Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kipindi cha kwanza na Chelsea wanaongoza kwa 1-0 shukrani kwa bao hilo zuri kutoka kwa Moises Caicedo alilofunga akiwa katikati ya uwanja.

1716134532230.png
 
The way Chelsea wanavyocheza wanawaruhusu sana Bornemouth kuingia sana kwenye final third na eneo la penalti na kupiga mashuti. Marekebisho yasipofanyika tutafungwa kipindi cha pili na goli la kusawasisha ni kuwaruhusu Bornemouth wafunge la pili kutufanya turudi na. 7
Ukabaji wa Gallagher leo sio mzuri, mechi za nyuma alisaidia sana kwenye kukabana pia wachezaji wetu wanachelewa kurudi kuzuia wakienda kushambulia. Angekuwawepo Solanke leo tungelizwa
 
FT
Chelsea 2
Bornemouth 1
Kwa matokeo haya Chelsea atashiriki mashindani ya Ulaya msimu ujao
Man U akishinda FA Chelsea itashiriki UEFA Conference League
Man City akishinda FA, Chelsea atashiriki UEFA Europa League
Habari ndio hiyo
Haya mashindano itawaimarisha sana hawa young talents wetu
Uongozi unatakiwa tu sasa wabalance mahesabu yao ili tusipigwe na panga la UEFA Financial Fair Play
1716138996994.png
 
Salamu za kuagana kutoka kwa Thiago Silva:
“Nawapenda sana ninyi nyote. Nitawakukumbuka, kwaherini."
 
Ombi la Pochettino la kutaka udhibiti zaidi wa usajili wa wachezaji likubaliwe kwa sharti kwamba uwezo wake wa kufanya maamuzi utatathminiwa katika kipindi cha miaka mitatu. Ikiwa ataonyesha rekodi ya kufanya maamuzi yenye manufaa kwa timu katika vipengele hivi hapa chini, basi anapaswa kuongezwa mamlaka.

Maeneo hayo muhimu ni pamoja na
1) Kudumisha safu ya timu ambayo inakuza chemistry nzuri ya wachezaji na balance,
2) Kufanya subs wa kimkakati ambao unaweza kubadilisha matokeo ya mchezo,
3) Utekelezaji wa mbinu zinazozingatia mtindo wa kucheza wa mpinzani ili kupata ushindi,
4) Kurekebisha mfumo wa kucheza wakati unakabiliwa na wapinzani anayecheza vizuri zaidi ya Chelsea,
5) Kukuza vipaji vya vijana chipukizi wenye ujuzi maalum bila upendeleo wowote au ubaguzi.
 
Gwaride la heshima kwa Thiago Silva na familia yake leo
"Ndoto yangu ni kuona watoto wangu wakiichezea Chelsea"
“Nawapenda sana mashabiki wote. Nitawakukumbuka, kwaherini."

Kwaheri Silva, Chelsea LEGEND

 
Thiago Silva akilia wakati wa kuagwa kwenye gwaride la heshima katika uwanja wa Stanford. Bridge. Ajabu!!
1716143111853.png
 
Mi naona mildfield ya caicedo na Ghalagher ni bora kuliko ya enzo na caicedo au ninyi mnaonaje wadau ?
Caicedo akicheza na kibelenge Ghalagher anakuwa na uhuru wa kuzunguka na kucover eneo kubwa na kupiga hata pasi za kuassist kwenye magoli .
Enzo ni poor kwenye kukaba akicheza na Caicedo mzigo wa kukaba pale kati kati unakuwa mkubwa kwa Caicedo , hopefully msimu ujao tutaona pia na matumizi ya Lavia yatakuwaje , ila kama na Lavia naye akiclick kwenye formation na partnership ya mildfield basi tutatisha sana .
 
Ni vizuri tumepata mashindano mengi ya kushiriki , hii itakuwa chance nzuri ya hata watoto wadogo akina casadei , Washington ,estavao nk kuingia kwenye team na kuonyesha walichonacho .
Tatizo ninaloliona ni ujinga wa pochetino kushindwa kunyumbulika na kurespond kufix mapungufu anapokutana na wapinzani makini ambao wanabadilika badilika
 
Mi naona mildfield ya caicedo na Ghalagher ni bora kuliko ya enzo na caicedo au ninyi mnaonaje wadau ?
Caicedo akicheza na kibelenge Ghalagher anakuwa na uhuru wa kuzunguka na kucover eneo kubwa na kupiga hata pasi za kuassist kwenye magoli .
Enzo ni poor kwenye kukaba akicheza na Caicedo mzigo wa kukaba pale kati kati unakuwa mkubwa kwa Caicedo , hopefully msimu ujao tutaona pia na matumizi ya Lavia yatakuwaje , ila kama na Lavia naye akiclick kwenye formation na partnership ya mildfield basi tutatisha sana .
Hatuwezi kujua sana kwa sababu Enzo alikuwa akicheza akiwa na maumivu tangu January 2024. Alikuwa akimeza dawa za maumivu na kuingia uwanjani kwa sababu ya hernia aliyokuwa nayo. Kwa sababu sasa kafanyiwa Surgery

"Tusubiri tuone

Tukumbuke pia kuwa Pivot ya Galagher na Caicedo ilikuja wakati mmoja na tweak ya Cucurella kuingilia midfielder kucheza akiwa inverted LB na ilioneka kufanya kazi na ndio maana tumeshinda mechi nyingi kwa hiyo tweak.

Maybe hiyo tweak ikiendelea kuwepo wakati wa Enzo na Caicedo inaweza kuwa nzuri zaidi

Ila point nyingine ya kutambua ni kwamba Gallagher ni mzuri kwenye kukaba zaidi ya Enzo

Tuombe Mungu Pochettino afanye maamuzi yenye tija msimu ujao kama ataendela kuwepo
 
Ni vizuri tumepata mashindano mengi ya kushiriki , hii itakuwa chance nzuri ya hata watoto wadogo akina casadei , Washington ,estavao nk kuingia kwenye team na kuonyesha walichonacho .
Tatizo ninaloliona ni ujinga wa pochetino kushindwa kunyumbulika na kurespond kufix mapungufu anapokutana na wapinzani makini ambao wanabadilika badilika
Nadhani Estavo na Paez watakuja baada ya msimu ujao, Estavo anaweza kuja mapema zaidi ila sio kabla ya Aprili 24, 2025
 
Nadhani Estavo na Paez watakuja baada ya msimu ujao, Estavo anaweza kuja mapema zaidi ila sio kabla ya Aprili 24, 2025
Hawa madogo waje mapema tu ili tupange majeshi ya kueleweka na wazinguaji wanyang'anywe nafasi
Nina mashaka na Mudryk yaani potential aliyo nayo na performance ni vitu viwili tofauti sana , sijui nini kinamsibu huyu dogo .
Kumbuka tuna yule dogo Angelo na Santos pia ,kiufupi mzee tutatisha sana ulaya .
Kama hawa madogo watashine
 
Mi naona mildfield ya caicedo na Ghalagher ni bora kuliko ya enzo na caicedo au ninyi mnaonaje wadau ?
Caicedo akicheza na kibelenge ghalagher anakuwa na uhuru wa kuzunguka na kucover eneo kubwa na kupiga hata pasi za kuassist
Enzo no poor kwenye kukaba , hopefully msimu ujao tutaona pia na matumizi ya Kabisa yatakuwaje , ila kama na Lavia naye akiclick kwenye formation na partnership ya mildfield basi tutatisha sana .
Enzo alipoumia tumeshinda sana
 
Sababu ya kumfukuza ipo ila wewe hutaiona kwa sababu passion uliyonayo kwake ni kubwa sana
Mkuu timu yetu inahitaji kocha mtulivu anayeweza kuendelea kuimprove viwango vya wachezaji na Poch ni kocha sahihi. Angalia Mudueke, Caisedo, Caragher, Palmer, etc. Hii siyo Chelsea ya zamani. Tusiishi kwenye illusion. Tuko kwenye ujenzi wa timu mpya tena kwa falsafa mpya kabisa. Makocha kama Conte, Tuchel, Mourinho hawakiwezi hiki kikosi

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom