Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mudryk kwenye Instagram:

"Kwa bahati mbaya msimu wangu umekwisha, asante kwa jumbe zako zote, najisikia vizuri, tuonane msimu ujao the blues"
1715862593354.png
 
Mmechelewa. Timu imekuja kukaa sawa muda ushaenda. Endeleeni kumwamini pocc msimu ujao kutakuwa na matumaini.
Zile signing za Mudrky, Caicedo, Jackson, Disasi, Mukieli nk zilikuwa na matumaini ambayo yamekuja kuonekana mwishoni.
Msimu ujao baada ya Arsenal kujikatia tamaa mtakuwa kwenye kundi la kupambania ubingwa...
Kama kocha atabaki kuwa huyo mashavu, msimu ujao tujiandae kuangalia mechi pembeni tuna panadol, hedex, dawatatu hata na madrip kabisa. Hakuna kocha humo.
 
NI BLUU

🔵 Kijana wa Brazil Estevão Willian ni mchezaji mpya wa Chelsea FC.

💰 Palmeiras itapokea zaidi ya Euro milioni 60 kwa kipengele cha mdororo wa uchumi.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 17 atajiunga na timu katikati ya 2025.

KITO 💎

1716000696437.png
 
Je, ni mechi gani kati ya 1-12 ambazo Chelsea ilivuruga na kupoteza pointi zisizo za lazima.
1716000658135.png
 
Baada ya mda kuna watu wataanza kuwapinga hawa watoto

Paez,Estevao,Palmer wapinzani hawako tayari wanaomba project fail.

Miaka michache ijayo tutatawala Inshaallah
 

Attachments

  • IMG_3014.jpeg
    IMG_3014.jpeg
    482.3 KB · Views: 8
Hili chama letu Lina makinda wa kutosha Sasa ni wakati wa kucheki mafaza hata wawili watatu ili kuleta ushindani kwenye kikosi. Kuwa na ma kid tu sometime wanaeza zingua lakini wakiweno mafaza hapoa kati mfano wa madirid Wana Kroos na yule mkoreshya hapo kiungo inakuwa stable. Msimu ujao ukimwacha Silva basi kuwe na mafaza hata wengine wawili wazoefu ili kuweka kikosi sawa.

Au munasemaje wakulungwa😀😀😀🖐️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom