lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Tofauti kubwa ya Madueke na Felix.
Felix anaweza kufanya dribling nzuri popote uwanjani iwe pembezoni au katikati - Madueke ana mapungufu kidogo hapo.
Felix pia anajua kulink wenzake vizuri hata kwenye scenario ya pasi za haraka haraka - Madueke ana ubinafsi hapo.
Madueke anatumia nguvu akiwa anaserereka na mpira kitu ambacho Felix ni legelege.
Madueke ana uwezo mkubwa wa kuserereka na mpira kulia mwa uwanja hadi kwenye penalty boksi na kuleta madhara hapo mojawapo ikiwa ni ya kufunga, kutoa kona, kupasi kwenye boksi au kutoa assists kabis - Felix hawezi kabisa kuerereka na mpira pembeni mwa uwanja kama mawinga wengine wanavyofanya.
Madueke na Felix ni kama wako sawa kwenye GA ya msimu uliopita.
Madueke mechi 23 ana GA ya 7
Felix kwa mechi 30 ana GA ya 10
Ikiwa watapewa mechi 30 msimu huu wote wanaweza kuwa na GA ya 15 kila mmoja.
Conclusion
Mimi ningemchagua Felix au Madueke kulingana na ninavyotaka kuwatumia uwanjani.
Kama nahitaji winga mwenye uwezo wa kucheza vizuri kutokea kulia nitamchagua Madueke
Kama nitahitaji winga mwenye uwezo wa kucheza wide, yaani kushoito, kulia na number 10, nitamchukua Felix.
Turudi kwa Maresca
Yeye anataka mchezaji mwenye kuweza kucheza nafasi nyingi na kwa mukadha huu, Madueke yeye anaweza kucheza RW tu wakati Felix anaweza kucheza LW, RW, Na. 10 na second striker
So Felix win
Felix anaweza kufanya dribling nzuri popote uwanjani iwe pembezoni au katikati - Madueke ana mapungufu kidogo hapo.
Felix pia anajua kulink wenzake vizuri hata kwenye scenario ya pasi za haraka haraka - Madueke ana ubinafsi hapo.
Madueke anatumia nguvu akiwa anaserereka na mpira kitu ambacho Felix ni legelege.
Madueke ana uwezo mkubwa wa kuserereka na mpira kulia mwa uwanja hadi kwenye penalty boksi na kuleta madhara hapo mojawapo ikiwa ni ya kufunga, kutoa kona, kupasi kwenye boksi au kutoa assists kabis - Felix hawezi kabisa kuerereka na mpira pembeni mwa uwanja kama mawinga wengine wanavyofanya.
Madueke na Felix ni kama wako sawa kwenye GA ya msimu uliopita.
Madueke mechi 23 ana GA ya 7
Felix kwa mechi 30 ana GA ya 10
Ikiwa watapewa mechi 30 msimu huu wote wanaweza kuwa na GA ya 15 kila mmoja.
Conclusion
Mimi ningemchagua Felix au Madueke kulingana na ninavyotaka kuwatumia uwanjani.
Kama nahitaji winga mwenye uwezo wa kucheza vizuri kutokea kulia nitamchagua Madueke
Kama nitahitaji winga mwenye uwezo wa kucheza wide, yaani kushoito, kulia na number 10, nitamchukua Felix.
Turudi kwa Maresca
Yeye anataka mchezaji mwenye kuweza kucheza nafasi nyingi na kwa mukadha huu, Madueke yeye anaweza kucheza RW tu wakati Felix anaweza kucheza LW, RW, Na. 10 na second striker
So Felix win