Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1722983285590.png
 
Kwa muda uliojiunga JF then hujui tofauti ya £ na € unatakiwa ujitafakari sana uwezo wako wa kuchanganua na kufikiri mambo
Wapi umeongelea Euro
Deal kamili ni 70€ fixed + 30Ml kama add ons na sioni kwa mudryk hizo add ons zakw zikienda kufanikiwa amekuwa hana muendelezo mzuri, off zake ni nyingi sana sitoshangaa kuona msim wa 2025/2026 akiwa ni mmoja wa wachezaji wanaotakiwa kuuzwa au kutolewa kwa mkopo wenzakw wotw wanaadapt viziuri ipa kwa mudryk naona yeye bado
 
FT
Madrid 2 - 1 The Blues
Tunatengeneza nafas nyingi za kufunga ila umaliziaji bado.
Positive- Tunapokuwa na mpira tunaenda vizuri sana na hata tukiwa kwenye pressure tukipata mpira utulivu unakuwepo wa kuondoka hapo
Wachezaji wanazidi kuimarika except Mudryk naona kama yeye ndio yuko nyuma.

Negative- defensively bado sana, team nzima kwenye swala la kujilinda bado hat CB.
CB kuna mda wanapishana kwenye maamuzi ya kuchezaza offside trap.

Na uzuri hilo swala zima la ulinzi Maresca ameliona na ameliongea natumai kwemye league tutakuwa vizuro defensively
 
Maresca: “We are trying to drop the defensive line a little bit, usually about four or five metres, just to have some advantage. Last year, we already conceded many goals with this problem. Hopefully we can solve it very soon.
 
Maresca: “We are trying to drop the defensive line a little bit, usually about four or five metres, just to have some advantage. Last year, we already conceded many goals with this problem. Hopefully we can solve it very soon.
Chelsea siwaelewi kwa kweli why wanataka kumsajili yule samu mwenye goal 8 season nzima
 
Chelsea siwaelewi kwa kweli why wanataka kumsajili yule samu mwenye goal 8 season nzima
Nadhan kuna vitu wanaviona labda sisi hatuvioni,
Baadhi page nilizopitia wanasema anapotential ya kuwa number 9 mzuri sana kwa sifa alizonazo powerful,aerial threat,movement zake, na finishing

Changamoto iliyopo ni he is still raw. So tutegemee makosa

Kufunga goal 8 naona sio sababu ya kumfanya mtu asisajiliwe huwa kuna factor nyingi za mtu mpaka anafunga hzio goal, Alaves msim mzima wamefunga goal 35 kama sijakosea

Kitu nachoweza kusema ni bado tutahija kumpa mda, hapo ndipo tunapokesea maana Jackson,Guiu wote hawa bado wanahitaj kuendelea kupewa mda

Tungempata mtu kama Osihmen, nadhan ingekuwa rahisi kwa Jackson na Guiu kuendelea kukua vizuri maana pressre wasingekuwa nayo.
 
Nadhan kuna vitu wanaviona labda sisi hatuvioni,
Baadhi page nilizopitia wanasema anapotential ya kuwa number 9 mzuri sana kwa sifa alizonazo powerful,aerial threat,movement zake, na finishing

Changamoto iliyopo ni he is still raw. So tutegemee makosa

Kufunga goal 8 naona sio sababu ya kumfanya mtu asisajiliwe huwa kuna factor nyingi za mtu mpaka anafunga hzio goal, Alaves msim mzima wamefunga goal 35 kama sijakosea

Kitu nachoweza kusema ni bado tutahija kumpa mda, hapo ndipo tunapokesea maana Jackson,Guiu wote hawa bado wanahitaj kuendelea kupewa mda

Tungempata mtu kama Osihmen, nadhan ingekuwa rahisi kwa Jackson na Guiu kuendelea kukua vizuri maana pressre wasingekuwa nayo.
Kizuri umejibu mwenyewe kwenye aya ya mwisho ndio maana mimi siielewi hii management inakuwaga inafikiri nini
 
Kizuri umejibu mwenyewe kwenye aya ya mwisho ndio maana mimi siielewi hii management inakuwaga inafikiri nini
Nadhani tusilalamike sana tusubiri tuone huenda akaja akafanya vizuri kuzidi waliokuwepo.

Palmer wakat anasajiliwa mashabiki hawakumpa nafasi ila kadri siku zilivyozidi kwenda ndio kama akawa mkombozi wetu.

Tusubir tuone kwa nafasi tunazotengeneza akiweza kumaliza vizur then itakuw ni bergain
 
Hii ndio chelsea ya kina Todd na wenzake
 

Attachments

  • FB_IMG_1723023884092.jpg
    FB_IMG_1723023884092.jpg
    36.9 KB · Views: 15
Hii ndio chelsea ya kina Todd na wenzake
Badiashile hapa alizingua,

Thiago Silva za hiv alikuwa anazitoa sana ila kwa badiashile baada ya kumuona tu kipa katoka nayeye akaslow down badala awah golini ila yeye akapunguza speed .
 
Tunatengeneza nafas nyingi za kufunga ila umaliziaji bado.
Positive- Tunapokuwa na mpira tunaenda vizuri sana na hata tukiwa kwenye pressure tukipata mpira utulivu unakuwepo wa kuondoka hapo
Wachezaji wanazidi kuimarika except Mudryk naona kama yeye ndio yuko nyuma.

Negative- defensively bado sana, team nzima kwenye swala la kujilinda bado hat CB.
CB kuna mda wanapishana kwenye maamuzi ya kuchezaza offside trap.

Na uzuri hilo swala zima la ulinzi Maresca ameliona na ameliongea natumai kwemye league tutakuwa vizuro defensively
Sterling naye anaimarika??
Badiashile je?
 
Mliongalia naombeni mtuchambulie
Hakuna cha kuchambua hapo sana sana
Mudryk, Badiashile na Sterling wanaboa sana
PIa Defense bado sana, inexperience, aidha viungo wanaachia mashambulizi au mabeki wameshindwa kujipanga kila saa tukishambuliwa wanaweka high line ambayo inapitwa kirahisi
Good news ni kwamba falsafa inaelekea kueleweka, ball control na pasi za haraka haraka zinafanyika ila tu tukipoteza wachezaji wanatembea badala ya kukimbia kukaba
Good news nyingine jana Enzo kacheza vizuri, form yake ya wakati wa Potter inataka kurudi
 
Badiashile hapa alizingua,

Thiago Silva za hiv alikuwa anazitoa sana ila kwa badiashile baada ya kumuona tu kipa katoka nayeye akaslow down badala awah golini ila yeye akapunguza speed .
Huyo mchawi na mganga wake ananguvu sana, al;itakiwa hata asiwepo kwenye kikosi, anajaza uchafu tu kwenye kikosi
 
Hakuna cha kuchambua hapo sana sana
Mudryk, Badiashile na Sterling wanaboa sana
PIa Defense bado sana, inexperience, aidha viungo wanaachia mashambulizi au mabeki wameshindwa kujipanga kila saa tukishambuliwa wanaweka high line ambayo inapitwa kirahisi
Good news ni kwamba falsafa inaelekea kueleweka, ball control na pasi za haraka haraka zinafanyika ila tu tukipoteza wachezaji wanatembea badala ya kukimbia kukaba
Good news nyingine jana Enzo kacheza vizuri, form yake ya wakati wa Potter inataka kurudi
Vipi kuhusu James na Agusto performance zao zilikuaje? au walichezeshwa kwa namna ipi na kocha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom