IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,827
- 7,368
Sasa mnalialia nini timu ina kocha mpya wachezaji kibao wapya mnategemea nini. Kuweni wapole Mpeni kocha wenu miaka mitano ajenge timu acheni mihemuko
Ubora wa kocha anaonekana Pre season jamani, Anwajaribu hadi matakataka, wacha kujizima data ndg yanguKocha wenu mliyemsema ni bora kuliko Poch hakuna kitu anafanya. Uwezo wa James kuattack unapotezwa kwa kumuinvert, nyuma space kibao, holi kipa hakai kwenye nafasi yake. Ukicheza hv vs Westham au Aston Villa utafungwa saba.
Kitu kilichotengenezwa msimu uliopita kinapotea. Tunaanza upya na bahati mbaya huyu ni kocha wa majaribio.
Anaweza kufix the issue au asiweze kabisa
Msimu uliopita timu iliruhusu magoli 62 kwenye ligi anakuja kocha mpya anataka acheze high defensive line tena na beki aina ya badiashile. Game za city na Arsenal nanusa kupigwa goli 7Huyu Maresca kama Tactics zake ndio hizi, Aisee mta concede magoli mengi sana, Too many space at the back .
Nani kakuambia ndio tegemezi, au ndo unazima data mchanaMudryk, Sterling Madueke (£88+£47+£32) ndio mawinger tegemezi ? Hii ni complete failure project.
Kwahiyo wewe unajifananisha na man kweli akili huna wewe ndio uchezaki wako huo umefika mwisho hata kwenye ligi utaendelea hivyo hivyo msimu uliopita ulishika nafasi ya ngapi mpaka ujifananishe na man cityJe, unajua kuwa Celtic walicheza michezo 5 mwezi Julai, wakashinda 4 na kutoka sare moja?
Je, unafahamu kuwa katika michezo yote mitano walifunga mabao 19 na kufungwa 9 pekee
Je, unajua pia kwamba Man city walipoteza mechi zao zote mbili za preseason dhidi ya Celtic na AC Milan?
Umenena kiongozi ..yaani me sijapata kuwaona wachezaji wabovu Kama haoNyie mnautani sana huyu Badiashile, Fofana, Madueke ni wachezaji ambao hawastahili kuwa part of Chelsea team.[emoji16][emoji16][emoji16]
Baby sounds Franklin ,more adoration to that sound without hypocrite.You sound like a baby
Badishile kawaloga makocha wa Chelsea yule,Nyie mnautani sana huyu Badiashile, Fofana, Madueke ni wachezaji ambao hawastahili kuwa part of Chelsea team.[emoji16][emoji16][emoji16]
Poche mashavu alikwisha pata dawa ya team ndogo , fluidity yakutosha,tulianza kugawa wastani kwa idadi,angeendelea tungebonda wakina astonvilla, Spurs,westham,everton , Newcastle,nje ndani sasa tumeamua kuanza upya ,tukijipata ni robo ya tatu ya msimu,tabu ipo pale paleBadishile kawaloga makocha wa Chelsea yule,
Fofana tumasamehe, misimu miwili hajacheza soka
Madueke dawa yake iko jikoni
Timu ya kwanza haijacheza
Jana tulicheza vizuri, tulizamishwa na makosa ya mchezaji mmoja mmoja na hasa mabeki
Timu ya kwanza ikikamilika na tukasajili mabeki wazoefu mtumbwi utatulia
Naombeaga sometime hata aumie sijui wanaona nini kwa huyu mchezaji hata ni preseason kama hatutasajili beki wa maana wa kati tutaendelea kuruhusu magoal mengiBadiashile lazima awe anatumia uchawi
Shida mkuu sio kufungwa issue mnacheza nini uwanjani iko ndicho watu wanataka kukiona city of course kapigwa but hajacheza utumbo kama huu wa kwetuJe, unajua kuwa Celtic walicheza michezo 5 mwezi Julai, wakashinda 4 na kutoka sare moja?
Je, unafahamu kuwa katika michezo yote mitano walifunga mabao 19 na kufungwa 9 pekee
Je, unajua pia kwamba Man city walipoteza mechi zao zote mbili za preseason dhidi ya Celtic na AC Milan?
Nadhan negative kwa upande wa game ya jana ni pale tunapokuwa hatuna mpira na defensive line.Shida mkuu sio kufungwa issue mnacheza nini uwanjani iko ndicho watu wanataka kukiona city of course kapigwa but hajacheza utumbo kama huu wa kwetu