Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Gusto yuko vizuri, ni tofauti na James bado bado
Hata James alicheza vizuri, tofauti ni kwamba, James anakuwa mzuri zaidi kwenye FB kuliko kwenye kiungo,
Mfano jana Vin jr alidhibitiwa vizuri na James japo kuna baadhi ya matukio James alionekana mzito
 
Hao weupe ni chelsea na wekundu ni opponent team. Angalia hiyo space kati ya mabeki angalia idadi ya wachezaji wa timu pinzani katika zone ya Chelsea. Utaona huruma sana. Hapo ishu siyo wachezaji bali mpangalio wa wachezaji ambao kocha ameuchagua.

Nawambia haya ili mjiandae kisaikolojia tutakapo kutana na Man City ikiwa na Rodri, KFB, Halaand, Forden na Doku
Screenshot_20240807_181931_YouTube.jpg
 
Ebu akina Badiashile, Colwill, Tosin, Fofana na Disasi waangalie goli linavyolindwa na waache kututosa kila mechi hapa

 
Tumetoka namba 12 huko mpaka 6 msimu uliopita. Count down from 12 to 6 na wachezaji wengi walikuwa hawajafahamiana na wengine kama Jackson, Malo Gusto hawakuwa na uzoefu wa kucheza EPL. Fofana, Nkunku, James, wamemaliza msimu mzima wako injured plus wachezaji kibao walikuwa On and off the pitch kwa sababu ya injuries.

Kwa hiyo msimu huu, anything nje ya top four itakuwa na massive failure ukizingatia Jackson, Malo Gusto, Enzo (amecheza msimu mzim na injury), Caisedo, Nkunku ameshaanz kuijua ligi na waliokuwa na majeraha wameshapona labda Mudryk ndo mambo bado.

Mtu yeyote abilene ujinga wa chelsea kumaliza nje ya top four maana tulishaanza kuuona mwanga wa kuingia top four msimu huu maana gap kati ya Chelsea na namba 4 ilikuwa points kidogo sana.

Kocha akifeli atimuliwe na this time director of football wawekwe kiti moto pia for their incompetency
 
Hao weupe ni chelsea na wekundu ni opponent team. Angalia hiyo space kati ya mabeki angalia idadi ya wachezaji wa timu pinzani katika zone ya Chelsea. Utaona huruma sana. Hapo ishu siyo wachezaji bali mpangalio wa wachezaji ambao kocha ameuchagua.

Nawambia haya ili mjiandae kisaikolojia tutakapo kutana na Man City ikiwa na Rodri, KFB, Halaand, Forden na Doku
View attachment 3063954
Mancity mbali hii defensive pattern hata Brentford anajipigia si chini ya goli 4. Watu wanarusha lawama kwa individual player wanasahau ni ujinga wa kocha pia kulazimisha timu ikabie katikati ya uwanja ili hali haina wachezaji na uzoefu wa kufanya hivyo.
Pili na wasiwasi na approach ya kocha ni kama ana arrogance ya kutokuheshimu mpinzani wake huwezi wakabili timu kama City na Madrid kwa kuacha space kubwa then utegemee matokeo eti unakomaa uwe na possession kubwa .Real Madrid anapocheza na city ni tofauti na anavyocheza na Bayern,Chelsea etc mpinzani wako anapokuwa proven superior kwenye tactics fulani kocha mwenye akili plan A ni kuzuia kwanza strength ya adui yako then unatafuta weakness yake sasa makocha wenye flat approach ya game kwa kizazi hiki nawachukulia kama makocha wa timu ndogo.
Kingine ambacho kocha anamtihani ni kusimamia nidhamu za wachezaji mfano jana Madueke na Sterling walikuwa wanacheza kama bonanza la veteran na sikuona reaction yoyote ya kocha
Kitu positive angalau kutoka msimu uliopita ni kujaribu kwenda mbele kwa kasi pindi tunapowin mpira otherwise na predict kuna mechi tutafungwa goli 6 kama kocha asipokuwa flexible na falsafa zake
 
Mancity mbali hii defensive pattern hata Brentford anajipigia si chini ya goli 4. Watu wanarusha lawama kwa individual player wanasahau ni ujinga wa kocha pia kulazimisha timu ikabie katikati ya uwanja ili hali haina wachezaji na uzoefu wa kufanya hivyo.
Pili na wasiwasi na approach ya kocha ni kama ana arrogance ya kutokuheshimu mpinzani wake huwezi wakabili timu kama City na Madrid kwa kuacha space kubwa then utegemee matokeo eti unakomaa uwe na possession kubwa .Real Madrid anapocheza na city ni tofauti na anavyocheza na Bayern,Chelsea etc mpinzani wako anapokuwa proven superior kwenye tactics fulani kocha mwenye akili plan A ni kuzuia kwanza strength ya adui yako then unatafuta weakness yake sasa makocha wenye flat approach ya game kwa kizazi hiki nawachukulia kama makocha wa timu ndogo.
Kingine ambacho kocha anamtihani ni kusimamia nidhamu za wachezaji mfano jana Madueke na Sterling walikuwa wanacheza kama bonanza la veteran na sikuona reaction yoyote ya kocha
Kitu positive angalau kutoka msimu uliopita ni kujaribu kwenda mbele kwa kasi pindi tunapowin mpira otherwise na predict kuna mechi tutafungwa goli 6 kama kocha asipokuwa flexible na falsafa zake
Wewe umeongea kama mtu anayeutazama mpira siyo wale wazee wakutafisiri tweets na posts za huko X. Yaan Psy au Conn akisema jambo huwaambii kitu
 
Hao weupe ni chelsea na wekundu ni opponent team. Angalia hiyo space kati ya mabeki angalia idadi ya wachezaji wa timu pinzani katika zone ya Chelsea. Utaona huruma sana. Hapo ishu siyo wachezaji bali mpangalio wa wachezaji ambao kocha ameuchagua.

Nawambia haya ili mjiandae kisaikolojia tutakapo kutana na Man City ikiwa na Rodri, KFB, Halaand, Forden na Doku
View attachment 3063954
Mkuu sometime tuache chuki, angalia game zote, na hiyo hali ukiambiwa sisi ndio tuliokiwa na mpira tunaanza.

Usitegemee hata ni wewe ndani ya siku moja uwafundishw watu na wakaelewa hapo hapo ni ngumu.

Mapungufu tuliyonayo ni pale tunapokuwa hatuna mpira na tunapoweka high defensive line ndio changamoto ilipo wapo wachezaji wanajarib kucheza offside trap kuna wengine bado kama hawajazoea.


Ni swala la mda kila kitu kitakaa sawa
 
Mancity mbali hii defensive pattern hata Brentford anajipigia si chini ya goli 4. Watu wanarusha lawama kwa individual player wanasahau ni ujinga wa kocha pia kulazimisha timu ikabie katikati ya uwanja ili hali haina wachezaji na uzoefu wa kufanya hivyo.
Pili na wasiwasi na approach ya kocha ni kama ana arrogance ya kutokuheshimu mpinzani wake huwezi wakabili timu kama City na Madrid kwa kuacha space kubwa then utegemee matokeo eti unakomaa uwe na possession kubwa .Real Madrid anapocheza na city ni tofauti na anavyocheza na Bayern,Chelsea etc mpinzani wako anapokuwa proven superior kwenye tactics fulani kocha mwenye akili plan A ni kuzuia kwanza strength ya adui yako then unatafuta weakness yake sasa makocha wenye flat approach ya game kwa kizazi hiki nawachukulia kama makocha wa timu ndogo.
Kingine ambacho kocha anamtihani ni kusimamia nidhamu za wachezaji mfano jana Madueke na Sterling walikuwa wanacheza kama bonanza la veteran na sikuona reaction yoyote ya kocha
Kitu positive angalau kutoka msimu uliopita ni kujaribu kwenda mbele kwa kasi pindi tunapowin mpira otherwise na predict kuna mechi tutafungwa goli 6 kama kocha asipokuwa flexible na falsafa zake
Hii ni Pre season huwez kwenye Pre season ukaamza kupark bus au ukaanza kucheza kwa tahadhari au ukabe kwa nguvu kisa.

Unatumia nafasi hiyo kujiimarisha na kubaini makosa yako,.

Hakuna mtu anayeyetea ila naona watu wengi ni kama tunamdharau Maresca vile.

Ndio maana Wengi humu hatutaki kutoa maamuzi kwa sababu ya pre season league ikishaanza sindio tutajua.

Makosa yale yale bado yanajirudia au vipi?
Pre season ya mwaka jana Poch alitupa matumaini ila kwenye league kila mtu aliongea.

Kuimplement idea zako ni overnight process na si kitu cha siku moja tutegemee error za hapa na pale sometime wachezaji kujisahahau. Ila wataelewa .

Kila shabiki humu huwa anakocha wake wengi now wanataka makocha wakubwa so anapokuja kocha ambae hakutegemewa na makosa kama hayo yanaonekana tunachukulia nafasi hiyo kumwrite off,


Wengi wetu tunasahau nini maana ya Pre Season, mnataka Kocha hadi kwenye Pre season acheze kwa tahadhari hicho kotu huwa akipo
 
Hii ni Pre season huwez kwenye Pre season ukaamza kupark bus au ukaanza kucheza kwa tahadhari au ukabe kwa nguvu kisa.

Unatumia nafasi hiyo kujiimarisha na kubaini makosa yako,.

Hakuna mtu anayeyetea ila naona watu wengi ni kama tunamdharau Maresca vile.

Ndio maana Wengi humu hatutaki kutoa maamuzi kwa sababu ya pre season league ikishaanza sindio tutajua.

Makosa yale yale bado yanajirudia au vipi?
Pre season ya mwaka jana Poch alitupa matumaini ila kwenye league kila mtu aliongea.

Kuimplement idea zako ni overnight process na si kitu cha siku moja tutegemee error za hapa na pale sometime wachezaji kujisahahau. Ila wataelewa .

Kila shabiki humu huwa anakocha wake wengi now wanataka makocha wakubwa so anapokuja kocha ambae hakutegemewa na makosa kama hayo yanaonekana tunachukulia nafasi hiyo kumwrite off,


Wengi wetu tunasahau nini maana ya Pre Season, mnataka Kocha hadi kwenye Pre season acheze kwa tahadhari hicho kotu huwa akipo
Umeongea vizuri sana
 
Wewe umeongea kama mtu anayeutazama mpira siyo wale wazee wakutafisiri tweets na posts za huko X. Yaan Psy au Conn akisema jambo huwaambii kitu
Hakuna mtu anayetafsiri Tweet. Watu hawatafsiri tweet ni vile katika kuangalia mpira tunatofautiana kuna watu wapo wanafocus kwenye kuangalia Negative tu ila wapo tunaoangalia both Positive na Negative

Tunatofautiana kwenye kuangalia, Ndio maana sisi wengine kuangalia mpira banda umiza hatuwez kwa sabab tunataka mpka tuangalie match build up, au vile vipindk vya baada matchday live kuisha ili tuskilize kwa watu wanaojua .

Na ndio maana mimi humu utakuta hata mchezaji ambae simjui au namjua siwez kumslander bila kuumpa nafasi.

Hao wakina pys,con,dailycfc, etcmara ngapi wanawaslander wachezaji ambao wengi unakuta hawajui. Kisa tu wanataka big name signing,

Kwanza Fanbase ya chelsea twitter ni worse fanbase. fanbase ya ajabu kuliko fanbass ya team zingine imejaa toxic sana.
Kila mtu anaplayer wake player tofauti akija tu maneno hakuna support

Ni kama sasa hiv wengi wanavyomwrite off Samu, Wanashindaa kuumpa support
 
Enzo Fernandez anategemewa kutangazwa kuwa Vice Captain.

Source:The Times-Gary Jacob
 
Hakuna mtu anayetafsiri Tweet. Watu hawatafsiri tweet ni vile katika kuangalia mpira tunatofautiana kuna watu wapo wanafocus kwenye kuangalia Negative tu ila wapo tunaoangalia both Positive na Negative

Tunatofautiana kwenye kuangalia, Ndio maana sisi wengine kuangalia mpira banda umiza hatuwez kwa sabab tunataka mpka tuangalie match build up, au vile vipindk vya baada matchday live kuisha ili tuskilize kwa watu wanaojua .

Na ndio maana mimi humu utakuta hata mchezaji ambae simjui au namjua siwez kumslander bila kuumpa nafasi.

Hao wakina pys,con,dailycfc, etcmara ngapi wanawaslander wachezaji ambao wengi unakuta hawajui. Kisa tu wanataka big name signing,

Kwanza Fanbase ya chelsea twitter ni worse fanbase. fanbase ya ajabu kuliko fanbass ya team zingine imejaa toxic sana.
Kila mtu anaplayer wake player tofauti akija tu maneno hakuna support

Ni kama sasa hiv wengi wanavyomwrite off Samu, Wanashindaa kuumpa support
Busara nzuri ni kumpa mchezaji nafasi kama Broja tumemvumilia wee, wengine wakasema ni majeruhi yamemharibu wapi. sijawahi kumuona mchezaji so lazy kama Broja.

Huu uongozi wameamua kubadili gia kabisa, hawataki tena risk kwa wachezaji wenye majina makubwa na bei kubwa.
Yale matakataka yaliyouzwa ukichanganya na Lukaku ni mfaqno halisi ambao mimi unanipa kusita kuwalaumu wamiliki na SD.

Ukimnunuia Osimhen kwa milioni 100 na kumlipa mshahara mkubwa halafu akaflop, huna pa kumpeleka, inabidi tu ubebe mziggo wako hadi mkataba wake uishe.

Angalia Sterling katika umri wa miaka 29 na mshahara wa laki 325/wiki anancheza 1v1 kama mtoto wa miaka 16, hata Paez hawezi cheza kama yeye. Kumuuza ni ngumu kwa sababu ya mshahara.

Kumnunua Samu na urefu wake ule na mwili wake ule na agrersiveness yake ile ikitiki ni faida kubwa sana kwa timu na hata isipotiki sio mzigo kumuuza kwa sababu anauzika.
 
Enzo Fernandez anategemewa kutangazwa kuwa Vice Captain.

Source:The Times-Gary Jacob
Kuna sehemu niliandika huko nyuma hata kuwa kapteni kabisa anafaa kwa sababu anakuwa active uwanjani, ni mfano wa kuigwa kwenye uchezaji, mentality yake ni positive, ana mapenzi ya kweli na timu. Ana hekima. Angalia hata suala la ubaguzi alivyolishughulikia hadi ikafa kifo cha mende. Natamani angekuwa Kampeni kwa sababu sioni James akiwa na impact yeyote yeye tangu awe kapteni.
 
Hii ni Pre season huwez kwenye Pre season ukaamza kupark bus au ukaanza kucheza kwa tahadhari au ukabe kwa nguvu kisa.

Unatumia nafasi hiyo kujiimarisha na kubaini makosa yako,.

Hakuna mtu anayeyetea ila naona watu wengi ni kama tunamdharau Maresca vile.

Ndio maana Wengi humu hatutaki kutoa maamuzi kwa sababu ya pre season league ikishaanza sindio tutajua.

Makosa yale yale bado yanajirudia au vipi?
Pre season ya mwaka jana Poch alitupa matumaini ila kwenye league kila mtu aliongea.

Kuimplement idea zako ni overnight process na si kitu cha siku moja tutegemee error za hapa na pale sometime wachezaji kujisahahau. Ila wataelewa .

Kila shabiki humu huwa anakocha wake wengi now wanataka makocha wakubwa so anapokuja kocha ambae hakutegemewa na makosa kama hayo yanaonekana tunachukulia nafasi hiyo kumwrite off,


Wengi wetu tunasahau nini maana ya Pre Season, mnataka Kocha hadi kwenye Pre season acheze kwa tahadhari hicho kotu huwa akipo
Utashangaa hata huyu Colwill ambaye anacheza hovyo ligi ikianza atakuwa sio yeye wa preseaosn
Mimi ninaw wasiwasi na Badiashile tu, naona kama huyu dogo amepotea kabisa hajui afanye nini kama beki, mzito, hasomi mchezo, habashiri ahatari inatokea wapi. Chalobah kinachomsaidia mechi zake baada ya kurudi majeruhi amekuwa mzuri kwenye kusoma na kubashiri danger inapita wapi kwenye backline. Hii tabia ndio iliyompa ujiko Silva
Ebu akina Badiashile, Colwill, Tosin, Fofana na Disasi waangalie goli linavyolindwa na waache kututosa kila mechi hapa

View attachment 3063875
 
Utashangaa hata huyu Colwill ambaye anacheza hovyo ligi ikianza atakuwa sio yeye wa preseaosn
Mimi ninaw wasiwasi na Badiashile tu, naona kama huyu dogo amepotea kabisa hajui afanye nini kama beki, mzito, hasomi mchezo, habashiri ahatari inatokea wapi. Chalobah kinachomsaidia mechi zake baada ya kurudi majeruhi amekuwa mzuri kwenye kusoma na kubashiri danger inapita wapi kwenye backline. Hii tabia ndio iliyompa ujiko Silva
Nadhan msimu huu ndio ukawa wa mwisho kwa baadhi ya wachezaji kama wakishindwa kuperform.
Badiashile na Mudryk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom