Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pochetino anaweza enda United , ,kuna gossip kwamba United wamefanya mazungumzo na representatives WA Pochetino .
Poch akienda United ,Trevor Chalobah na Ghalagher wanaweza enda kumfuata pia
 
Guess mechi ipi hiyo waneenda kutazama😂😂😁
 

Attachments

  • IMG_3140.jpeg
    IMG_3140.jpeg
    32.5 KB · Views: 7
Inaonekana sasa wamebaki hawa wawili
  1. Roberto De Zerbi
  2. Enzo Maresca
Kuna uwezekano asilimia 60+ Dezerbi akawa kocha wa Chelsea kwa sababi Eghbali ni mshabiki wake mkuu na yeye ndie mwenye kura ya veto
 
Kama De Zerbi atateuliwa kuwa Kocha wa Chelsea naam itakuwa tumeinunua kabisa Brighton
  1. 🔷 Roberto De Zerbi
  2. 🔷 Graham Potter
  3. 🔷 Billy Reid
  4. 🔷 Björn Hamberg
  5. 🔷 Bruno Saltor
  6. 🔷 Ben Roberts
  7. 🔷 Kyle McCauley
  8. 🔷 Paul Winstanley
  9. 🔷 Robert Sánchez
  10. 🔷 Marc Cucurella
  11. 🔷 Moisés Caicedo
  12. 🔷 Sam Jewell
 
Enzo Maresca anapendelea Premier League kuliko ligi nyingine yoyote licha ya kuwepo ofa kutoka kwa Sevilla, ambazo tayari zimekataliwa.

Anasubiri uamuzi wa Chelsea baada ya mazungumzo yaliyofanyika siku za hivi karibuni - RC ni karibu € 10m baada ya kupandishwa cheo.

Leicester City nao wanasubiri hilo.

1716755444142.png
 
Yale maandamano ya kupinga akina Thomas Frank kuwepo kwenye list haikufanyika
 
Habari mpya

Uongozi unamtaka Enzo Maresca
Behdad Eghbali anamtaka Robert Der Zerbi
 
Kocha wa zamani wa Brighton Roberto De Zerbi ndiye mgombea anayeongoza kwenye kibarua chakuifundisha Chelsea.

Mdadisi mmoja wa ndani ya klabu hiyo alimtaja Muitaliano huyo mwenye umri wa miaka 44 kama ‘kipenzi chake’ huku akifikiriwa kuwa alama zote za kwenye masanduku ambayo Chelsea wanatafuta zimetiki, ingawa hakuna kilichokamilishwa hadi sasa.
@kierangill_DM

1716756622421.png
 
Napoli ilituma pendekezo la mkataba kwa Antonio Conte kwa mkataba utakaodumu hadi Juni 2027 kwa ajili ya mshahara wa rekodi ya klabu.

Maelezo muhimu yatajadiliwa wiki ijayo na de Laurentiis, bado yuko Napoli siku ya Jumatatu kwa hafla ya umma.

Conte, amekuwa wazi kwa kazi ya Napoli na alifurahishwa na mradi huo.

@Fabrizio Romano

1716764832256.png
 
Hivi kwa nini wakurugenzi wa michezo huwa wanajua tu kweli kocha gani wanaemuhitaji??

Vilabu vyote vikubwa huwa na kocha maalum wanaemtaka hakuna haja ya kushortlist makocha ndio yale yale unaenda chagua kocha mbov kisa amekuimpress kwenye interview.
 
Remember when €120M 'Flop' Enzo Fernandez taunted Mason Mount earlier this season for leaving Chelsea? Fast forward...

— Mason Mount WON the FA CUP with United while Enzo lost the Carabao Cup with Chelsea and he'll be playing conference league next season.

We had the last laugh 😂
1716793841777.jpg
 
Hivi kwa nini wakurugenzi wa michezo huwa wanajua tu kweli kocha gani wanaemuhitaji??

Vilabu vyote vikubwa huwa na kocha maalum wanaemtaka hakuna haja ya kushortlist makocha ndio yale yale unaenda chagua kocha mbov kisa amekuimpress kwenye interview.
Kiukweli kocha huwezi kumshortlist au kumhoji sana kwa sababu profile zao zinajulikana mpaka personalities zao zinajulikana.
Na hii ndi sababu kuu hawamleti kocha anayefaa. Wanamfanyia usaili kama muuza duka

Too much analysis leads to paralysis
Uchambuzi mwingi huza mapooza
 
Remember when €120M 'Flop' Enzo Fernandez taunted Mason Mount earlier this season for leaving Chelsea? Fast forward...

— Mason Mount WON the FA CUP with United while Enzo lost the Carabao Cup with Chelsea and he'll be playing conference league next season.

We had the last laugh 😂View attachment 3000389
YES, Mount is a coward, hakuna jina jingine hata kama mmeshinda hicho kikombe cha mbuzi
 
Remember when €120M 'Flop' Enzo Fernandez taunted Mason Mount earlier this season for leaving Chelsea? Fast forward...

— Mason Mount WON the FA CUP with United while Enzo lost the Carabao Cup with Chelsea and he'll be playing conference league next season.

We had the last laugh 😂View attachment 3000389
Mwenzio ana kombe la dunia we unamtambia na FA!! Seriously?? Si wehu huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom