Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu sometime tuache chuki, angalia game zote, na hiyo hali ukiambiwa sisi ndio tuliokiwa na mpira tunaanza.

Usitegemee hata ni wewe ndani ya siku moja uwafundishw watu na wakaelewa hapo hapo ni ngumu.

Mapungufu tuliyonayo ni pale tunapokuwa hatuna mpira na tunapoweka high defensive line ndio changamoto ilipo wapo wachezaji wanajarib kucheza offside trap kuna wengine bado kama hawajazoea.


Ni swala la mda kila kitu kitakaa sawa
Bioa kubadili hili mtakuwa wa kwanza kupiga kelele tukianza kufungwa na akina West Ham
 
Hii ni Pre season huwez kwenye Pre season ukaamza kupark bus au ukaanza kucheza kwa tahadhari au ukabe kwa nguvu kisa.

Unatumia nafasi hiyo kujiimarisha na kubaini makosa yako,.

Hakuna mtu anayeyetea ila naona watu wengi ni kama tunamdharau Maresca vile.

Ndio maana Wengi humu hatutaki kutoa maamuzi kwa sababu ya pre season league ikishaanza sindio tutajua.

Makosa yale yale bado yanajirudia au vipi?
Pre season ya mwaka jana Poch alitupa matumaini ila kwenye league kila mtu aliongea.

Kuimplement idea zako ni overnight process na si kitu cha siku moja tutegemee error za hapa na pale sometime wachezaji kujisahahau. Ila wataelewa .

Kila shabiki humu huwa anakocha wake wengi now wanataka makocha wakubwa so anapokuja kocha ambae hakutegemewa na makosa kama hayo yanaonekana tunachukulia nafasi hiyo kumwrite off,


Wengi wetu tunasahau nini maana ya Pre Season, mnataka Kocha hadi kwenye Pre season acheze kwa tahadhari hicho kotu huwa akipo
Kitakachofnyika ni kitu kimoja. Timu zimeshajua namna ya kuanzisha mashambulizi. Hivyo watamarkiwa watu wote wanaopaswa kupokea mpira, alafu nafasi ya kupasi itazibwa na kuwaweka defenders na defensive midfield katika pressure ili wafanye makosa.

So lazima namna ya kuanzisha mashambulizi iangaliwe.
 
Busara nzuri ni kumpoa mchezaji nafasi nkama Brojan tumemvumilia wee, wengine wakasema ni majeruhi yamemharibu wapi. sijawahi kumuona mchezaji so lazy kama Broja

Huu uongozi wameamua kubadili gia kabisa, hawataki tena risk kwa wachezaji wenye majina makubwa na bei kubwa.
Yale matakataka yaliyouzwa ukichanganmya na Lukaku ni mfaqno halisi ambao mimi unanipa kusita kuwalaumu wamiliki na SD

Ukimnunuia Osimhen kwa milioni 100 na kumlipa mshahara mkubwa halafu akaflop, huna pa kumpeleka, inabidi tu ubebe mziggo wako hadi mkataba wake uishe

Angalia Sterling katika umri wa miaka 29 na mshahara wa laki 325/wiki anancheza 1v1 kama mtoto wa miaka 16, hata Paez hawezi cheza kama yeye. Kumuuza ni ngumu kwa sababu ya mshahara

Kumnunua Samu na urefu wake ule na mwili wake ule na agrersiveness yake ile ikitiki ni faida kubwa sana kwa timu na hata isipotiki sio mzigo kumuuza kwa sababu anauzika
Samu anakuwa kuwa benching warmer nyuma ya Jackson.
 
Kitakachofnyika ni kitu kimoja. Timu zimeshajua namna ya kuanzisha mashambulizi. Hivyo watamarkiwa watu wote wanaopaswa kupokea mpira, alafu nafasi ya kupasi itazibwa na kuwaweka defenders na defensive midfield katika pressure ili wafanye makosa.

So lazima namna ya kuanzisha mashambulizi iangaliwe.
Kama ulicheki game dhid ya Club America zilipigwa pasi kama tatu Then Jorgansen akapiga ndefu kwa Broja,

Nachojaribu kusema sio lazima kila mpira uanze hivyo kuna zingine zinaweza kupigwa ndefu kama kutokea nyuma
Lengo la sasa ni wachezaji kuelewa namna ya uchezaji,

Dhidi ya man City walijaribu kumpress lavia Lavia alipiga pass moja tu kwa Madueke then Goal

Wachezaji wakishaelewa mfumo ukoje natumai watafanya vizuri,
 
Samu anakuwa kuwa benching warmer nyuma ya Jackson.
Huyo Kijana watapeana chalenge kubwa sana na Jackson na nadhani itakuwa kwa faida ya Chelsea, zile miss miss za Jackson zitapungua na kumfanya angalau msimu huu afikishe 20+ goals
 
Kama ulicheki game dhid ya Club America zilipigwa pasi kama tatu Then Jorgansen akapiga ndefu kwa Broja,

Nachojaribu kusema sio lazima kila mpira uanze hivyo kuna zingine zinaweza kupigwa ndefu kama kutokea nyuma
Lengo la sasa ni wachezaji kuelewa namna ya uchezaji,

Dhidi ya man City walijaribu kumpress lavia Lavia alipiga pass moja tu kwa Madueke then Goal

Wachezaji wakishaelewa mfumo ukoje natumai watafanya vizuri,
Good news, Maresca ni kama anaeleweka kwa urahisim kuliko yule mgiriki Pochettino. Naamini ndanai ya miezi miwli hadi mitatu timu itakuwa imetulia kwani wachezaji wameshazoea mfumo wa kocha na kocha ameshawajua wachezaji awapangeje
 
Good news, Maresca ni kama anaeleweka kwa urahisim kuliko yule mgiriki Pochettino. Naamini ndanai ya miezi miwli hadi mitatu timu itakuwa imetulia kwani wachezaji wameshazoea mfumo wa kocha na kocha ameshawajua wachezaji awapangeje
poch alikuwa mgumu sana kukubali tatizo ila maresca tunachokiona sisi na yeye anakiona akiweza kutatua hayo matatizo basi tutqkuwa sawa.

Poch alikuwa mgumu sana kukubali shida inapoonekana na hakutaka hata kuzungumzia.
 
Mtu yeyote abilene ujinga wa chelsea kumaliza nje ya top four maana tulishaanza kuuona mwanga wa kuingia top four msimu huu maana gap kati ya Chelsea na namba 4 ilikuwa points kidogo sana.

Kocha akifeli atimuliwe na this time director of football wawekwe kiti moto pia for their incompetency
Mpaka sasa Nahisi SD wanahitaji kuwa accountable.

If plan ilikuwa possession based footbal toka mwanzo why Walimuappoint Poch mwanzoni

Hizi sajili za hawa U20 plan yao ni ipi ukiwatoa Estevao,Paez,Anselmino na Mec hawa wengine plan ni ipi maana everyday tunasajili

Tunaspend sana kwa U20 wengine wako kwa mkopo huko plan ni ipi?
 
Huyo Kijana watapeana chalenge kubwa sana na Jackson na nadhani itakuwa kwa faida ya Chelsea, zile miss miss za Jackson zitapungua na kumfanya angalau msimu huu afikishe 20+ goals
Kijana ebu kuwa serious huyo dogo kamaliza league ana goal 9 alafu aje kupiga 20+ Epl?
 
Mpaka sasa Nahisi SD wanahitaji kuwa accountable.

If plan ilikuwa possession based footbal toka mwanzo why Walimuappoint Poch mwanzoni

Hizi sajili za hawa U20 plan yao ni ipi ukiwatoa Estevao,Paez,Anselmino na Mec hawa wengine plan ni ipi maana everyday tunasajili

Tunaspend sana kwa U20 wengine wako kwa mkopo huko plan ni ipi?
Money laundering
 
Mpaka sasa Nahisi SD wanahitaji kuwa accountable.

If plan ilikuwa possession based footbal toka mwanzo why Walimuappoint Poch mwanzoni

Hizi sajili za hawa U20 plan yao ni ipi ukiwatoa Estevao,Paez,Anselmino na Mec hawa wengine plan ni ipi maana everyday tunasajili

Tunaspend sana kwa U20 wengine wako kwa mkopo huko plan ni ipi?
Kingine kinachonishangaza kila dirisha lazima wasajili hao makinda tena wanasajili wengi bado ujapata feedback ya walipita na still unaongeza wengine sijui hii team inashida gani
 
Labda wameona hii biashara ya kununua makinda na kuwatoa kwa mkopo then kuwauza inawalipa .
Doesn't make sense Una Lundo la wachezaji na huwapi chance , mfano ni yule Daivid Washington , Santos nk
Wale madogo wana talent ,mi naona kuwapeleka kwa mkopo huko na kuwashughulisha benchi kila siku ni kama kuharibu prospects zao .
Wale madogo wangekuwa Liverpool , Arsenyetoz nk wangekuwa fire .
Una galasa kama Broja ambaye kaprove kuwa ni failure , why wasimuuze Broja na nafasi hiyo Daivid Washington apate chance ya kucheza hata mechi za FA au carabao ili apate confidence , kudevelop na kuprove ubora wake ?
 
Maana Ghalagher tumeuza , na kama Lavia au midfielder yoyote aliumia sidhani kama tutakuwa salama + tuna mashindano mengi ,Fa, carabao ,Epl , conference league .
Ni marathon za kutosha ,nadhani wambakishe , hii tabia ya kuharibu talents za hawa madogo inanikera
 
Labda wameona hii biashara ya kununua makinda na kuwatoa kwa mkopo then kuwauza inawalipa .
Doesn't make sense Una Lundo la wachezaji na huwapi chance , mfano ni yule Daivid Washington , Santos nk
Wale madogo wana talent ,mi naona kuwapeleka kwa mkopo huko na kuwashughulisha benchi kila siku ni kama kuharibu prospects zao .
Wale madogo wangekuwa Liverpool , Arsenyetoz nk wangekuwa fire .
So far hatujauza,

Mult clun model waliyonayo city sisi tunayitaka kutengeneza ni tofauti
City unakuta team wanazomiliki wanasajili wenyewe maendeleo yakiwa mazuri kwa yule mchezaji wanamnunua bei ya kawaida tu kama Savio.

Sasa sisi tunatia aibu, kila dirisha tunasajil zaidi ya watoto wa 4 plan yao ni ipi
Hao wachezaji sibora wasajiliwe na Strasbog moja kwa moja if matokeo yakiwa mazuri ndio tuwasajili sasa kuliko hii hali yani tunatumia kiasi kikubwa kwa watoto na stil tunaonekana baadhi ya area atuko sawa
 
Kingine kinachonishangaza kila dirisha lazima wasajili hao makinda tena wanasajili wengi bado ujapata feedback ya walipita na still unaongeza wengine sijui hii team inashida
Hii timu imetoka kwa mmiliki shabiki wa mpira kwenda kwa wafanya biashara ya mpira
 

Attachments

  • Screenshot_20240808_213715_X.jpg
    Screenshot_20240808_213715_X.jpg
    669.8 KB · Views: 6
Kingine kinachonishangaza kila dirisha lazima wasajili hao makinda tena wanasajili wengi bado ujapata feedback ya walipita na still unaongeza wengine sijui hii team inashida gani
Hwa wakurugenzi wetu wa michezo ni takataka.

Wana maswali mengi ya kujibu, Leo tunasajil kipa mwingine huko Genk kipa aliyecheza mechi 1 tu hakaf wakat huo huo umesajil Slonina,Petrovic, bado kuna wakutola Academy yani unashindwa kuelewa plan ni nini
 
Duh !
Yule Dogo Fofana aliyekuwa Burnley Kwa mkopo vipi tena ?
leicester na Stuttgart wanamtaka, chelsea wanataka yeyote atakaemchukua amchhue permanent ( either owe permanent deal now au loan + obligation to buy)

Broja nae iko hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom