Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Cucurrela ni kati ya wachezaji wachache ambao sio average ni World Class basi tu wachambuzi hawampendi
Goli la ushindi la Spain sikuamini kwamba Cucu ndie aliitoa ile pasi, katika pasi 20 anazotoa Cucu, inayokwenda mbele ni moja ikizidi sana ni mbili. Saa nyingine hata winga akiwa yuko pazuri kama kichwa chake hakikuamua kupasi mbele utashutukiza tu mpira unarudishwa ulikotoa hata kuangalia kama Nizo William yuko peke yake haangalii kabisa. Nico William saa nyingine ilibidi abadilishe upande ahamie kulia kwa sababu pasi za Cucu kwenda mbele ni za kipare mno. Pamoja na hayo aliweza kudhibiti sana kupitwa pitwa hovyo kama tulivyocheza mechi ya mwisho na Arsenal. Saka na White walimfanya kama shamba la bibi.

Spain walichofanya Nico alikuwa akimsaidia sana Cucu pale mashambulizi yalipoelekezwa kwake

Huku kwetu yuko na Mudryk na Sterling ambao ni wazembe kwenye kukaba. Labda tukimpata winga mpya anaweza kupatikana anayeweza kukaba na au kocha akiotumia backline ya defender watatu Cucu atapunguziwa mizigo ya kukaba
 
Goli la ushindi la Spain sikuamini kwamba Cucu ndie aliitoa ile pasi, katika pasi 20 anazotoa Cucu, inayokwenda mbele ni moja ikizidi sana ni mbili. Saa nyingine hata winga akiwa yuko pazuri kama kichwa chake hakikuamua kupasi mbele utashutukiza tu mpira unarudishwa ulikotoa hata kuangalia kama Nizo William yuko peke yake haangalii kabisa. Nico William saa nyingine ilibidi abadilishe upande ahamie kulia kwa sababu pasi za Cucu kwenda mbele ni za kipare mno. Pamoja na hayo aliweza kudhibiti sana kupitwa pitwa hovyo kama tulivyocheza mechi ya mwisho na Arsenal. Saka na White walimfanya kama shamba la bibi.

Spain walichofanya Nico alikuwa akimsaidia sana Cucu pale mashambulizi yalipoelekezwa kwake

Huku kwetu yuko na Mudryk na Sterling ambao ni wazembe kwenye kukaba. Labda tukimpata winga mpya anaweza kupatikana anayeweza kukaba na au kocha akiotumia backline ya defender watatu Cucu atapunguziwa mizigo ya kukaba
Mkuu unachochanganya ni kitu kimoja kukaba na kushambulia. Nico ni attacking minded winger beki wa timu pinzani hawezi kuacha gape kubwa na Nico ukizingatia dogo pia ana pace anaweza achwa. Hivyo inampa nguvu Cucurrela kushambulia na kupasia mipira kwa uhuru kwa midfields na forward. Sio kwamba Nico alikua anamsaidia kukaba.

Tukija kwetu darajani tunamuona wa kawaida kwa sababu sio timu inayoshambulia kutokea pembeni hasa kutoka chini ndio maana kuna game tulimsifia sana Poch hasa alipomchezesha Cucu midfield. Kwa sababu gani anaweza kupiga pasi na kupandisha timu kushambulia lakini sio mzuri sana kwenye kukaba.
 
Alichikifanya Enzo hiki hapa

1721170324870.png



 
Sasa ubaguzi hapo uko wapi? Si ni kweli ni Muangola? Wewe leo ukachezee France, wakwambie ww ni mtanzania utakua umetukanwa?

Tatizo ni hao akina Mbape hawapo proud kuwa black, wakati ni blacks. Hao ndio wabaguzi wanaona kuwa mweusi ni kutukanwa.
Namna inavyoimbwa ndio iliyotafsiri ubaguzi
 
Namna inavyoimbwa ndio iliyotafsiri ubaguzi

Wimbo huo huo angeimbiwa muingereza au mmarekani, kwamba yy ni muingereza au mmarekani wala isingekua tabu.

Tatizo sisi waafrika wenyewe hatujikubali, mtu muangola hataki kuitwa muangola.
 
Enzo maku huyo ,asugulishwe benchi mpaka akome ,na mwisho wa msimu auzwe huko Burnley
 
Wimbo huo huo angeimbiwa muingereza au mmarekani, kwamba yy ni muingereza au mmarekani wala isingekua tabu.

Tatizo sisi waafrika wenyewe hatujikubali, mtu muangola hataki kuitwa muangola.
Acha kutetea upuuzi Enzo kaongea kama kejeli na dhihaka ndio imekuwa ni racism but jiulize kushinda kwao Copa America kunahusiana vipi na kuwazungumzia wachezaji wa Ufaransa personal life yao
 
Sasa ubaguzi hapo uko wapi? Si ni kweli ni Muangola? Wewe leo ukachezee France, wakwambie ww ni mtanzania utakua umetukanwa?

Tatizo ni hao akina Mbape hawapo proud kuwa black, wakati ni blacks. Hao ndio wabaguzi wanaona kuwa mweusi ni kutukanwa.
Yaani umesema kweli, hata mimi kule twitter nimetofautiana na wengi. Hakuna ubaguzi hapo kuamb iwa umeotka Angola au Nigeria. Hawa wachezaji weusi ni wajinga sana
 
Acha kutetea upuuzi Enzo kaongea kama kejeli na dhihaka ndio imekuwa ni racism but jiulize kushinda kwao Copa America kunahusiana vipi na kuwazungumzia wachezaji wa Ufaransa personal life yao
Mkohoti yuko , je wangeimbwa wachezaji kutoa UJerumani, mama ana uraia wa Uhispania ingekuwa ubaguzi?
 
Acha kutetea upuuzi Enzo kaongea kama kejeli na dhihaka ndio imekuwa ni racism but jiulize kushinda kwao Copa America kunahusiana vipi na kuwazungumzia wachezaji wa Ufaransa personal life yao
Sio natetea, kejeli gani hapo kwani sio kweli ni muangola? Mtu anakataaje utaifa wake, kisa anataka kuwa mzungu. Miafrika ndivyo tulivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom