Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,189
Huyu Estevao Willian ana uchezaji kama Neymar. Huyu dogo ni kipaji hasa na tutegemee makubwa zaidi kwake. Tumempata Willian mwingine ila aliye bora zaidi
Kwahiyo wewe mpaka sasa hivi unajivunia nini ? Kwa sababu msimu unaisha wore tumetoka patupu japokua na ubora uliokua nao.Kama kusoma hujui basi hata picha?
Nadhani baadhi ya mashabiki wa Chelsea hawaelewi kwa hakika ukubwa wa usajili huu au kiwango cha juu cha Estevão.NI BLUU
🔵 Kijana wa Brazil Estevão Willian ni mchezaji mpya wa Chelsea FC.
💰 Palmeiras itapokea zaidi ya Euro milioni 60 kwa kipengele cha mdororo wa uchumi.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 17 atajiunga na timu katikati ya 2025.
KITO 💎
View attachment 2992975
points 11Sheffield,Burnley,Brentford,Forest,Wolves
Amezaliwa tarehe 24 April 2007, January bado atakuwa na miaka 17. Hataruhusiwa kuingia Uingereza kucheza labda kama kutalii tu chini ya uangalizi wa wazazi au waleziSio katikati ya 2025 atajiunga January 2025
Unayo point. Ila mimi nilisoma hapaAmezaliwa tarehe 24 April 2007, January bado atakuwa na miaka 17. Hataruhusiwa kuingia Uingereza kucheza labda kama kutalii tu chini ya uangalizi wa wazazi au walezi
Tarehe 1 January atakuwa na umri wa miaka 17, miezi 8 na siku 8
Tarehe 24 April 2025 ndio anafikisha miaka 18
Sioni dalili zs poch kufukuzwapoints 11
tungeshinda tungekuwa sasa hivi ni 71 juu ya Aston Villa
Ndio maana kama Poche akiondolewa akawekwa bora kuliko yeye nitafurahi zaidi kuliko akibaki
Afukuzwe aende wapi?Sioni dalili zs poch kufukuzwa
Hili lishangazi lingefundisha timu ya wanaume msimu huu ni hakika tungecheza UEFA msimu ujaoHuyu ndio kocha sasa
View attachment 2993315
Ila akirudia alichokifanya msimu huu hatasamehewa msimu ujao, ameivuruga timu mwanzoni sana. Alilazimisha mbinu ambazo hazifanyi kaziSioni dalili zs poch kufukuzwa
Chilwell left wing😂Ila akirudia alichokifanya msimu huu hatasamehewa msimu ujao, ameivuruga timu mwanzoni sana. Alilazimisha mbinu ambazo hazifanyi kazi
Mimi nakuapia wachezaji wote wakirudi fit msimu ujao utaona atang'ang'ania combination za wachezaji ambazo hazifanyi kazi. Tusubiri tuone
Kama tukiendelea na huyo mashavu hakuna kitu chochote tutapata, ukiangalia hata msimu huu mechi tulizoshinda zimeisha tunasakwa msako, roho tumezishika mkononi.Sioni dalili zs poch kufukuzwa
Leo umeongea point kubwa sana mkuuHili chama letu Lina makinda wa kutosha Sasa ni wakati wa kucheki mafaza hata wawili watatu ili kuleta ushindani kwenye kikosi. Kuwa na ma kid tu sometime wanaeza zingua lakini wakiweno mafaza hapoa kati mfano wa madirid Wana Kroos na yule mkoreshya hapo kiungo inakuwa stable. Msimu ujao ukimwacha Silva basi kuwe na mafaza hata wengine wawili wazoefu ili kuweka kikosi sawa.
Au munasemaje wakulungwa😀😀😀🖐️
lembu ndio anayempenda huyu kochaHa6a mliokua mnamlilia De Zerbi mkamchukue yuko free sasa