Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani tukiweza kuboresha kwenye defense, timu hii iko tayari kupigania top 4 msimu huu
 
HT
0-1

Mimi tofauti niliyoona ni kwamba Mabeki wetu wanawapa muda washambuliaji wa Inter kufikiri, kupanga na kucheza kwenye boksi yetu wakati sisi kwenye penalty boksi yao hawatupi kupumua, mabeki wao wako agressive sana

Fofana bado sana kwenye kukaba na kuwa kwenye strategic position. Goli tulilofungwa Fofana alishindwa kukaba na alikuwa nje ya nafasi yetu. Kaharibu dfensive shape ndio maana tulifungwa kirahisi

Yaani Cucurella anajitahidi sana kuwasaidia hawa CB wetu wanapanuka sana, wanachelewa kurudi kuweka shape

Marc Guiu anajitahidi sana, Madueke yuko kwenye foirm nzuri. Enzo naye game yake imerudi, Mudryk naona kama anafufuka, kacheza vizuri leo tofauti na huko nyuma. Kifupi Chelsea imecheza vizuri, Mabeki tu wametuangusha

Naomab Uongozi ubadili mawazo Chalobah abaki
 
HT
0-1

Mimi tofauti niliyoona ni kwamba Mabeki wetu wanawapa muda washambuliaji wa Inter kufikiri, kupanga na kucheza kwenye boksi yetu wakati sisi kwenye penalty boksi yao hawatupi kupumua, mabeki wao wako agressive sana

Fofana bado sana kwenye kukaba na kuwa kwenye strategic position. Goli tulilofungwa Fofana alishindwa kukaba na alikuwa nje ya nafasi yetu. Kaharibu dfensive shape ndio maana tulifungwa kirahisi

Yaani Cucurella anajitahidi sana kuwasaidia hawa CB wetu wanapanuka sana, wanachelewa kurudi kuweka shape

Marc Guiu anajitahidi sana, Madueke yuko kwenye foirm nzuri. Enzo naye game yake imerudi, Mudryk naona kama anafufuka, kacheza vizuri leo tofauti na huko nyuma. Kifupi Chelsea imecheza vizuri, Mabeki tu wametuangusha

Naomab Uongozi ubadili mawazo Chalobah abaki
Sijui kwanini hatuoni hii nafasi ya defender
 
Kwa mtazamo wangu naona kocha anatakiwa afanye kwenye defence line yetu central defenders ajaribu kuwa Tosin na Veiga kushoto Cucurella, kulia Agusto itatusaidia sana kwanini Veiga acheze centre nimemuona ni aggressive, leader na mtulivu akifanya hivi kiasi fulani tutapunguza udhaifu kwenye hili eneo tofauti na hapo ukuta utakuwa unavuja sana
 
Kwa mtazamo wangu naona kocha anatakiwa afanye kwenye defence line yetu central defenders ajaribu kuwa Tosin na Veiga kushoto Cucurella, kulia Agusto itatusaidia sana kwanini Veiga acheze centre nimemuona ni aggressive, leader na mtulivu akifanya hivi kiasi fulani tutapunguza udhaifu kwenye hili eneo tofauti na hapo ukuta utakuwa unavuja sana
Kumbe na wewe umemuona Veiga. Yuko aggressive anapaswa kuingizwa kwenye first 11
 
HT
0-1

Mimi tofauti niliyoona ni kwamba Mabeki wetu wanawapa muda washambuliaji wa Inter kufikiri, kupanga na kucheza kwenye boksi yetu wakati sisi kwenye penalty boksi yao hawatupi kupumua, mabeki wao wako agressive sana

Fofana bado sana kwenye kukaba na kuwa kwenye strategic position. Goli tulilofungwa Fofana alishindwa kukaba na alikuwa nje ya nafasi yetu. Kaharibu dfensive shape ndio maana tulifungwa kirahisi

Yaani Cucurella anajitahidi sana kuwasaidia hawa CB wetu wanapanuka sana, wanachelewa kurudi kuweka shape

Marc Guiu anajitahidi sana, Madueke yuko kwenye foirm nzuri. Enzo naye game yake imerudi, Mudryk naona kama anafufuka, kacheza vizuri leo tofauti na huko nyuma. Kifupi Chelsea imecheza vizuri, Mabeki tu wametuangusha

Naomab Uongozi ubadili mawazo Chalobah abaki
Mabeki wetu bado wanamakosa ya kijinga.

Goal tulilofungwa Fofana hakupaswa kutoka sehem aliyokuwepo if ameamua kutoka ilifaa acheze mpira kwq vyovyote vile kwa sabab tayar alikuwa ashamuacha free Thuram.

Mudryk decision making yako bado iko chini sana nitofauti na Madueke

Tunatengeneza Nafasi ila kuzimalizia bado shughuli.

Build up yetu iko vizuri tho off the ball bado tuna mapungufu kidogo, Ila utofauti unaonekana na mechi zilizopita.

PS.
Naona kwa uchezaji huu Chilwell ndio bye bye.
Veiga n Cucurel wanaoffer kitu tofauti na Chilwell anachooffer

Ugochokwu naona kwenye hii pre season katulia sana
 
Yaani tukiweza kuboresha kwenye defense, timu hii iko tayari kupigania top 4 msimu huu
Chelseaimecheza mpira boring sana na kutokana na Inter kuweza kuzuia njia za timu yeti kuset up mashambulizi hata baada ya kuja Caisedo hakuna alichosaidia.

Defensively we are very poor than EPL mid table teams ukiachilia mbali Tottenham na Aston Villa
 
Chelseaimecheza mpira boring sana na kutokana na Inter kuweza kuzuia njia za timu yeti kuset up mashambulizi hata baada ya kuja Caisedo hakuna alichosaidia.

Defensively we are very poor than EPL mid table teams ukiachilia mbali Tottenham na Aston Villa
Nina wasiwasi hukuangalia huu mpira. Chelsea imecheza vizuri sana hasa ikiwa na mpira. Ukiacha mabeki kujisahau kurudi kwenye shape, kila position wamecheza vizurti. Cha kushangaza hata Mudryk leo kacheza vizuri sana tofauti na mechi za mwanzo za pre seaosn. Pata muda uangalie replay.
Kuwazuia Inter sio kazi rahisi. Mimi naona huu mchezo wa leo ndio kipimo sahihi cha kupima kama Chelsea iko tayri kuanza ligi. Japo consistency inaweza ikatuumiza lakini naona Chelsea ya Maresca iko tayari. Hata hii mechi na city usishangae tukishinda au kudroo
 
Mabeki wetu bado wanamakosa ya kijinga.

Goal tulilofungwa Fofana hakupaswa kutoka sehem aliyokuwepo if ameamua kutoka ilifaa acheze mpira kwq vyovyote vile kwa sabab tayar alikuwa ashamuacha free Thuram.

Mudryk decision making yako bado iko chini sana nitofauti na Madueke

Tunatengeneza Nafasi ila kuzimalizia bado shughuli.

Build up yetu iko vizuri tho off the ball bado tuna mapungufu kidogo, Ila utofauti unaonekana na mechi zilizopita.

PS.
Naona kwa uchezaji huu Chilwell ndio bye bye.
Veiga n Cucurel wanaoffer kitu tofauti na Chilwell anachooffer

Ugochokwu naona kwenye hii pre season katulia sana
Leo Mudryk kacheza vizuri na anastahili pongezi hata kama kuna nyakati kapotea kwenmye maamuzi
 
Kuna wachezaji ambao wanakluwa wazuri kwa juhudi na kuna ambao wanakuwa wazuri kwa asili (Naturally tallented)
Mfano Ronaldo ni mzuri kwa kuweka juhudi na nidhamu ya mazoezi na afya yake, Mesi ni mzuri wa asili Naturally good)

Cole Palmer ni mmoja wa wachezaji ambo ni wazuri tu kwa asili. Anafanya uchezaji wa mpira kuwa rahisi na wa kawaida huku ikileta matokeo mazuri.
1723393832165.png
 
Nina wasiwasi hukuangalia huu mpira. Chelsea imecheza vizuri sana hasa ikiwa na mpira. Ukiacha mabeki kujisahau kurudi kwenye shape, kila position wamecheza vizurti. Cha kushangaza hata Mudryk leo kacheza vizuri sana tofauti na mechi za mwanzo za pre seaosn. Pata muda uangalie replay.
Kuwazuia Inter sio kazi rahisi. Mimi naona huu mchezo wa leo ndio kipimo sahihi cha kupima kama Chelsea iko tayri kuanza ligi. Japo consistency inaweza ikatuumiza lakini naona Chelsea ya Maresca iko tayari. Hata hii mechi na city usishangae tukishinda au kudroo
Kwa mfano baada ya kudribble Mudryk alikuwa anafanya nini? Mpira wa Cjelsea umebadilika baada ya Palmer na nNkunku kuingia. Kabla yao zilikuwa back pass tena Mudueke alikuwa anafanya mambo ya maana pale mbele
 
Kwa mfano baada ya kudribble Mudryk alikuwa anafanya nini? Mpira wa Cjelsea umebadilika baada ya Palmer na nNkunku kuingia. Kabla yao zilikuwa back pass tena Mudueke alikuwa anafanya mambo ya maana pale mbele
Tangu mwanzo mpira ulikuwa mzuri labda sio kwa kiwango ulichotaka ila kuna improvement kubwa tofauti na mechi na Real Madrid. Ubora wa Inter ndio ulizuia matokeo yasiwe mazuri.
Aliyekuaj kuimarisha kiungo na ushambuliaji ni Lesley Ugochukwu na aliingia dk ya 80, hizi sub zingine baada ya HT hata kama Palmer alicheza vizuri lakini haikuwa na tofauti kubwa na kipindi cha kwanza hadi dk ya 80 alipoingiua Lesley
 
Chelseaimecheza mpira boring sana na kutokana na Inter kuweza kuzuia njia za timu yeti kuset up mashambulizi hata baada ya kuja Caisedo hakuna alichosaidia.

Defensively we are very poor than EPL mid table teams ukiachilia mbali Tottenham na Aston Villa
Chelsea wamecheza vizuri sana sema ni kwamba defenders wetu wanamakosa binafsi
 
Kwa mfano baada ya kudribble Mudryk alikuwa anafanya nini? Mpira wa Cjelsea umebadilika baada ya Palmer na nNkunku kuingia. Kabla yao zilikuwa back pass tena Mudueke alikuwa anafanya mambo ya maana pale mbele
Mudryk ni mzuri pale mnapocheza mpira wa haraka au counter attack ndio maana game yake iliongezeka baada ya kuingia Palmer na Nkunku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom