Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumerudi nyuma hayua 10. Tunaanza upya kabisa. Ila nawaambia

1. Lavia, Enzo na Caisedo hawawezi kuanza kwa pamoja na ukapata team balance,

2. Nkunku anaweza kulink up na namba 9 ila hawezi kuwa lone striker na ndiyo mana kipindi cha kwanza alipotea

3. Tumesharuhusu magoli 10 katika mechi 3, hii si dalili nzuri.

4. Tumecheza na Man city C team
Yaliyotokea ni kawaida
Mimi ninachoona tutaimarika haraka tofauti na msimu ujao hata kama tumerudi square zero
Identity ya kocha inaonekana
Error zinazijitokeza ni wka sababu balance hakuna na hiyo balance ni wka sababu kocha bado anatest
Inavyoonekan MAresca anayo akili ya mpira tofauti na yule fisadi wa mpira
Kitu kikubwa tuombe majeruhi yatuepuke msimu huu kwa sababu pamoja na ujinga wa Pochettino pia alizidiwa na majeruhi ambayo ofcourse yeye mwenyewe alichangia kwa sehemu
Pressing ya timu imeimarika sana
Wachezaji ni ving'ang'anizi sasa hivi tofauti na msimu ule walikuwa legelege sana
Natumaini Fillip atakuwa ndie kipa wetu namba moja, Sachez bado anatutia presure japo naye kaimarika
Ni kweli kabisa N kunku anatakiwa acheza kama False namba 9 au second striker, Natural striker anaiweza Haaland peke yake
Sterling msimu huu utakuwa wake
Mudryk naona anazidi kudidimia na msimu huu anaweza akapotea kabisa, itategemea Maresca atampa programu ipi.
Kocha pia anayo kazi ya kutafuta pivot nzuri ya midfield na pia naman nzuri ya kumtumia Enzo. KDH naona yeye anafaa kucheza nafasi zozote kluan zia CM hadi ushambuliaji, yuko vizuri, anatakiwa kuimarisha tu kwenye shabaha ya kufunga magoli. Movement yake mbele ni nzuri sana kama ya Marc Giu, Jackson, Nkunku na Palmer wote hawa wanakuwa wazuri Chelsea inapokuwa haina mpira
 
Tumetengeneza big chances 5 na tukafunga 2
City wametengeneza big chances 2 wakakosa 0
Ukiangalia takwimu Chelsea ilicheza vizuri kila idara ila tu bahati mbaya makosa yalifanyika na kwa sehemu kubwa ilisababishwa na ubovu wa uwanja, mchezaji anapiga pasi halafu haiendi, sisi huku tunadhani ni uzembe kumbe ni uwanja.

Enzo Maresca: "Sometimes when we say something it sounds like an excuse but for sure the pitch doesn't help. This type of pitch slows down the ball."~
@BobbyVincentFL

1722740803353.png
 
Tumetengeneza big chances 5 na tukafunga 2
City wametengeneza big chances 2 wakakosa 0
Ukiangalia takwimu Chelsea ilicheza vizuri kila idara ila tu bahati mbaya makosa yalifanyika na kwa sehemu kubwa ilisababishwa na ubovu wa uwanja, mchezaji anapiga pasi halafu haiendi, sisi huku tunadhani ni uzembe kumbe ni uwanja.

Enzo Maresca: "Sometimes when we say something it sounds like an excuse but for sure the pitch doesn't help. This type of pitch slows down the ball."~
@BobbyVincentFL

View attachment 3060908
Mkuu nilipitiwa na usingizi so sijacheki game bado kocha aliendelea na inverted midfielder yake ya kuwachezesha James na Agusto?
 
Tumerudi nyuma hayua 10. Tunaanza upya kabisa. Ila nawaambia

1. Lavia, Enzo na Caisedo hawawezi kuanza kwa pamoja na ukapata team balance,

2. Nkunku anaweza kulink up na namba 9 ila hawezi kuwa lone striker na ndiyo mana kipindi cha kwanza alipotea

3. Tumesharuhusu magoli 10 katika mechi 3, hii si dalili nzuri.

4. Tumecheza na Man city C team
Navyoona kama hatutasajili defender na striker tutakuwa na msimu mbaya tena
 
HT. city 2-0 chel

Magoal yote tumefungwa kutoka na makosa binafsi ya wachezaji
Kwa maoni yangu mwalimu ana kitu anafundisha kngawa bado mapema kusema ila naona kuna kitu kla tatzo lipo kwa wachezaji beki na viungo wahawelewani kabisa na hawajui wafanye nni Lavia ni mtu mzuri ila Enzo na caicedo ni wazito sana
 
Kwa maoni yangu mwalimu ana kitu anafundisha kngawa bado mapema kusema ila naona kuna kitu kla tatzo lipo kwa wachezaji beki na viungo wahawelewani kabisa na hawajui wafanye nni Lavia ni mtu mzuri ila Enzo na caicedo ni wazito sana
Caicedo na Enzo wanahitaji muda kidogo ili wakae sawa maana hawana muda mrefu tangu wajiunge na timu
 
Tumerudi nyuma hayua 10. Tunaanza upya kabisa. Ila nawaambia

1. Lavia, Enzo na Caisedo hawawezi kuanza kwa pamoja na ukapata team balance,

2. Nkunku anaweza kulink up na namba 9 ila hawezi kuwa lone striker na ndiyo mana kipindi cha kwanza alipotea

3. Tumesharuhusu magoli 10 katika mechi 3, hii si dalili nzuri.

4. Tumecheza na Man city C team
Hata ucheze na E team ambayo tayar ishakuwa na mfumo na iko na kocha bora kama Pep ambae yupo nao muda mrefu na wewe ndio unaanza upya itakuwa habar tofauti.

Ukiangalia hao watoto unaowasema hakuna kitu walichokifanya magoal yote tuliofungwa sio kusema movie wameianzisha ipa yote tumefungwa sisi tukiwa katika nusu yetu ya uwanja. N sisi ndio wenye mpira na kupoteza kizembe hakuna goal la City limefingwa limepigwa pass hata 5 zote ni

Hii ni pre season unaangalia wapi kwenye shida, na wapi panatakiwa kurekebisha,

Msim uliopota tulishinda almost game zote pre season ila kwenye league kipi kilitokea?
Kwenye pre season tuligungwa magoal machache ila kwenye League ikawaje tukaja ruhusu magoal mengi sana 50+

Hao Lavia Enzo na Caicedo ndio kwa mara ya kwanza wanacheza uwanjani wote kwa pamoja usitegemee day 1 tu watacheza vizuri

sidhani kama unasema tumerudi step 10 ni kweli, Ila kwenye league hali halisi ndio itaonekana.

NB:
Kadri siku zinavyozidi kwenda ndio kama pattern yetu ya uchezaji inazidi kuonekana, yani hatutumui nguvu nyingi kutoka nyuma kwenda mbele nadhani mpaka league itakapokuwa inaanza tutakuwa sawa.

Tunahitaji mmaliziaji mzuri we create chance ila kuzitumia tunashindwa
 
Kwa maoni yangu mwalimu ana kitu anafundisha kngawa bado mapema kusema ila naona kuna kitu kla tatzo lipo kwa wachezaji beki na viungo wahawelewani kabisa na hawajui wafanye nni Lavia ni mtu mzuri ila Enzo na caicedo ni wazito sana
Caicedo ndio game yake ya 1 kwenye pre season Enzo ya 2

Lavia yuko game ya 4 now unaona mpaka hapo

Ni swala la mda, hao wawili watakuwa sawa na naomba Lavia aendelee kukaa sawa asije akaumia same to Nkunku
 
Navyoona kama hatutasajili defender na striker tutakuwa na msimu mbaya tena
Concern ya CB, tunahitaji CB ambae like Bastoni au Diomande mtu anaeweza kucheza rest defenc,, Sidhan kama hilo litatokea. Tofauti na hivyo mabeki wetu inabidi waamke mapema sana ni kama bado wazito, Na Sanchez hafai kuwepo pale golini, anaweza kuwa anakua kuchezea mpira ila vipass vyake ni kama vinawatia mabeki majaribuni

Striker. Tunahitaji mtu wa kumalizia nafasi tuzatengeneza tunaweza tengeneza nafas zaidi ya 5 ila na zote unakuta tunakosa
 
Nawakumbusha tena Ni bora matatizo yanayoonekana kwenye pre season kuliko yale yanayoanza kuonekana kwenye league.

Better ufungwe pre season ujue unaanzia wapi kurekebisha.

Pre season ni sehem ya kuwaanda wachezaj kifitness,kutengeneza mfumo wako, kuangalia wapi kunahitaji maboresho wapi mkazo utiliwe sawasawa.

Msimu uliopita tulidraw game 2 tu kwenye pre season na zingine zote tukashinda ila league ilivyoanza tukawa na worse defence kwenye historia ya club, makosa ndio ya kaanza kuonekana siku ambazo Palmer akiwa hayupo inakuwa shughuli.

For me niko radhi nione tukipoteza pre season game zote ila kwenye league tuonekane bora makosa yanayitokea pre season yasitokee kwenye league o cups tuseme tumeyaboresha
Ila hii ya pre season mnaonekana mko vizuri halaf kwenye league mnaonekana hovyo hapana
 
Acha kujifariji Mkuu,
Hamna timu, Hamna wachezaji ,Hamna kocha, Mmeshapoteza muelekeo Chelsea hamjui chochote mnachokifanya mpaka sasa ni kama vile mmeamua kubahatisha tu lolote na liwe.
Hujui mpira.
 
2nd goal lilitokea hapa, baada ya mda tutakuwa sawa
 

Attachments

  • IMG_4675.jpeg
    IMG_4675.jpeg
    44.2 KB · Views: 15
Caicedo ndio game yake ya 1 kwenye pre season Enzo ya 2

Lavia yuko game ya 4 now unaona mpaka hapo

Ni swala la mda, hao wawili watakuwa sawa na naomba Lavia aendelee kukaa sawa asije akaumia same to Nkunku
Mle kwa nkunku Kuna mchezaji mkubwa sana mkuu, I wish asiumie tutamuinjoi sana regardless Chelsea itafanya vizuri au vibaya.
Ile link up anayofanya na Marc ni hatari sana
 
Tunafungwa la kilini kuna kitu unaona kocha anakiweka kwnye timu, kuna individual error nyingi ni kutokana wachezaji bado wanaendelea kujifunza. Wachezaji wakija kuelewa nini wanatakiwa wafanye tutakua poa sana.
 
Nawakumbusha tena Ni bora matatizo yanayoonekana kwenye pre season kuliko yale yanayoanza kuonekana kwenye league.

Better ufungwe pre season ujue unaanzia wapi kurekebisha.

Pre season ni sehem ya kuwaanda wachezaj kifitness,kutengeneza mfumo wako, kuangalia wapi kunahitaji maboresho wapi mkazo utiliwe sawasawa.

Msimu uliopita tulidraw game 2 tu kwenye pre season na zingine zote tukashinda ila league ilivyoanza tukawa na worse defence kwenye historia ya club, makosa ndio ya kaanza kuonekana siku ambazo Palmer akiwa hayupo inakuwa shughuli.

For me niko radhi nione tukipoteza pre season game zote ila kwenye league tuonekane bora makosa yanayitokea pre season yasitokee kwenye league o cups tuseme tumeyaboresha
Ila hii ya pre season mnaonekana mko vizuri halaf kwenye league mnaonekana hovyo hapana
Kama ilivyokuwa kwa Pochettino, tulifanya vizuri pre season tukabweteka, nini kilitokea kwenye ligi, aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom