Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea sio sehemu nzuri kwa wachezaji wa academy kuja kuchezea timu ya wakubwa ya Chelsea
Christeansen nahisi uongozi uliopita ulizingua uliposhindwa kumuongezea mkatab

Olise na Rice hao walikatwa since academy kwenye u15

Solanke alishindwa hata liverpool, some player naona kama Team mkubwa ningumu kufanikiwa

Solanke ni Kama Abraham tu,
 
Naona wenzenu wapo bize kufanya usajili hafu kuna nyie sasa mpo bize kununua mazagazaga.
 
Hilo litasaidiaje katika uchumi wa Tanzania?

Mkuu unataka wazeekee kwenye club? Tami, Loftus, Ake, Andre, Mount, Gallagher, Tomori wamecheza vya kutosha Chelsea...popote pale hakuna club inakaa na Academy wake wote.

Naona wenzenu wapo bize kufanya usajili hafu kuna nyie sasa mpo bize kununua mazagazaga.
Ngoja tuone this season itakuaje manake kwenye pre season tumeongea magoli mno
Naona wenzenu wapo bize kufanya usajili hafu kuna nyie sasa mpo bize kununua mazagazaga.
We acha tu mkuu. Timu yangu sasa imebaki ya kununua wachezaji kwa mafungu yani zoa zoa
 
Natamani turudishe makali yetu na heshima kama ya enzi zile .
Timu zikisikika zinakutana na Chelsea zinakua leo ni motoo.
Sio upuuzi wa misimu ya hivi karibuni timu hadi Epl underdogs akina Burnley ,Fulham nk wanatuona mafala
 
Ila kwa upande wangu naona Nicolas Jackson ni mzuri sana kwenye winger kuliko kucheza kama central forward .
Anauwezo wa kucontroll mpira na kuassist ,naona Jackson afanywe winger Tu
 
Na Chelsea ni moja ya club zenye academy bora zaidi duniani za kuzalisha vipaji , tunazalisha talents sana , tunapofail ni kwenye retention ya hizo talents na kuziingiza kutumika katika first team
Naona kama mda mwingine rules ndio zinafanya hali hii iwe hivyo.
Au tunapromote academy wengi kwemda 1st team kuliko inavyotakiwa? Hivyo nakufanya tushindwe kuwapa mda
 
Chelsea sio sehemu nzuri kwa wachezaji wa academy kuja kuchezea timu ya wakubwa ya Chelsea
Timu gani ni nzuri kwa academy, au umeishiwa point l;eo mkuu
Unataka tuanze kudadavua timu moja baada ya nyingine, especially hizi timu zinazopiganiua top 4 na makombe makubwa. Wewe unataka tuwaingize wote ndipo ujue ni mahali pazuri
Kumbuka tukiwakumbatia hawa academy tutazama nao Championship

Timu zote kubwa zinawaingiaza academy kwa merit, academy akionyesha quality kama akina Yamal anabaki, lakini uje kucheza kama Broja halafu tukuwache ubaki tu, uongozi, kocha wote watakuwa hawana akili. Na kocha atakayekubali huu upuuzi anajitafutia aibu ya kutimuliwa kabla ya december
 
Christeansen nahisi uongozi uliopita ulizingua uliposhindwa kumuongezea mkatab

Olise na Rice hao walikatwa since academy kwenye u15

Solanke alishindwa hata liverpool, some player naona kama Team mkubwa ningumu kufanikiwa

Solanke ni Kama Abraham tu,
Wachezaji wanakuja kukomaa nje ya Chelsea, mfano Mo Salah baada ya kushindwa Chelsea yeye alijitahidi kuprove Chelsea wrong nje ya Chelsea. Hata KDB ni hivyo hivyo. Sasa kwa timu yenye ushindani mkubwa kama Chelsea haiwezi msubiri mchezaji hadi akomae. Je tunajua atakomaa lini? muda huo wa kumsubiri akomae si tutakuwa tumeshuka daraja kama tukidevote kuwategemeawao?
 
Na Chelsea ni moja ya club zenye academy bora zaidi duniani za kuzalisha vipaji , tunazalisha talents sana , tunapofail ni kwenye retention ya hizo talents na kuziingiza kutumika katika first team
Kuuza wachezaji ni sehemu ya kuifanya timu ifanikiwe. Kuna watoto wengine ukiwasubiri wakomae unakwenda na maji
 
Reece James has suffered minor hamstring injury this week, as
@SJohnsonSport
has reported.Not serious injury but Chelsea staff will be careful to have Reece in best conditions possible when back.

Naomba kuwasilisha.
 
Yaan
Reece James has suffered minor hamstring injury this week, as
@SJohnsonSport
has reported.Not serious injury but Chelsea staff will be careful to have Reece in best conditions possible when back.

Naomba kuwasilisha.
Reece James has suffered minor hamstring injury this week, as
@SJohnsonSport
has reported.Not serious injury but Chelsea staff will be careful to have Reece in best conditions possible when back.

Naomba kuwasilisha.
Yaani hata msimu haujaanza kasha enda kitandani , huyu ni wa kuuzwa .
Kuna wachezaji pale wanakula mshahAra wa bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom