Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachezaji wetu gani walikuwa bora? Sikuicheki game
Aliyekuwa worse ni Mudryk, Caicedo na Enzo bado wako likizo, Madueke naona amedhamiria kubaki first XI,
Sterling kama nilivyosema huko nyuma huu utakuwa msimu wake, atarudi kwenye ile form ya 2018
Wachezaji hawa walicheza vizuri zaidi ya wenzake
  1. Madueke
  2. Lavia
  3. Sterling
  4. KDH napenda anavyo kimbilia kwenye box, anaijua vizuri falsafa ya Enzo Maresca
  5. Guiu kidogo, runs zake kama striker ni nzuri sana
 
Preseason ya 2010 Chelsea ilifanya vibaya sana lakin i bado ilishinda FA na Ligi
1722811100158.png
 
🚨⚪️🔴 More on Conor Gallagher and Atlético Madrid.

Two PL clubs tried to enter the race but Gallagher considered two options: sign new two-year deal at Chelsea or join Atlético.

Proposal accepted tonight on contract valid until June 2029, waiting for formal steps later today.

(Via Fabrizio Romano)

📲 @ChelseaFcWorldWide_001
 
🚨🔴⚪️ EXCLUSIVE: Conor Gallagher has verbally agreed terms and said YES to join Atlético Madrid!

‘Here we go’ to follow today after formal steps, five year deal 🧨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

La Liga’s record fee this summer, €40m to Chelsea — brokered by Ali Barat from Epic Sports and Paul Nicholls.

(Via Fabrizio Romano)

📲 @ChelseaFcWorldWide_001
 
Angalia uchezaji wa Maresca ulivyoibadili timu

View attachment 3061850
Nashangaa wanaolalamika!! Angalao kuna kamwanga kanaonekana japo tunafungwa, na tunafungwa tu kwa makosa ya mabeki, na makosa hayo yanarekebishika.

Aliyetoa hiyo pasi kwenda juu kule ni nani? Napenda wachezaji wa hivyo, unapga pass ya haraka kabla njia yake haijafungwa,hapa Rodry ndio anapowaacha viungo wengi. angekua ghallagah hiyo pass ingerudishwa kw beki.

Madueke bado ni mduanzi, hamna kitu mule, kukimbia kimbia tu na mpira bila akili. Angekua mchezaji mwenye akili kuna mchezaji alishafungua apewe V pass. Sema madueke kwa kua akili amezifugia rasta akaamua kujipgia tu kati.
 
Hivi hawa scouts wanaona nini kwa huyo dogo Samu.Timu imegoma kabisa kununua experienced players
 

Attachments

  • Screenshot_20240805_202403_UC Browser.jpg
    Screenshot_20240805_202403_UC Browser.jpg
    110.8 KB · Views: 11
Nashangaa wanaolalamika!! Angalao kuna kamwanga kanaonekana japo tunafungwa, na tunafungwa tu kwa makosa ya mabeki, na makosa hayo yanarekebishika.

Aliyetoa hiyo pasi kwenda juu kule ni nani? Napenda wachezaji wa hivyo, unapga pass ya haraka kabla njia yake haijafungwa,hapa Rodry ndio anapowaacha viungo wengi. angekua ghallagah hiyo pass ingerudishwa kw beki.

Madueke bado ni mduanzi, hamna kitu mule, kukimbia kimbia tu na mpira bila akili. Angekua mchezaji mwenye akili kuna mchezaji alishafungua apewe V pass. Sema madueke kwa kua akili amezifugia rasta akaamua kujipgia tu kati.
Yeah, angekuwa Cole Palmer hapo angenyanua mpira umfikie mfungaji
 
Hivi hawa scouts wanaona nini kwa huyo dogo Samu.Timu imegoma kabisa kununua experienced players
Kuna uwezekano tukawanunau wote
Samu Omorodion na Victor Osimhen

Chelsea are in POWERFUL POSITION to sign Samu Omorodion and could also bring in Victor Osimhen
@Matt_Law_DT
 
Nashangaa wanaolalamika!! Angalao kuna kamwanga kanaonekana japo tunafungwa, na tunafungwa tu kwa makosa ya mabeki, na makosa hayo yanarekebishika.

Aliyetoa hiyo pasi kwenda juu kule ni nani? Napenda wachezaji wa hivyo, unapga pass ya haraka kabla njia yake haijafungwa,hapa Rodry ndio anapowaacha viungo wengi. angekua ghallagah hiyo pass ingerudishwa kw beki.

Madueke bado ni mduanzi, hamna kitu mule, kukimbia kimbia tu na mpira bila akili. Angekua mchezaji mwenye akili kuna mchezaji alishafungua apewe V pass. Sema madueke kwa kua akili amezifugia rasta akaamua kujipgia tu kati.
Aliyetoa pasi kwenda kwa Madueke ni Lavia nadhani ambaye alipokea kutoka kwa Nkunku ambaye naye alipokea kutoak wka Sterling. Pia aliyempa Sterling mpira ulikuwa mtamu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom