lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Chelsea waliweka masharti mapya ambayo Samu Omorodion hakuyapenda na aliumia sana.
Sasa nasikia Chelsea wanawekeza kumleta Victor Osimhen darajani. Mkataba wa Felix pia unajadiliwa kama mbadala wa Samu ili dili la Conor Gallagher lisiporomoke. Ada ya João Félix itakuwa kati ya Euro milioni 40-50.
Sasa nasikia Chelsea wanawekeza kumleta Victor Osimhen darajani. Mkataba wa Felix pia unajadiliwa kama mbadala wa Samu ili dili la Conor Gallagher lisiporomoke. Ada ya João Félix itakuwa kati ya Euro milioni 40-50.