Kama Lengo ni kuwa na Club zaidi ya moja basi hizi sajili zingefaa zisubiri mpaka hapo Multi Club model ikamilike.
City Footbal Group ambao niwamiliki wa Man City wanamiliki zaidi ya Club 5, Girona,Troyes,Palermo,New York City,Melbourne, Montevideo, Lommel so unakuta sajili zao kwa wachezaj wenye potential zinafanyika kupitia hizo Club na si City direct, Then hizo club unaweza kuta wanamtoa kwa mkopp kwa club zao au nyingine ili adevelop kama Savio
Savio ni mchezaji wa Troyes ila akapelekwa kwa mkop Girona baada ya kufanya vizuri City wamemsajil kutoka Troyes
Sasa sisi sajili zote tunazifanya tunazifanya kama Chelsea huku tukiwa na club moja tu (Strasbough) hii inakuwa ngumu sana
Sajili zote za hawa madogo wanaojitafuta zingefanyika kwa club zingine pindi pale watakapofanya vizuri tunakuwa na uwezo wa kuwachukua taratibu. Sisi mfumo wetu bado haujakamilika ila tunafanya vitu kama mfumo uliokamilika