayo magoli tutakayobugizwa msimu huu mimi nipo pale nakula popcorn yangu wala sitajiletea presure bure wakati wenye maamuzi hawataki kuliona hilo
You have a good point ila Veiga ni LCB kuliko RCB. Hivyo tutamtumia zaidi Colwil kama LCB na Fofana akiwa fit basi atacheza kama RCB. Kama Fofana akishindwa tumjaribu Tosin piaKwa maana nyingine ni kuwa gharama ya Callagher ndiyo inayomnunua Felix na gharama ya Lukaku inaongezwa kumnunua Victor...
Ni beki gani anaweza kumaliza tatizo la Chelsea? Mimi nadhani Kocha aifanyie kazi matatizo la muunganiko wa mabeki wetu tulionao kwasababu muda wa kumnunua beki mgeni na kuanza kuelewana na waliopo nako ni kipengele.
Angalia suala la Antonio na makocha wetu.
Veiga na Fofana waangaliwe namna ya mmoja wao achukue jukumu la kuongoza beki...Chelsea tunashida ya uongozi nyuma.
Beki za pembeni wote wapo wazuri...Beki nne na tano ndiyo shida sana, either Fofana na Colwill au Veiga na Colwill. Wafundishwe kuwa na rohoo mbaya basi.
Chelsea inahitaji viongozi wawili namba 6 na namba 5...wafunsishwe namna ya kulinda lango wakiwa viongozi na wakiwa wachezaji wenye kujituma bila kuangalia sura ya msambuliaji...Disasi angeweza hiyo kazi ila hana uwezo wa kusoma mchezo.You have a good point ila Veiga ni LCB kuliko RCB. Hivyo tutamtumia zaidi Colwil kama LCB na Fofana akiwa fit basi atacheza kama RCB. Kama Fofana akishindwa tumjaribu Tosin pia
Kupitia The Athletic jana walisema Fofana ndie RCB no. 1 na Colwill LCB no. 1. Wote ndio watakaoweka pivot kwenye bckaline ya 4You have a good point ila Veiga ni LCB kuliko RCB. Hivyo tutamtumia zaidi Colwil kama LCB na Fofana akiwa fit basi atacheza kama RCB. Kama Fofana akishindwa tumjaribu Tosin pia
Poche alikuwa anaudhi, kwanza hakuwa consistent, leo kasema hili kesho lile, lea anakubali hili keshi analikataa hilo, leo ana excuse hii kwesho kaja na esxcuse mpya.Linapokuja swala la Kwenye Press Conference Maresca mpaka hapo ashampiga KO Poch.
Hopeful matokeo uwanjan yatakuwepo kuanzia mapema
Come on The Blues
KTBFFH
Umemsahau PetrovicTimu yetu msimu huu, je kuna aliyeachwa ili tumshauri Maresca?
- Jorgensen
- Sanchez
- James
- Gusto
- Disasi
- Tosin
- Badiashile
- Fofana
- Colwill
- Cucurella
- Chilwell
- VeigaEnzo
- KDHCarney
- Caicedo
- Lavia
- Sterling
- Mudryk
- Jackson
- Nkunku
- Guiu
- Neto
- Palmer
- Madueke
Petrovic hatakuwepo, kocha hamtaki, pia leo kocha kasema hatamuhitaji Chilwell kwa hiyo naye tunamuondoa hapoUmemsahau Petrovic
Wewe ujaelewa nini hapoNashindwa kumuelewa Maresca hapa!
Maresca: “If I start to think about the managers that have been sacked, I cannot focus. What I can say is that the vision I have is that the club is looking for something for five or 10 years.” [telegraph]
Maresca: “Nikianza kufikiria mameneja waliofukuzwa kazi, siwezi kuzingatia. Ninachoweza kusema ni kwamba maono niliyonayo ni kwamba klabu inatafuta kitu kwa miaka mitano au 10.” [telegraph]
Hata mimi sijaelewa hapaHivi ni kweli Kocha hana mpango na Chilwell? Mbona naona Chilwell ni bonge la mchezaji mwenye kufit kila mfumo.
JamesHivi ni kweli Kocha hana mpango na Chilwell? Mbona naona Chilwell ni bonge la mchezaji mwenye kufit kila mfumo.
Kujitoa pressure huko,Nashindwa kumuelewa Maresca hapa!
Maresca: “If I start to think about the managers that have been sacked, I cannot focus. What I can say is that the vision I have is that the club is looking for something for five or 10 years.” [telegraph]
Maresca: “Nikianza kufikiria mameneja waliofukuzwa kazi, siwezi kuzingatia. Ninachoweza kusema ni kwamba maono niliyonayo ni kwamba klabu inatafuta kitu kwa miaka mitano au 10.” [telegraph]
Kwa Maoni yangu nahis kocha pekee aliyeweza mtumia Chilwel ni Tuchel tu wakat anacheza WingbackHivi ni kweli Kocha hana mpango na Chilwell? Mbona naona Chilwell ni bonge la mchezaji mwenye kufit kila mfumo.