Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelseaimecheza mpira boring sana na kutokana na Inter kuweza kuzuia njia za timu yeti kuset up mashambulizi hata baada ya kuja Caisedo hakuna alichosaidia.

Defensively we are very poor than EPL mid table teams ukiachilia mbali Tottenham na Aston Villa
Nilichogundua mkuu ni kama unachuki anyway Acha tuheshim maoni yako.

Sijawah ona kitu positive kutoka kwako
 
Wewe unaonaje Veiga acheze centre defender
1723399230723.png
 
Kati ya Chukeuemeka na Ugochukwu nani awe backup midfield? na nani auzwe?
 
Nilichogundua mkuu ni kama unachuki anyway Acha tuheshim maoni yako.

Sijawah ona kitu positive kutoka kwako
Mimi ninazungumza ninachokiona. Sasa nimchukie nani ambaye hata kumjua simjui? Alafu isitoshe wewe hunifatilii nyuma ndo maana unasema I'm negative. Mimi ni supporter wa timu regardless coach anayekuwepo. Ila kipindi cha pre season lazima nieleze changamoto ninazoziona then msimu ukianza everyone should be behind the team ila kwa sasa kama kuna madhaifu yanayoweza kugharimu tomu yetu baadae na kutuzuia kuingia top four basi lazima yawe underscored.

Na pia ni muhimu kuzingatia kuwa mpira wa possession ndo unaanza Chelsea. Mimi ni muumini wa gegen pressing na kuwa direct yaani mpira unapigwa kuelekea golini siyo pembeni na nyuma. Tuchel au Klopp ni baadhi ya makocha wanafundisha mchezo ninaoutaka mimi. Hivyo tuelewane ila tusianze kuitana vitu visivyo.
 
Breaking news: Dili la kusajili samu kutoka A.Madrid limekufa kutokana na mchezaji kufeli vipimo vya afya na badala yake Jao Felix anatumika kama mbadala wa kuchukuliwa na Chelsea
 
Breaking news: Dili la kusajili samu kutoka A.Madrid limekufa kutokana na mchezaji kufeli vipimo vya afya na badala yake Jao Felix anatumika kama mbadala wa kuchukuliwa na Chelsea
 
Breaking news: Dili la kusajili samu kutoka A.Madrid limekufa kutokana na mchezaji kufeli vipimo vya afya na badala yake Jao Felix anatumika kama mbadala wa kuchukuliwa na Chelsea
Nadhani Jorge Mendes ameharibu dili, anataka kumleta Joao Felix darajani, nadhani kawashawishi SD na owners waachane na Samu ili yeye awafanyie mpango wa kumsajili Felix kwenye ule mkataba wa kuuziana wachezaji ikimhusisha Gallagher.
Chelsea isipomchukua mchezaji kutoka Atletico Madrid dili za Alvarez, Gallagher litafeli nazo na MAdrid hawataki hizo dili zifeli.

Sasa mazungumzo yanaendelea ya kumleta Felix darajani.

Felix anaipenda sana Chelsea na akiwa na marafiki zake daima anaisema Chelsea vizuri na kudai kuwa alikuwa na Experience nzuri hapa kuliko sehemu zingine.

Owners na SD walitaka kumsajili msimu uliopita baada ya mkopo wake kuisha ila Pochettino hakumtaka mchezaji

Dili la Samu kufeli pia inaweza kuongeza uwezekano wa Victor Osimhen kuja darajani na ikishindikana basi Marc Guiu ni mtu mwenye bahati sana
 
Nadhani Jorge Mendes ameharibu dili, anataka kumleta Joao Felix darajani, nadhani kawashawishi SD na owners waachane na Samu ili yeye awafanyie mpango wa kumsajili Felix kwenye ule mkataba wa kuuziana wachezaji ikimhusisha Gallagher.
Chelsea isipomchukua mchezaji kutoka Atletico Madrid dili za Alvarez, Gallagher litafeli nazo na MAdrid hawataki hizo dili zifeli.

Sasa mazungumzo yanaendelea ya kumleta Felix darajani.

Felix anaipenda sana Chelsea na akiwa na marafiki zake daima anaisema Chelsea vizuri na kudai kuwa alikuwa na Experience nzuri hapa kuliko sehemu zingine.

Owners na SD walitaka kumsajili msimu uliopita baada ya mkopo wake kuisha ila Pochettino hakumtaka mchezaji

Dili la Samu kufeli pia inaweza kuongeza uwezekano wa Victor Osimhen kuja darajani na ikishindikana basi Marc Guiu ni mtu mwenye bahati sana
Hata Felix ni mchezaji mzuri sana, ana IQ ya mpira. Nilianza kuona Pochi nene hakuna kocha mule, baada ya kumkataa Felix. Unamkataaje mchezaji talented kama Felix.
 
Hata Felix ni mchezaji mzuri sana, ana IQ ya mpira. Nilianza kuona Pochi nene hakuna kocha mule, baada ya kumkataa Felix. Unamkataaje mchezaji talented kama Felix.
Sterling kwa mshahara wake na umri wake mkubwa akiondoka ni sawa awe replacement yake
 
❌ Samu Omorodion returns to Atlético de Madrid!

🙄 His signing for Chelsea, which is targeting Oshimen, is frustrating.
🚨
@marcosbenito9
details its EXCLUSIVE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom