Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1722710492364.png
 
Sifa za mpira wa kuposses (Possesional football) ni:

1) kukaba mpira kwa kasi,
2) kupiga pasi sahihi kwa haraka, na
3) kudhibiti mpira.
Kiingereza
1) High pressing
2) Acurate quick passing
3) Ball control

Gallagher anaweza kutekeleza vizuri tu namba. 1 lakini iliyobaki (2 na 3) ni kitu ambacho Gallagher hawezi kutekeleza kwa ufanisi katika mazingira ya presure kubwa. Mipira mingi ya Gallagher hupotea inapokamatwa katika hali ya presure na ndio maana Enzo Maresca hampi Gallagher nafasi kubwa dhidi ya wenzake.

Sasa ninyi mnaomtetea Gallagher lazima mje na tecnical na tactical reasons na mjue mpira zaidi ya kocha na ikibidi zaidi mkaombe kandarasi ya kuifundisha Chelsea kwa masharti ya kucheza possesional football kwa sababu uongozi ndivyo unavyotaka kuwa identity ya Chelsea kuanzia sasa kwenda mbele
Kama kuna ambaye hatakuelewa hapa basi akapimwe mkojo. Ghallager na mwenzie Challoba ni matakataka.
 
Wazee hii lineup ya Chelsea ni mfumo gani huu
 

Attachments

  • chelseafc_20240803_2.jpg
    chelseafc_20240803_2.jpg
    248.2 KB · Views: 10
Nabashiri mawazo ya Enzo Maresca hapa

Mudryk-----------Nkunku----------Lavia

KDH-------------Enzo--------------Caicedo

Gusto------Colwill ----Tosin -----James

-----------------Sanchez--------------
 
Nabashiri mawazo ya Enzo Maresca hapa

Mudryk-----------Nkunku----------Lavia

KDH-------------Enzo--------------Caicedo

Gusto------Colwill ----Tosin -----James

-----------------Sanchez--------------
RW mudryk
Lw KDH
 
Individual errors imetugharimu
Bado kuna lack of concetration hasa kwa Tosin, Caicedo na Gusto
City hawana wachezaji wao 15 wapo mapumziko halafu tunataka kusema tutawafunga city mchezo wa kwanza wa ligi?
Tunacheza golini kwetu kama tuko na Club America
 
Hamna timu hapa
Timu ipo, kocha bado anatest mitambo, jhaya magoli sihesabu kama City wametuzidi, magoli ya kupewa kama hizi ni nzuri kwenye pre season ili kocha na wachezaji wajue pa kurekebisha ni wapi kabla ligi haijaanza
Halafu ile penalty haikupaswa, Halland alidive baada ya kuona kufunga ni ngumu, ni kwa vile tu VAR hakuna, ile ingebatilishwa
 
Timu ipo, kocha bado anatest mitambo, jhaya magoli sihesabu kama City wametuzidi, magoli ya kupewa kama hizi ni nzuri kwenye pre season ili kocha na wachezaji wajue pa kurekebisha ni wapi kabla ligi haijaanza
Halafu ile penalty haikupaswa, Halland alidive baada ya kuona kufunga ni ngumu, ni kwa vile tu VAR hakuna, ile ingebatilishwa
Acha kujifariji Mkuu,
Hamna timu, Hamna wachezaji ,Hamna kocha, Mmeshapoteza muelekeo Chelsea hamjui chochote mnachokifanya mpaka sasa ni kama vile mmeamua kubahatisha tu lolote na liwe.
 
Tunaonekana tunapokuwa na mpira tunafanya vizuri kama tukipiga pass kwa usahihi ila pale tunapokosea tu tunajikuta kwenye majanga

Magoal yoye tuliyofungwa yoye yametokana na uzembe na sisi ndio tuliokuwa na mpira.

Kadri siku zinavyozidi kwenda wachezaj wataendelea kuelewa for now tutegemee makosa ya hapa na pale pale unapokaribu kutengeneza style ya uchezaji katika team ambayo haina style ya uchezaji
 
Kasoro ya kwanza kocha kachagua kikosi vibaya. There wasn't any balance. Caisedo, Enzo, na Lavia hawawezi kuanza kwa pamoja. Mudueke has been better and is a natural right winger kwa nn umuweke floppy Mudryk Rw position wakato hata LW inamshinda?

Wasijararibu kumuweka Nkunku #9 vinginevyo tutamhatibu kama tulivyofanya kwa Havertz.

Hakuna beki.
Sanchez is shit.

Tosin is of Fulham Level
 
Kasoro ya kwanza kocha kachagua kikosi vibaya. There wasn't any balance. Caisedo, Enzo, na Lavia hawawezi kuanza kwa pamoja. Mudueke has been better and is a natural right winger kwa nn umuweke floppy Mudryk Rw position wakato hata LW inamshinda?

Wasijararibu kumuweka Nkunku #9 vinginevyo tutamhatibu kama tulivyofanya kwa Havertz.

Hakuna beki.
Sanchez is shit.

Tosin is of Fulham Level
Its a pre season unajaribu uone,

Hayo yote ila stil naona individual error ndio zimetuangusha,
Magoal yote sisi ndio tumekuwa na moira tumepew pressur tumedispossess,
Ila ukiangalia idea ipo nini wanatakiwa kufanya lengo kwa haraka hara ni kutengeneza. Triangle kwa kila pass inayopigwa mwanzoni tutastrugle ila baada ya mda naiman tutaluwa sawa
 
nafasi tunatengeneza shida ni umaliziaji tu hapo ndio changamoto ilipo. Tunahitaji mtu anaeweza malizia hizi nafasi

Haland kapata chance 4 na 3 katupia zote ila sisis sasa bado tunahangaika
 
Its a pre season unajaribu uone,

Hayo yote ila stil naona individual error ndio zimetuangusha,
Magoal yote sisi ndio tumekuwa na moira tumepew pressur tumedispossess,
Ila ukiangalia idea ipo nini wanatakiwa kufanya lengo kwa haraka hara ni kutengeneza. Triangle kwa kila pass inayopigwa mwanzoni tutastrugle ila baada ya mda naiman tutaluwa sawa
Tumerudi nyuma hayua 10. Tunaanza upya kabisa. Ila nawaambia

1. Lavia, Enzo na Caisedo hawawezi kuanza kwa pamoja na ukapata team balance,

2. Nkunku anaweza kulink up na namba 9 ila hawezi kuwa lone striker na ndiyo mana kipindi cha kwanza alipotea

3. Tumesharuhusu magoli 10 katika mechi 3, hii si dalili nzuri.

4. Tumecheza na Man city C team
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom