lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Estavo na PAez ni usajili mzuri hawa wawili wakija kucheza na Palmer na Nkunku, na Mudryk akifuguka mbele atakuwa kabakia striker tu kwa miaka 10+ ijayoUsajili wa hovyo
Tutakuwa na kazi ya kushona viraka tu vya hapa na pale