Kwa sababu kesho mnaogopa mtapigwaNyie kenge msiwaache hawa watoto. Mkizembea kidogo, manyumbu watawapita
Leo inverted LB ya Cucurella imekataa kutickUshindi muhimi japo hatukucheza vizuri
Tumelingana point na Newcastle huku zikibaki mechi 2
Next
Man Utd vs Newcastle
Brighton vs Chelsea
Jinsi alivyowatoka NF na Ile pasi ya ajabu sanaDaah huyu James angekua fit msimu mzima sijui ingekuaje
Cole Palmer huyu dogo asipopata majeraha na akamaintain hii form yake ya uchezaji , huyu dogo ni real talent .Wachezaji walio na mchango wa mabao 40+ duniani msimu huu.
• Kylian Mbappe
• Cole Palmer
• Harry Kane
• Erling Haaland
Je! unajua ni ajabu kiasi gani ili kuwa miongoni mwa wachezaji hao hapo juu katika msimu wako kamili wa kwanza kabisa?
Hongera Cole Palmer!
View attachment 2988274