Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1. Basel iliuza Caliafiori kwa Bologna na kuingiza kifungu cha kupewa 50% ya mauzo
2. Chelsea walimtaka Veiga lakini Basel waliwaambia waongeze watie kashkashi ili bei ya Caliafioriipande kutoka kwa Arsenal.
3. Chelsea walisonga mbele kuwasiliana na mchezaji danganya toto bei ya Caliafiori ikapaa bila Arsenal kugundua
4.Arsenal ilidanganyika kulipa pesa zaidi na Basel walizawadia Chelsea na Veiga kwa €14m bila addons wala kifungu chochote cha kumuuza hapo baadaye

Todd Boehly sikuwahi kuwa na shaka na wewe kabisa. Wewe ni Genious kwenye usajili na biasharaView attachment 3035155
Uzuri wa Arsenal ukiona mchezaji amegombaniwa kumpata, ujue kwanza mchezaji mwenyewe ameipa arsenal first priority na pia Arteta anajua atakavyo mtumia Huyo mchezaji.

Huyo Veiga, ukiangalia video zake YouTube (best moments), asilimia kubwa anachezea mpira (press resistant) hazimuoneshi kama ni beast kwenye defending.

Hapo mna uhakika wa kupata beki ambaye ni press resistant, lakini mtakapo kuwa mnashambuliwa mtakuja kumkataa huyo mchezaji
 
Uzuri wa Arsenal ukiona mchezaji amegombaniwa kumpata, ujue kwanza mchezaji mwenyewe ameipa arsenal first priority na pia Arteta anajua atakavyo mtumia Huyo mchezaji.

Huyo Veiga, ukiangalia video zake YouTube (best moments), asilimia kubwa anachezea mpira (press resistant) hazimuoneshi kama ni beast kwenye defending.

Hapo mna uhakika wa kupata beki ambaye ni press resistant, lakini mtakapo kuwa mnashambuliwa mtakuja kumkataa huyo mchezaji
Hata Mudryk aliipenda sana Arsenal, yuko wapi sasa hivi. Hao wachezaji wa timu ndogo wao wanachoangalia ni fursa tu. hivi vitu vingine vya mahaba na mapenzi ni ya waandishi wa habari na wafurukutwa wa timu husika. Chelsea tungeamua kumfukuzia mngesikia mara anaipenda Arsenal mara anaipenda Chelsea na blaaa blaa nyingi tu
 
Moses Caicedo amlipua Pochettino kinamna namna vile

Caicedo: “Mwanzoni mwa msimu baadhi yetu (wachezaji) tulikuwa tunashambuliwa kwa sababu tulikuwa hatufanyi vizuri na mashabiki walikuwa wakitushambulia, ilikuwa ngumu kwangu kwa sababu nilipendelea kucheza ugenini kuliko nyumbani kwa sababu (Chelsea) mashabiki walikuwa wakinishambulia."

Caicedo: “Kule Brighton uchezaji ulikuwa ni; "tactical, tactical, tactical" tu na huku Chelsea ilikuwa ni kukimbia, kukimbia kimbia tu na ilikuwa ngumu sana kwangu"

"Nikiwa na Chelsea siku zote nilikimbia zaidi na nikiwa na Brighton karibu kila mara tulikuwa tunabaki na mpira muda mrefu, na Chelsea ilikuwa soka tofauti na tulilazimika kukimbia zaidi."


Moises Caicedo: "Tangu Februari wakala wangu aliajiri mtu ambaye anakagua mechi zangu na kile ninachopaswa kuboresha, jinsi ya kujiweka na kiakili"

"Ilisaidia kuniondoa shinikizo kwa sababu nilikuwa nikifikiria zaidi kuhusu 'walilipa pesa nyingi kwa ajili yangu lazima nifanye vizuri'

"Sikuwa makini, sikuonyesha kiwango changu, baada ya wakala wangu kumwajiri mtu huyo, nilianza kuimarika na kupata ujasiri zaidi"

"Yule mtu aliniambia "kama walikulipa kiasi hicho, ni kwa sababu wanajua thamani yako, na kuanzia hapo nilianza kujisikia vizuri, alinisaidia sana, kusema ukweli".

"Msimu ujao utakuwa mzuri sana!"

Mahojiano: (@Alfonso_Laso via @perro_chelsea)

1720402563648.png
 
Moses Caicedo amlipua Pochettino kinamna namna vile

Caicedo: “Mwanzoni mwa msimu baadhi yetu (wachezaji) tulikuwa tunashambuliwa kwa sababu tulikuwa hatufanyi vizuri na mashabiki walikuwa wakitushambulia, ilikuwa ngumu kwangu kwa sababu nilipendelea kucheza ugenini kuliko nyumbani kwa sababu (Chelsea) mashabiki walikuwa wakinishambulia."

Caicedo: “Kule Brighton uchezaji ulikuwa ni; "tactical, tactical, tactical" tu na huku Chelsea ilikuwa ni kukimbia, kukimbia kimbia tu na ilikuwa ngumu sana kwangu"

"Nikiwa na Chelsea siku zote nilikimbia zaidi na nikiwa na Brighton karibu kila mara tulikuwa tunabaki na mpira muda mrefu, na Chelsea ilikuwa soka tofauti na tulilazimika kukimbia zaidi."


Moises Caicedo: "Tangu Februari wakala wangu aliajiri mtu ambaye anakagua mechi zangu na kile ninachopaswa kuboresha, jinsi ya kujiweka na kiakili"

"Ilisaidia kuniondoa shinikizo kwa sababu nilikuwa nikifikiria zaidi kuhusu 'walilipa pesa nyingi kwa ajili yangu lazima nifanye vizuri'

"Sikuwa makini, sikuonyesha kiwango changu, baada ya wakala wangu kumwajiri mtu huyo, nilianza kuimarika na kupata ujasiri zaidi"

"Yule mtu aliniambia "kama walikulipa kiasi hicho, ni kwa sababu wanajua thamani yako, na kuanzia hapo nilianza kujisikia vizuri, alinisaidia sana, kusema ukweli".

"Msimu ujao utakuwa mzuri sana!"

Mahojiano: (@Alfonso_Laso via @perro_chelsea)

View attachment 3036309
Tuliokuwa tunamsema poch tulionekana tunachuki😁😁😁 ndio maana mchezaj km galagher alionekana anaperfom sana kwa sababu style ya poch ilimfavour😂
 
Enzo Maresca: Hotuba yake ya kwanza

"Unapojiunga na klabu kama Chelsea, unajua ni klabu ya kushinda mechi na kubeba mataji

Ujumbe wa Enzo Maresca:

"Amini mchakato, amini wazo, kuwa nyuma ya timu. Kwa hakika tutafurahia safari. Kama ilivyo kwa kila klabu, kwa kila meneja, haitakuwa rahisi kwa sababu hakuna kitu rahisi. Lakini kwa hakika tuko sawa. tutafurahia safari yetu."

Enzo Maresca: "Kwangu, ni wazi tunahitaji kuunda haraka iwezekanavyo fikra na utamaduni sahihi, utamaduni ambao mashabiki wanaweza kujivunia. Hili ni muhimu sana.” [chelseafc]
Enzo Maresca:

"Niko hapa ni kwa sababu nina hakika kwamba kikosi ni kizuri sana na kimejaa vipaji. Jambo muhimu zaidi sasa ni kwamba tunaweza kuunda utamaduni sahihi unaotuongoza kwa msimu huu."
1720440211127.png
 
Tuliokuwa tunamsema poch tulionekana tunachuki😁😁😁 ndio maana mchezaj km galagher alionekana anaperfom sana kwa sababu style ya poch ilimfavour😂

Kuna siku nilisema hawa wachezaji wanaosema wako na Pochettino ilikuwa ni mkumbo tu, akishaondoka Pochettino watajitokeza wanaompinga.

Sasa ameanza Caicedo, atafuata Enzo maana naye kaadhiriwa sana na mfumo wa Pochettino. Halafu baadhi wa wale wa majeruhi nao wataongea.

Pochettino hakuwa ni kocha wa klabu kama Chelsea na ndio maana mashabiki wengi walimpinga

Yule alikuwa ni gaidi wa soka sio kocha

Kumbuka pia kuwa Kyle Walker alimzungumzia Pochettino kuwa mazoezi yake yanachosha na kusababisha majeruhi ila watu watasema majeruhi yalikuwepo kabla yake. Sawa lakini makocha wengi wanakuwa na mazoezi yasiyo rafiki na wachezaji na ndio maana wanakuwa na majeruhi mengi. PEP mbona yeye hana Majeruhi, Arteta na sasa tuna mbegu nyingine ya PEP naamini Enzo Maresca atamudu mazoezi bila majeruhi ya kijinga jinga

1720440451200.png
 
Mabadiliko makubwa katika idara ya Utendaji na Matibabu ya Chelsea:

▶️ Head of Performance Medicine = Craig Roberts
▶️ Head of Performance = Bryce Cavanagh
▶️ First Team Doctor = Stephen Lewis
▶️ Lead Performance Therapist = Meirion Jones
▶️ Head of Performance Insights = Richard Akenhead

1720444834453.png
 
Ieleweke kuwa Atlético Madrid ndio klabu pekee iliyosalia kuvutiwa zaidi na Conor Gallagher msimu huu wa joto.

Atléti wamewasiliana na Chelsea kwa ajili ya Gallagher kwa kuwa yeye ni mmoja wa majina katika orodha fupi.

Si mpango rahisi kama bado ni ghali - lakini nia ya Atlético ni ya kweli.

Maoni yangu

Wao wana Samu Omorodion wanamuuza ghali kweli kweli, Euro mil 70
Na sisi tuna Gallagher wanamtaka tunamuuza Euro mil 60

Si tubadilishane tu biashara ikaisha!

1720453958233.png
 
Enzo Maresca: Hotuba yake ya kwanza

"Unapojiunga na klabu kama Chelsea, unajua ni klabu ya kushinda mechi na kubeba mataji

Ujumbe wa Enzo Maresca:

"Amini mchakato, amini wazo, kuwa nyuma ya timu. Kwa hakika tutafurahia safari. Kama ilivyo kwa kila klabu, kwa kila meneja, haitakuwa rahisi kwa sababu hakuna kitu rahisi. Lakini kwa hakika tuko sawa. tutafurahia safari yetu."

Enzo Maresca: "Kwangu, ni wazi tunahitaji kuunda haraka iwezekanavyo fikra na utamaduni sahihi, utamaduni ambao mashabiki wanaweza kujivunia. Hili ni muhimu sana.” [chelseafc]
Enzo Maresca:

"Niko hapa ni kwa sababu nina hakika kwamba kikosi ni kizuri sana na kimejaa vipaji. Jambo muhimu zaidi sasa ni kwamba tunaweza kuunda utamaduni sahihi unaotuongoza kwa msimu huu."
View attachment 3036585
Hata Potter na Pochettino mlianza hivihivi, baadae mkaanza kuwaona kama ngedere
 
Hata Potter na Pochettino mlianza hivihivi, baadae mkaanza kuwaona kama ngedere
Uzuri sisi hatuna kuremba, nashangaa Arsenal wana kocha wa hovyo bado wanamchekea tu. Mwaka wa sita huu anazurura tu hakuna alichokifanya. Utofauti wake na hao akina Potter sijui ni upi?
 
Cucurella kacheza vizuri kwenye haya mashindano ya Euro 2024 lakini urefu unamuangusha sana
Pamoja na kuwa mfupi bado pia ni mzito kwenye kuruka
So setbacks zake kubwa ziko nne hivi

Udhaifu wake ni:
  1. Kucheza mipira ya juu anashindwa kuruka na ufupi unamkandamiza zaidi
  2. Maono kwenye kupiga pasi ni dhaifu, sehemu kubwa akipata mpira bado anawaza kurudisha nyuma hataka kama kuna wachezaji mbele wako kimkakati
  3. Akipitwa na mpira ni mzito wa kufukuza na hasa kama opponent wake ana mbio
  4. Bado sio hsarp kwenye kuamua wakati akiwa kwenye presure
Faida yake:
  1. Anapress sana na hiyo imemfanya kuwahi mipira ya hatari na kuokoa
  2. Anaingia vizuri sana kwenye kiungo na hivyo kusaidia viungo kutolemewa na kuongeza umiliki wa mpira
  3. Anaanza kuusoma mchezo na kuwepo kwenye nafasi ya kuokoa kwa wakatu muafaka
Tumuuze au tubaki naye msimu wa 2024/25?

1720559208787.png
 
  • Marc Cucurella ameonyesha utendaji mzuri katika mashindano ya Euro 2024, na kuisaidia timu ya taifa ya Uhispania kufika fainali ya Euro 2024.
  • Licha ya changamoto za urefu na kucheza mipira ya juu, Cucurella amekuwa muhimu katika ulinzi na kusaidia safu ya kiungo.
  • Uwezo wake wa kusoma mchezo na kuwa katika nafasi sahihi umemsaidia kufanya tackles muhimu na kuondoa mipira ya hatari golini.
  • Kwa kuzingatia mchango wake na maendeleo katika kinyang'anyiro hicho, Chelsea wanaweza kufikiria kumweka msimu wa 2024/25 kama sehemu muhimu ya safu ya ulinzi.

1720562702201.png
 
  • Marc Cucurella ameonyesha utendaji mzuri katika mashindano ya Euro 2024, na kuisaidia timu ya taifa ya Uhispania kufika fainali ya Euro 2024.
  • Licha ya changamoto za urefu na kucheza mipira ya juu, Cucurella amekuwa muhimu katika ulinzi na kusaidia safu ya kiungo.
  • Uwezo wake wa kusoma mchezo na kuwa katika nafasi sahihi umemsaidia kufanya tackles muhimu na kuondoa mipira ya hatari golini.
  • Kwa kuzingatia mchango wake na maendeleo katika kinyang'anyiro hicho, Chelsea wanaweza kufikiria kumweka msimu wa 2024/25 kama sehemu muhimu ya safu ya ulinzi.

View attachment 3038043
Asilimia kubwa left back ni wafupi na sio hodari wa mipira ya vichwa for me sioni hilo tatizo labda kama angekuwa anacheza beki wa kati ndio ingekuwa ni shida kubwa.
 
Asilimia kubwa left back ni wafupi na sio hodari wa mipira ya vichwa for me sioni hilo tatizo labda kama angekuwa anacheza beki wa kati ndio ingekuwa ni shida kubwa.
Nywele pia zinamlemea, angenyoa angeweza kuruka vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom