Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Enzo Fernández has apologized face to face to each of his Chelsea teammates. The apology was accepted by the players with great help and support from Reece James.

Chelsea will take no action against Enzo and the player has made a voluntary contribution to an anti-discrimination charity.
[Guardian]

Kiswahili
Enzo Fernandez ameomba msamaha ana kwa ana kwa kila mchezaji mwenzake wa Chelsea. Msamaha huo ulikubaliwa na wachezaji kwa msaada mkubwa kutoka kwa Reece James.

Chelsea haitachukua hatua yoyote dhidi ya Enzo na mchezaji huyo ametoa mchango wa hiari katika shirika la misaada la kupinga ubaguzi.
[Guardian]

CASE CLOSED
1722384270637.png
 
  1. Amepewa mkataba wa miaka miwili na mshahara mkubwa zaidi ya viungo wote akakataa
  2. Athelitico Madrid wamemkubali kumpa mkataba mrefu na Chelsea imekubali ofa ya ATM pia bado hajatoa majibu. ATM wamempa hadi jpili akikaa kimya watahesabu dili limevunjika
  3. Kocha Maresca amemkataa Gallagher kwenye timu ya kwanza hata akisaini mktaba mpya
  4. Uongozi umemnyima Gallagher kufanya mazoezi na timu kuu na kutumia vifaa vya timu kuu
Saga la Gallagher, bado halijaanza la Chalobah

1722632684031.png
 
Nahisi kuna shida mahali maana ni muda Sana Chelsea walikuwa wanafosi kumuuza Tottenham Ila mwamba akawa anagoma anataka kubaki katika klabu , now tena hii saga nyingine inatokea
Something is not right
 
  1. Amepewa mkataba wa miaka miwili na mshahara mkubwa zaidi ya viungo wote akakataa
  2. Athelitico Madrid wamemkubali kumpa mkataba mrefu na Chelsea imekubali ofa ya ATM pia bado hajatoa majibu. ATM wamempa hadi jpili akikaa kimya watahesabu dili limevunjika
  3. Kocha Maresca amemkataa Gallagher kwenye timu ya kwanza hata akisaini mktaba mpya
  4. Uongozi umemnyima Gallagher kufanya mazoezi na timu kuu na kutumia vifaa vya timu kuu
Saga la Gallagher, bado halijaanza la Chalobah

View attachment 3060020
Yeye alikuwa anataka long term contract wakati club wanamuona kama squid player kwasababu tayari wana Lavia,Caicedo,Enzo na KDH ndio maana walitaka asign mkataba wa miaka 2
 
Jamaa huenda anataka aondoke free baada ya kumaliza mkataba
 
Yeye alikuwa anataka long term contract wakati club wanamuona kama squid player kwasababu tayari wana Lavia,Caicedo,Enzo na KDH ndio maana walitaka asign mkataba wa miaka 2
Uongozi wa Chelsea unakwepa kumpa Conor Gallagher mkataba wa muda mrefu kwa sababu kocha mpya hamtaki kwenye kikosi cha kwanza. Mkataba wa miaka miwili ungetosha kuthibitisha kwamba anafaa ikiwa anataka kubaki, pia ikiwa hawezi kufaa, bado uongozi unaweza kumuuza ili asiondoke bure msimu ujao.

Uongozi sasa umeamua kuwa iwapo atakaa bila kusaini mkataba mpya, hataruhusiwa kufanya mazoezi au kutumia vifaa vya kufundishia vya kikosi cha kwanza. Kwa hivyo atafanya mazoezi na timu ya development squad na kushiriki PL2 badala ya EPL. Hii itakuwa adhabu kubwa kwake, itakuwa bora ikiwa angekubali ofa ya Atlético Madrid ya kucheza UCL na kuifanya brand yake kuwa kubwa zaidi kwa faida ya taaluma yake.
 
Sifa za mpira wa kuposses (Possesional football) ni:

1) kukaba mpira kwa kasi,
2) kupiga pasi sahihi kwa haraka, na
3) kudhibiti mpira.
Kiingereza
1) High pressing
2) Acurate quick passing
3) Ball control

Gallagher anaweza kutekeleza vizuri tu namba. 1 lakini iliyobaki (2 na 3) ni kitu ambacho Gallagher hawezi kutekeleza kwa ufanisi katika mazingira ya presure kubwa. Mipira mingi ya Gallagher hupotea inapokamatwa katika hali ya presure na ndio maana Enzo Maresca hampi Gallagher nafasi kubwa dhidi ya wenzake.

Sasa ninyi mnaomtetea Gallagher lazima mje na tecnical na tactical reasons na mjue mpira zaidi ya kocha na ikibidi zaidi mkaombe kandarasi ya kuifundisha Chelsea kwa masharti ya kucheza possesional football kwa sababu uongozi ndivyo unavyotaka kuwa identity ya Chelsea kuanzia sasa kwenda mbele
 
Uongozi wa Chelsea unakwepa kumpa Conor Gallagher mkataba wa muda mrefu kwa sababu kocha mpya hamtaki kwenye kikosi cha kwanza. Mkataba wa miaka miwili ungetosha kuthibitisha kwamba anafaa ikiwa anataka kubaki, pia ikiwa hawezi kufaa, bado uongozi unaweza kumuuza ili asiondoke bure msimu ujao.

Uongozi sasa umeamua kuwa iwapo atakaa bila kusaini mkataba mpya, hataruhusiwa kufanya mazoezi au kutumia vifaa vya kufundishia vya kikosi cha kwanza. Kwa hivyo atafanya mazoezi na timu ya development squad na kushiriki PL2 badala ya EPL. Hii itakuwa adhabu kubwa kwake, itakuwa bora ikiwa angekubali ofa ya Atlético Madrid ya kucheza UCL na kuifanya brand yake kuwa kubwa zaidi kwa faida ya taaluma yake.
Maly
Sifa za mpira wa kuposses (Possesional football) ni:

1) kukaba mpira kwa kasi,
2) kupiga pasi sahihi kwa haraka, na
3) kudhibiti mpira.
Kiingereza
1) High pressing
2) Acurate quick passing
3) Ball control

Gallagher anaweza kutekeleza vizuri tu namba. 1 lakini iliyobaki (2 na 3) ni kitu ambacho Gallagher hawezi kutekeleza kwa ufanisi katika mazingira ya presure kubwa. Mipira mingi ya Gallagher hupotea inapokamatwa katika hali ya presure na ndio maana Enzo Maresca hampi Gallagher nafasi kubwa dhidi ya wenzake. Sasa ninyi mnaomtetea Gallagher lazima mje na ttecnical na tactical reasons na mjue mpira zaidi ya kocha na ikibidi zaidi mkaombe kandarasi ya kuifundisha Chelsea kwa masharti ya kucheza possesional football kwa sababu uongozi ndivyo unavyotaka kuwa identity ya Chelsea kuanzia sasa kwenda mbele
Mbona akiwa Crystal Palace niliona kama alikuwa mzuri kwenye maeneo hayo?
 
Leo tunacheza na city muda ya saa sita na nusu za usiku , nitaangalia hii game kwa umakini .
Hii itakuwa kipimo kizuri pia
Nadhani itanipa picha ya jinsi hii timu ilivyo kwa sasa .
 
Leo tunacheza na city muda ya saa sita na nusu za usiku , nitaangalia hii game kwa umakini .
Hii itakuwa kipimo kizuri pia
Nadhani itanipa picha ya jinsi hii timu ilivyo kwa sasa .
Sidhani kama itakuwa kwa sababu City wachezaji wao wengi hawajaripoti, bado wako likizo na ndio maan mechi zao nyingi walifungwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom