Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Isije ikajirudia trend ya msimu uliopita ,unakuta nusu ya kikosi majeruhi
Haitajirudia, ile iliongezewa na mazoezi ya kizamani ya Pochettino. Huyu Maresca mazoezi yake ni kama ya PEP, mazoezi ya akili na mbinu zaidi ya zile za stamina na riadha ya Pochettino. Si unaona hata Arteta hana majeruhi wengi. Mimi naamini hatutakuwa na majeruhi wanaofiuka double digits tena
 
Mchezaji kama anayo historia ya majeruhi sio lazima ayapate kwenye mazoezini hata uwanjani kwenye mechi atayapata.

James hawezi cheza mechi nyingi mfululizo lazima misuli iwake moto.

Fofona msimu mzima chini ya Poche hakucheza ni injury prone player hana mechi 10 uwanjani atarudi tena kitandani.
 
Mchezaji kama anayo historia ya majeruhi sio lazima ayapate kwenye mazoezini hata uwanjani kwenye mechi atayapata.

James hawezi cheza mechi nyingi mfululizo lazima misuli iwake moto.

Fofona msimu mzima chini ya Poche hakucheza ni injury prone player hana mechi 10 uwanjani atarudi tena kitandani.
Tusihukumu sana ebu teache tuone itakuaje
 
Chelsea XI to face Inter Milan:

Formation: 4-3-3

Mudryk--------Guiu ------- Madueke

----Enzo------KDH ------ Lavia------

Gusto --- Colwill----Fofana---Cucurella

------------Sanchez---------------

Bench:
  1. Jorgensen
  2. Bettinelli
  3. Adarabioyo
  4. Badiashile
  5. Disasi
  6. Chilwell
  7. Veiga
  8. Caicedo
  9. Ugochukwu
  10. Chukwuemeka
  11. Nkunku
  12. Palmer
  13. Sterling
  14. Jackson
 
Chelsea XI to face Inter Milan:

Formation: 4-3-3

Mudryk--------Guiu ------- Madueke

----Enzo------KDH ------ Lavia------

Gusto --- Colwill----Fofana---Cucurella

------------Sanchez---------------

Bench:
  1. Jorgensen
  2. Bettinelli
  3. Adarabioyo
  4. Badiashile
  5. Disasi
  6. Chilwell
  7. Veiga
  8. Caicedo
  9. Ugochukwu
  10. Chukwuemeka
  11. Nkunku
  12. Palmer
  13. Sterling
  14. Jackson
Mimi nadhani sehemu sahihi ya Colwil ni hapo alipowekwa ila suala la kumpanga namba 3 huwa ni upotevu wa muda na uwezo wa mchezaji tu.
 
Wachezaji wetu wakiripoti Cobham

1723382490573.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom