Carlo Ancelotti:
“Kosa wanalofanya makocha wa kizazi kipya ni kuwapa wachezaji maelekezo mengi wachezaji kwenye mchezo wakiwa wanamiliki mpira.
Hii inaondoa ubunifu. Ni jambo moja muhimu kumuelekeza mchezaji kujiweka kwenye nafasi nzuri timu ikiwa haina mpira, hapo lazima utoe maelekezo mengi, kwa sababu kama mchezaji hana mpira anatakiwa kuwa makini sana, ni concetration inatakiwa hapa, anatakiwa kujitoa sadaka sana na kucheza kama timu kwa pamoja.
Lakini timu inapokuwa na mpira, hapo kinachohitajika ni ubunifu wa mchezaji. mfano, Ikiwa Vinicius au Rodrygo wanajisikia raha zaidi kufungua zaidi kwenye winga wakati timu ina mpira, sitawaambia wakae ndani; kwa sababu ni tafsiri ya mtu binafsi ya mchezo.
Sifanyi hivyo, kwa sababu sitaki kuondoa ubunifu wa mchezaji.”
View attachment 2986301