Zimejaa Google, akumbushwe tuWadau Moderator atumiwe picha nzuri ya Kocha mpya (kwa mwenye nayo) ili aweze kufanya update make naona bado ameweka picha za zamani
Ili England ichukue kombe yule kocha inabidi asepeshweCucurela aka kuku broiler aka Mr manywele katisha Sana hii michuano ,apewe maua yake
Aje awashe moto pale Epl msimu huu pia ili tuwe imara zaidi .
Cole Palmer naye yuko poa ,habaatishi .yule dogo ni kichwa , naamini pia atawasha moto msimu huu .
Southgate alimbamia tu nafasi ya kucheza angeondoka na si chini ya goli tano kwenye hii michuano ya Euro
Harry Kane ana gundu na makombeIli England ichukue kombe yule kocha inabidi asepeshwe
Yule kocha ni kiazi, Kama Bellingham alikua nae anarukaruka tu lakini haachi kumpanga. Kati y mchezaji cjawahigi kuwaelewa ni huyo Jude.Ili England ichukue kombe yule kocha inabidi asepeshwe
Kuna kane, Bellingham na foden hawakutakiwa kuanza foden hakuna chochote alichokifanya kwenye haya mashindano na still anaendelea kumpangaYule kocha ni kiazi, Kama Bellingham alikua nae anarukaruka tu lakini haachi kumpanga. Kati y mchezaji cjawahigi kuwaelewa ni huyo Jude.
Kane, Belingham na Phode wameburunda karibu michuano yote na wamecheza dakika zote. Yeye na Uingereza ni much know sana na zawadi yao ni hii, kukaa mika nenda rudi hawana kombeYule kocha ni kiazi, Kama Bellingham alikua nae anarukaruka tu lakini haachi kumpanga. Kati y mchezaji cjawahigi kuwaelewa ni huyo Jude.
Nimefurahi sana kwa wao kuukosa huu ubingwa kwa ujinga wa kocha waoKane, Belingham na Phode wameburunda karibu michuano yote na wamecheza dakika zote. Yeye na Uingereza ni much know sana na zawadi yao ni hii, kukaa mika nenda rudi hawana kombe
Cucurrela ni kati ya wachezaji wachache ambao sio average ni World Class basi tu wachambuzi hawampendiCucurela aka kuku broiler aka Mr manywele katisha Sana hii michuano ,apewe maua yake
Aje awashe moto pale Epl msimu huu pia ili tuwe imara zaidi .
Cole Palmer naye yuko poa ,habaatishi .yule dogo ni kichwa , naamini pia atawasha moto msimu huu .
Southgate alimbamia tu nafasi ya kucheza angeondoka na si chini ya goli tano kwenye hii michuano ya Euro
Huyu Neville ukocha ulimshinda sasa kageukia uganga wa kienyejiCucurella amjibu Gary Neville
Gary Neville alisema mwanzoni kabisa kabla mashindano ya Euro 2024 hayajaanza hivi"
"Nadhani yeye (Cucurella) ni moja ya sababu ninazofikiria Uhispania labda hawawezi kwenda mbali kwenye haya mashindano"
"I think he (Cucurella) is one of the reasons I think Spain probably can't go all the way"
Majibu ya Cucurella jana haya hapa
"Tulienda njia yote, Gary. Asante kwa msaada wako".
Marc Cucurella replies to Gary Neville:
“We went all the way, Gary. Thanks for your support”.
View attachment 3042647
Huu mpira walikua chini ya kocha gani mkuu.?Ila hawa watoto wanacheza mpira jamani, waki-pata kocha mzuri, ebu angalia video hii hadi mwisho, Gallagher akatibua move nzuri iliyochezwa
View attachment 3041844
Kuna kondoo zitakwambia Saka na Wali. Hawa vichaa cjui nani kawaroga.Mchezaji gani wa England anaweza kumuweka benji mchezaji yeyote kwenye hii lineup ya EURO2024?
View attachment 3043463
Napenda style ya ukabaji wake inaitwa sumbua sumbua aduiCucurrela ni kati ya wachezaji wachache ambao sio average ni World Class basi tu wachambuzi hawampendi