Calafiori wa Tandale au??
Taarifa nilizonazo ni kuwa Chelsea haikuwahi kuwa na jicho kwa Riccardo, Fabrizio aliingiza Chelsea makusudi ili Arsenal waingie mkenge wap[andishe beiKazina iliyoko ndai ya Renato Veiga💎
Jina: Renato Veiga
Kampeniu ya timu ya u20 ya Ureno
Klabu: FC Basel
Raia: Mreno
Nafasi: DM, CM, LB, CB
Mguu Unaopendelea: Kushoto
Urefu: 6'3"/190cm
Umri: 20
Nguvu: mwili wa kibaunza, mipira ya juu, pasi ndefu, recovery, tackling
Maneneo ya kufanyia kazi:: kufanya maamuzi, consistency
ArabiyoyoUrefu umekuwa sehemu ya tatizo la Chelsea kucheza vizuri mipira ya juu
Sasa uongozi umeliona hilo na wanajitahidi sana kuzingatia urefu kwenye usajili wa msimu huu
Tukiangaza kwenye ulizinzi wamesajiliwa mabeki wenye urefu wa mita 1.96 na 1.90
View attachment 3034823
- Tosin Adarabioyo (1.96M)
- Renato Veiga (1.90M)
Nadhan sahiv tunafanyw scouting iliyotulia hatufati mkumboUrefu umekuwa sehemu ya tatizo la Chelsea kucheza vizuri mipira ya juu
Sasa uongozi umeliona hilo na wanajitahidi sana kuzingatia urefu kwenye usajili wa msimu huu
Tukiangaza kwenye ulizinzi wamesajiliwa mabeki wenye urefu wa mita 1.96 na 1.90
View attachment 3034823
- Tosin Adarabioyo (1.96M)
- Renato Veiga (1.90M)
But kwanini wengi wao ni left footed?Nadhan sahiv tunafanyw scouting iliyotulia hatufati mkumbo
Chelsea ilikuwa inamtafuta CB au LB ambaye ni left footed. Enzo Maresca yeye anapenda wachezaji wenye kuweza kucheza nafasi nyingi na Huyu Renato Veiga anafit kabisa kwenye hiyo profile kwa sababu ana uwezo wa kucheza Nafasi ya DM, CM, LB, LCB na Left WingbackMbona tutakuwa na mabeki wengi sana ? , Hawa wengine watacheza wapi ? ,Au tuna mpango wa kuuza baadhi ya mabeki na viungo tulionao kwa sasa ?
Arabiyoyo
Je uwanjani usajili huo uta click???Nadhan sahiv tunafanyw scouting iliyotulia hatufati mkumbo
Huyu jamaa hajadanganya umri kweli?Renato Veiga anatarajiwa kusaini mkataba hadi 2032. Beki wa kati wa upande wa kushoto, beki wa kushoto au no.6 katika kiungo, anatarajiwa kutumika kama beki wa pembeni na anaonekana kuwa anafaa kabisa. Mfumo wa Enzo Maresca.
Inaonekana tunaunga mkono scout wetu kwa ununuzi wa busara badala ya kutumia pesa nyingi. Sio wazo mbaya, kwa sababu tayari tuna msingi thabiti wa kujenga. Kutumia €80m-€100m kununua mchezaji mmoja si lazima kwa wakati huu.
Kazina iliyoko ndai ya Renato Veiga💎
Jina: Renato Veiga
Kampeniu ya timu ya u20 ya Ureno
Klabu: FC Basel
Raia: Mreno
Nafasi: DM, CM, LB, CB
Mguu Unaopendelea: Kushoto
Urefu: 6'3"/190cm
Umri: 20
Nguvu: mwili wa kibaunza, mipira ya juu, pasi ndefu, recovery, tackling
Maneneo ya kufanyia kazi:: kufanya maamuzi, consistency
Huu ununuzi ndio wenye tija sasa
Hongereni Chelsea
View attachment 3034434
Wazungu hawadanganyaji, labda sisi wanyamwezi na wamakondeHuyu jamaa hajadanganya umri kweli?
Umri mdogo pesa ndogo = risky ndogo kabisa kuliko tumnunue kama Lukaku yakatokea yaliyotokea, Sasa tunafikiria kumuuza Uarabuni baada ya kutufungia goli 8 tu mwaka mzima kwa mil 100 na ushenzi pamoja na mashara wa 300,000/week,Je uwanjani usajili huo uta click???
Ukweli usemweTaarifa nilizonazo ni kuwa Chelsea haikuwahi kuwa na jicho kwa Riccardo, Fabrizio aliingiza Chelsea makusudi ili Arsenal waingie mkenge wap[andishe bei
Taarifa zaidi nilizonazo ni kuwa Baada ya Ricardo kuuzwa kwenda .., Basel walimnunua Renato Veiga kama replacement ambaye ni mzuri zaidi ya Ricardo. Chelsea tumempata kwa mil 12 tu na yeye ana sifa nyingi nzuri kuliko huyo hyped Ricardo
Ukweli ni kwamba Chelsea hawakuwa na interest naye tangu mwanzo japo waliulizia taarifa zake. Taarifa za kwamba Riccardo anaitaka Arsenal tu sio za kweli na hizi ni propaganda za waandishi wa habari. Baada ya Arsenal kuonyesha nia na kwenda kwa mchezaji, mchezaji mdogo yeyote asiye na jina kama Riccardo asingeikataa Arsenal inayocheza ligi kubwa ya Uingereza, vinginevyo hata Chelsea tungeonyesha nia ya dhati tukaingia kidume, na sisi tungepewa greenlights kama hiyo mliyopewa ArsenalUkweli usemwe
View attachment 3035059
1. Basel iliuza Caliafiori kwa Bologna na kuingiza kifungu cha kupewa 50% ya mauzoUkweli usemwe
View attachment 3035059
Cavalho hakuwa mreno kweliMara ya mwisho kuwa na Mreno klwenye kikosi ukimuondoa Diego Moreira na Joao Felix ni
- Eduardo - Goalkeeper - 25.08.2016
- Raúl Meireles - Midfield - 31.08.2011
- Ricardo Quaresma - Attack - 02.02.2009
- Deco - Midfield - 01.07.2008
- Bosingwa - Defender - 16.07.2008
Naye ni mreno 2004-2010Cavalho hakuwa mreno kweli