Kama kuna uwezekano wa kupatikana beki mzuri tuachane na dili la felixDili la Gallagher nalo limekufa kwa sasa, anarudi darajani
Chelsea wanamtaka Swap deal ya Lukaku kwa Osimhen
Chelsea hawatabioriki kabisa
Je na Chelsea ipo tayari kumchukua Jaoo Felix?Joao Felix amekubali kurudi Chelsea na yuko tayari kupunguza mshahara wake kwa kiasi kikubwa ili kuendana na muundo wa mishahara wa Chelsea.
Chelsea hana ujanja kwa sababu dili la Gallagher linaweza kuvunjikaJe na Chelsea ipo tayari kumchukua Jaoo Felix?
Unaweza proceed na deal tu sio lazima upate player kutoka Atletico,Issue ni Atl;etico wanajitahidi ili wasimpoteze Gallagher na Julian Alvarez kwa sababu uuzwaji wa Samu ni muhimu kwa hizo dili mbili
Sio shida hiyo hata Poch mwenyewe mwishon alianza mtumia Palmer kama 10 huku madueke akitokea pembeni RWAisee!! kwa hiyo Palmar katafutiwa mahala ampishe Madueke?!, dah!
Jiulize why felix hata Barce tu wenyewe hawajataka kumrudisha?Hivi kweli kuna madueke na Felix unaambiwa chagua mmoja unachagua madueke, aisee!!!
Kama unataka kumuuza Galagher nanoption A imekataa proceed sio lazima kuwe na exchange ya mchezaj, Uza mchezaji basi upate hiyo hela ukatafute target zingine
Tetesi: Dili la Samu naona kama limekufa kabisa na pia kuna uwezekano Chelsea na Madrid wakashindwa kukubaliana kuhusu dili la Felix
Kama dili la Samu na Felix ikifeli, unadhani mchezaji gani wa Atletico Madrid tumchukue kama mbadala kwa sababu Madrid wanamtaka kwa udi na uvumba Gallagher
Kama Disasi ,Badiashile na Fofana , kwa nini tusiuze hata kwa kuswap hao vilaza tupate defender mmoja mkali wa kusaidiana na Collwill na veiga na kutengeneza ukuta imara ?Kama kuna uwezekano wa kupatikana beki mzuri tuachane na dili la felix
Watabadilika tu hao akina Fofana na Disasi ila Badiashile sioni akibadilika kwani ameshaadhirika kiakili.Hii timu ina directors wapumbav Sana
Una useless players
Kama Disasi ,Badiashile na Fofana , kwa nini tusiuze hata kwa kuswap hao vilaza tupate defender mmoja mkali wa kusaidiana na Collwill na veiga na kutengeneza ukuta imara ?
Usajili wa Osihmen hauingilii nafas za Estevao o Paez o mec ila sajili ya felix kwa namna moja au nyingine sio sajili inayotakiwaHalafu kuna Estevao na Kendry paez wanakuja msimu ujao , sasa sijui hii sajili ya João au Osimhen itakuwa na maana gani
Osimhen ni no 9 hao wengine wanacheza right Winger na kiungo mshambuliajiHalafu kuna Estevao na Kendry paez wanakuja msimu ujao , sasa sijui hii sajili ya João au Osimhen itakuwa na maana gani
Namba tisa apewe NkunkuOsimhen ni no 9 hao wengine wanacheza right Winger na kiungo mshambuliaji