Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uzuri sisi hatuna kuremba, nashangaa Arsenal wana kocha wa hovyo bado wanamchekea tu. Mwaka wa sita huu anazurura tu hakuna alichokifanya. Utofauti wake na hao akina Potter sijui ni upi?
Arsenal ina kocha wa hovyo? Arteta kocha pekee msimu ujao anayekimbizana na kipara ndio unasema wa hovyo?
Sawa.
 
Arsenal ina kocha wa hovyo? Arteta kocha pekee msimu ujao anayekimbizana na kipara ndio unasema wa hovyo?
Sawa.
Ya msimu ujao umeshayaona mjomba??! Una maono hatari. Hakuna kocha mule. yaani misimu yote aliyokaa Arsenal yeye kazi yake ni kukimbizana tu na kipara?!

Ubovu wa Chelsea, Man u, Liva ndio unaokufanya uone ni kocha wa maana.Angekua kocha wa maana hiyo opportunity ya ubovu wa hizo timu alitakiwa awe amefanya jambo, ila kwako ni kocha mzuri eti kisa kila msimu anamkimbiza kipara, really??!

Kocha wa Man u tu na ubovu wa timu yake amempita kimafanikio.
 
Madueke bado yupo😹😹
Naipenda sana mentality ya Madueke, akiimprove kwenye ukabaji ni winga mzuri mwenye uwezo wa kuwaweka foleni mabeki na ana akili ya kufunga tu. ndani ya miaka 2 atakuwa hot-cake
Bahati mbaya tu kwake wanakuja akina Estevao na Paez kuja kujumuika na Cole Palmer ambao nafasi zao mojawapo ni RW
 
Katika sajili zilizofanyika msimu huu sidhani kama kuna mchezaji amekua hyped. Ukifananisha na ule msimu tunasajili kina Mudryk, Madueke
Hype kubwa ipo tena kuliko miaka ya nyuma kwa kijana Estevao Willian. Media inamuandika sana yule kijana hata akipiga chenga moja tu imeandiokwa kwenye media
 
Naipenda sana mentality ya Madueke, akiimprove kwenye ukabaji ni winga mzuri mwenye uwezo wa kuwaweka foleni mabeki na ana akili ya kufunga tu. ndani ya miaka 2 atakuwa hot-cake
Bahati mbaya tu kwake wanakuja akina Estevao na Paez kuja kujumuika na Cole Palmer ambao nafasi zao mojawapo ni RW
Nadhani kwenye defence ni kumpa mzigo mkubwa. Anahitaji kuboresha attacking yake, ball control, at least nimeona kwenye kupiga pass anajitahidi. Ila akiboresha hivyo anaweza kumchallenge hata Palmer
 
Hype kubwa ipo tena kuliko miaka ya nyuma kwa kijana Estevao Willian. Media inamuandika sana yule kijana hata akipiga chenga moja tu imeandiokwa kwenye media
Ni kweli yeye bado kuja darajani. Mi nasemea hype kwa wachezaji ambao tuko nao msimu huu kama KDH, Adarabioyo, Marc G na kadhalika.
 
Nadhani kwenye defence ni kumpa mzigo mkubwa. Anahitaji kuboresha attacking yake, ball control, at least nimeona kwenye kupiga pass anajitahidi. Ila akiboresha hivyo anaweza kumchallenge hata Palmer
kuna mtu wa kupewa challenge ila sio cold palmer we sema2 kwasabab tutakuwa kwenye mashindano mengi mcm uu watagawana majukumu
 
Nadhani kwenye defence ni kumpa mzigo mkubwa. Anahitaji kuboresha attacking yake, ball control, at least nimeona kwenye kupiga pass anajitahidi. Ila akiboresha hivyo anaweza kumchallenge hata Palmer
Katika soka la kisasa, kila mchezaji hata kama ni striker ajue kudefend wakati timu inazidiwa. So madueke mwishoni aliweza kudefend ila mwanzo akipoteza mpira anaduawaaa tu uwanjani, hafanyi pressing, hafanyi marking wala kumfuata opponent kumkabili. Kumbuka timu yeyote inayoshinda EPL ni ile inayoweza kudefend.

Palmer ni ngoma nyingine, Madueke ni bakcup tu ya Palmer hataweza hata kumchallenge
Wa kumchalenge Palmer labda ni PAez na Estevao
 
Hype kubwa ipo tena kuliko miaka ya nyuma kwa kijana Estevao Willian. Media inamuandika sana yule kijana hata akipiga chenga moja tu imeandiokwa kwenye media
Yule dogo sio hype ni anajua issue ni consistency tu kuna jamaa mmoja wa manure huwa ni full kuponda kila kitu cha chelsea ila kwa huyu dogo jamaa kakiri ni future super star
 
Tukipata muunganiko wa kueleweka msimu huu tunaweza kuwa kwenye nafasi nzuri zaidi , cha muhimu benchi la ufundi wafanyiwe kazi hivi vitu
Nidhamu na ubunifu + kujituma uwanjani kwa wachezaji wote
 
Ni aibu sana Chelsea ilivyokuwa miaka hii miwili iliyopita
Chelsea sisi sio levels zetu kabisa hizi ......
 
Yule dogo sio hype ni anajua issue ni consistency tu kuna jamaa mmoja wa manure huwa ni full kuponda kila kitu cha chelsea ila kwa huyu dogo jamaa kakiri ni future super star
Unajua maana ya hypes? iwe anajua soka au hajui, hypes ni kumtangaza mtu kwa kasi kubwa. Estevao anajua ila mara nyingi Hypes zikizidi anaweza kuharibu, labda kwa sababu yeye ni mbrazili, angekuwa muingereza quishinei

Wahenga walisema
"Mgema akisifiwa sana, Tembo hulitia maji"
 
Lete Ollie Watkins
Nasikia wanataka kufanya swap na Gallagher na pesa juu

Mimi nasema hapana na ni upuuzi

Ollie Watkins anafanya vizuri na uchezaji wa Unai Emery, na ninasita kuamini atafanya vivyo hivyo na mfumo wa Enzo Maresca. Kijana huyo ni mzuri katika mpira kushambulia kwa kushtukiza (Counter). Kwa upande mwingine, kubadilishana mchezaji kama Gallagher na pesa taslimu juu kwa umri wa miaka 28 na kiungo wa kati wa B2B mwenye umri wa miaka 24 haikubaliki kwa maoni yangu.
 
Naipenda sana mentality ya Madueke, akiimprove kwenye ukabaji ni winga mzuri mwenye uwezo wa kuwaweka foleni mabeki na ana akili ya kufunga tu. ndani ya miaka 2 atakuwa hot-cake
Bahati mbaya tu kwake wanakuja akina Estevao na Paez kuja kujumuika na Cole Palmer ambao nafasi zao mojawapo ni RW
Hamna mchezaji humo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom