Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa sababu kesho mnaogopa mtapigwa
Hapana. Sisi tutawapiga wale manyumbu. Ila mngefungwa, european dreams zenu zingeamuliwa na mechi ya mwisho. Nyumbu wakishinda na nyie msiposhinda, wanaenda ulaya wao.
 
Watu wanaomshambulia Jackson na kumuita takataka
Msimu wake wa kwanza akiwa na miaka 21 kwenda 22, ana magoli 17 na assists 5, EPL ni mara yake ya kwanza, mnataka nini zaidi kutoka kwake? nafasi alizokosa ni kwa vile yeye ni mzuri sana kwenye kukaa kwenye nafasi za kimkakati za kufunga mabao. Hizo kosa kosa za kufunga mabao zikiisha msimu ujao au huo msimu mwingine, Jackson atakuwa ni mshambuliaji wa kufunga mabao 20+ na Asists 10+ kila msimu. wekeni haya maneno kumbukumbu

Sasa turudi kwenye ukweli, nani katika hawa hapa ndio usajili mzuri msimu huu?

1715454417237.png
 
Hapana. Sisi tutawapiga wale manyumbu. Ila mngefungwa, european dreams zenu zingeamuliwa na mechi ya mwisho. Nyumbu wakishinda na nyie msiposhinda, wanaenda ulaya wao.
Nkunku mzima
James mzima
Gusto mzima
Colwill mzima
Sterling aliyezaliwa upya mzima
Mechi zote mbili point 6 na kufikisha 63 ambazo Mbolea haitafikisha, Newcastle asipoangalia atadrop point hapo na Europa tunakwenda mwakani
 
Nkunku mzima
James mzima
Gusto mzima
Colwill mzima
Sterling aliyezaliwa upya mzima
Mechi zote mbili point 6 na kufikisha 63 ambazo Mbole haitafikisha, Newcastle asipoangalia atadrop point hapo na Europa tunakwenda mwakani
Itakuwa vema ikiwa hivyo. Pochettino amepata stress sana na nyie. Angalau apate vimichuano vya ulaya
 
Itakuwa vema ikiwa hivyo. Pochettino amepata stress sana na nyie. Angalau apate vimichuano vya ulaya
Sisi tukidondokea europa au conference ni kubeba tu hatujui Sevilla na genge lake yupo au hayupo tunatembeza rungu hadi mshindo mzito wa kubeba hatuna maksihara na michuano hii
 
Tukumbushane tu kwamba
Palmer anaongoza pamoja na Ollie Watkins kwenye kuchangia ufungaji wa magoli mengi Premier League:
  1. Cole Palmer - 31
  2. Ollie Watkins - 31
  3. Erling Haaland - 30
  4. Mohamed Salah - 28
  5. Heung min Son - 26
1715476189662.png
 
Kuna watu humu walitaka James auzwe kisa Agusto ana perform vizuri si umeona class aliyonayo James nachomkubali huyu jamaa hata kama katoka injuries akirudi tu haitaji mechi nyingi au chache arudi kwenye kiwango chake hii tofauti sana na Benchillwel
 
Kuna watu humu walitaka James auzwe kisa Agusto ana perform vizuri si umeona class aliyonayo James nachomkubali huyu jamaa hata kama katoka injuries akirudi tu haitaji mechi nyingi au chache arudi kwenye kiwango chake hii tofauti sana na Benchillwel
Waliokuwa wanataka auzwe sio kwa sababu Gusto ni mzuri ila kwa sababu majeraha ya James imefikia wakati mashabiki wakakata tamaa naye

Sasa amerudi amefanyiwa operesheni tuombe Mungu kuwa tatizo lake la misuli limeisha
 
Hawa chini ni wachezaji tuliotegemea wacheze vizuri jana ila hawakuweza kucheza vizuri kama kawaida yao
  1. Malo Gusto
  2. Noni Madueke
  3. Conor Gallagher
  4. Marc Cucurella
  5. Benoit Badiashile
  6. Hata Nkunku alipoingia hakucheza vizuri sana
Wacheza waliocheza vizuri na kuibeba timu jana ni
  1. Cole Palmer kama kawaida yake
  2. Rahim Sterling
  3. Reece James
  4. Moises Caicedo
 
Koio izoo game mbili tukishinda na izoo mbanga nyingine zikapigwa sisi tunaenda Europa kabisa😀😀😀😂😂
 
Ndugu naombeni ufafanuzi kidogo ila kwa uwelewa wangu najua Chelsea ikishika nafasi ya 6 haiwezi kwenda Ueropa league itaenda Conference cup hata kama Man city atachukua kombe la FA kwasababu nafasi ya Europa league ipo moja tu ambayo ni nafasi ya 5 ambayo sisi hatuwezi kuifikia.Kwanini Europa league inachukua nafasi ya tano pekee ni kwasababu league ya uingereza point zake zimeshuka baada ya team zake kutofanya vizuri kwenye miaka ya hivi karibuni kwenye michuano ya Ulaya.kama sipo sawa nisahihisheni
 
Upo
Ndugu naombeni ufafanuzi kidogo ila kwa uwelewa wangu najua Chelsea ikishika nafasi ya 6 haiwezi kwenda Ueropa league itaenda Conference cup hata kama Man city atachukua kombe la FA kwasababu nafasi ya Europa league ipo moja tu ambayo ni nafasi ya 5 ambayo sisi hatuwezi kuifikia.Kwanini Europa league inachukua nafasi ya tano pekee ni kwasababu league ya uingereza point zake zimeshuka baada ya team zake kutofanya vizuri kwenye miaka ya hivi karibuni kwenye michuano ya Ulaya.kama sipo sawa nisahihisheni
Upo sahihi, ligi zilizopewa pointi nyingi ni Ujerumani, Italy na Spain
 
Ndugu naombeni ufafanuzi kidogo ila kwa uwelewa wangu najua Chelsea ikishika nafasi ya 6 haiwezi kwenda Ueropa league itaenda Conference cup hata kama Man city atachukua kombe la FA kwasababu nafasi ya Europa league ipo moja tu ambayo ni nafasi ya 5 ambayo sisi hatuwezi kuifikia.Kwanini Europa league inachukua nafasi ya tano pekee ni kwasababu league ya uingereza point zake zimeshuka baada ya team zake kutofanya vizuri kwenye miaka ya hivi karibuni kwenye michuano ya Ulaya.kama sipo sawa nisahihisheni
Hapana
EPL itatoa timu mbili kwenye Europa
Nafasi ya 5 na 6 wanaenda moja kwa moja Europa Legue kama Man city atatshinda FA
Ikiwa Man United akishinda FA yeye ndie anaenda Europa na aliyeshika nafasi ya 5
Atakayehsika namba sita ataenda Conference kwa mtindo huu badala ya Europa na namba 7 hatashiriki Ligi yeyote ya Ulaya. Habari ndio hiyo

Kwa hiyo Chelsea tuombee Manure afungwe na City ili tuwe na uhakika wa kwenda aidha Europa au Conference

Reference

Which spots in the Premier League table get European qualification?​


Fifth place guarantees a spot in the Europa League group stage.

The team that finishes in sixth will play in the Europa League if Manchester City win the FA Cup, with the Europa Conference League spot moving down to seventh place.

If Manchester United win the FA Cup and finish sixth in the Premier League, they will qualify for the Europa League with the club in seventh going to the Conference League.

However, should Manchester United finish outside of the top six and defeat Manchester City in the FA Cup Final, United will go to the Europa League and the team finishing in sixth will be in the Conference League and whoever finishes in seventh will not qualify for Europe.

Which Premier League clubs could qualify for the 2024-25 Champions League, Europa League, or Conference Leagues?​

Arsenal, Manchester City and Liverpool have qualified for the Champions League via top-four finishes.

Aston Villa have one path left to the UEFA Champions League. They’ll qualify for the Champions League by finishing fourth and can clinch that by winning one of their final two games of the season.

Tottenham‘s only route to Europe is through the league table. Spurs can go to the Champions League by finishing fourth. The Europa League or Conference League would await should they not finish in the top four.

Newcastle United‘s only path to Europe is through the league table. They currently sit sixth, ahead of Chelsea on goal differential and three points clear of Manchester United. They cannot finish lower than eighth.

Chelsea can only reach the Europa League or Conference League through the league table. They cannot finish lower than eighth.

Manchester United can go to the Europa League by winning the FA Cup, and the league table is still a route to Europe as well. The Red Devils may go to the Conference League if they fail to win the FA Cup.

West Ham United, Brighton, Wolves, Bournemouth, Fulham, Brentford, Crystal Palace, Sheffield United, Burnley, Luton Town, Nottingham Forest, and Everton have been eliminated from contention for Europe.

 
Hapana
EPL itatoa timu mbili kwenye Europa
Nafasi ya 5 na 6 wanaenda moja kwa moja Europa Legue kama Man city atatshinda FA
Ikiwa Man United akishinda FA yeye ndie anaenda Europa na aliyeshika nafasi ya 5
Atakayehsika namba sita ataenda Conference kwa mtindo huu badala ya Europa na namba 7 hatashiriki Ligi yeyote ya Ulaya. Habari ndio hiyo

Kwa hiyo Chelsea tuombee Manure afungwe na City ili tuwe na uhakika wa kwenda aidha Europa au Conference

Reference

Which spots in the Premier League table get European qualification?​


Fifth place guarantees a spot in the Europa League group stage.

The team that finishes in sixth will play in the Europa League if Manchester City win the FA Cup, with the Europa Conference League spot moving down to seventh place.

If Manchester United win the FA Cup and finish sixth in the Premier League, they will qualify for the Europa League with the club in seventh going to the Conference League.

However, should Manchester United finish outside of the top six and defeat Manchester City in the FA Cup Final, United will go to the Europa League and the team finishing in sixth will be in the Conference League and whoever finishes in seventh will not qualify for Europe.

Which Premier League clubs could qualify for the 2024-25 Champions League, Europa League, or Conference Leagues?​

Arsenal, Manchester City and Liverpool have qualified for the Champions League via top-four finishes.

Aston Villa have one path left to the UEFA Champions League. They’ll qualify for the Champions League by finishing fourth and can clinch that by winning one of their final two games of the season.

Tottenham‘s only route to Europe is through the league table. Spurs can go to the Champions League by finishing fourth. The Europa League or Conference League would await should they not finish in the top four.

Newcastle United‘s only path to Europe is through the league table. They currently sit sixth, ahead of Chelsea on goal differential and three points clear of Manchester United. They cannot finish lower than eighth.

Chelsea can only reach the Europa League or Conference League through the league table. They cannot finish lower than eighth.

Manchester United can go to the Europa League by winning the FA Cup, and the league table is still a route to Europe as well. The Red Devils may go to the Conference League if they fail to win the FA Cup.

West Ham United, Brighton, Wolves, Bournemouth, Fulham, Brentford, Crystal Palace, Sheffield United, Burnley, Luton Town, Nottingham Forest, and Everton have been eliminated from contention for Europe.

Shukrani mkuu kwa ufafanuzi
 
Upo sahihi, ligi zilizopewa pointi nyingi ni Ujerumani, Italy na Spain
Hapana,

UEFA walichoongeza ni Performance Spot mbili tu kwenye UCL ambapo ligi ambayo klabu zake zimefanya vizuri kwa kubeba performance points nyingi ndizo zitapewa nafasi moja zaidi.
Kwa utaratibu huu timu zilizofanya vizuri kwenye UCL inayomalizikia msimu huu ni Italy ya kwanza na ikafuatiwa na Ujerumani. Spain wako nyuma ya England na Ufaransa kwa points, hawakufanya vizuri

Kwa upendeleo huu timu ya Atalanta iliyoshika nafasi ya 5 na Dortmund ya Ujerumani iliyoshika nafasi ya 5 ndizo zitakazoongezwa kwenye UCL msimu ujao mbali na zile timu nne za kwanza

EPL zitaenda nne kama kawaida

Europa na Conference hazikuadhiriwa na hii performance advantage

EPL zitaenda timu mbili kama kawaida na Conference moja

2023/24 association club coefficients
1. Italy
: 145.000 points / seven clubs = 20.714
2. Germany: 130.500 / seven = 19.357
3. England: 139.000 / eight = 17.375
4. France: 97.500 / six = 16.250
5. Spain: 126.500 / eight = 15.812
6. Belgium: 72.000 / five = 14.400
7. Czechia: 54.000 / four = 13.500

1715639317644.png
 
Hapana,

UEFA walichoongeza ni Performance Spot mbili tu kwenye UCL ambapo ligi ambayo klabu zake zimefanya vizuri kwa kubeba performance points nyingi ndizo zitapewa nafasi moja zaidi.
Kwa utaratibu huu timu zilizofanya vizuri kwenye UCL inayomalizikia msimu huu ni Italy ya kwanza na ikafuatiwa na Ujerumani. Spain wako nyuma ya England na Ufaransa kwa points, hawakufanya vizuri

Kwa upendeleo huu timu ya Atalanta iliyoshika nafasi ya 5 na Dortmund ya Ujerumani iliyoshika nafasi ya 5 ndizo zitakazoongezwa kwenye UCL msimu ujao mbali na zile timu nne za kwanza

EPL zitaenda nne kama kawaida

Europa na Conference hazikuadhiriwa na hii performance advantage

EPL zitaenda timu mbili kama kawaida na Conference moja

2023/24 association club coefficients
1. Italy
: 145.000 points / seven clubs = 20.714
2. Germany: 130.500 / seven = 19.357
3. England: 139.000 / eight = 17.375
4. France: 97.500 / six = 16.250
5. Spain: 126.500 / eight = 15.812
6. Belgium: 72.000 / five = 14.400
7. Czechia: 54.000 / four = 13.500

View attachment 2989626
Asante kwa ufafanuzi mzuri, lakini ukiangalia Spain wao wanapeleka timu mbili kwenye Europa League achilia mbali Conference League...kwanini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom