Labda angesaidia lakini elewa pia tuliweza kuwadhibiti kwenye chances. Mambo yenu yaligoma siku ile, huku sisi mipira ambayo kwa kawaida isingekuwa goli, yalikuwa magoli. Mfano magoli ya Kai, la kwanza mpira ulimgusa kipa, siku ingine ingekuwa save. La pili siku ingine lingetoka nje au kipa angeokoa.
Magoli ya Ben White, la kwanza lingekuwa offside kama Saliba asingemzuia Enzo kutoka kwenye box na akaendelea kuwa last defender. La pili alikuwa anacross mpira ukaingia. Hatujui ingekuwaje angecross tu, je wapokeaji wangefunga?
Vyovyote vile naamini ile mechi ilikuwa lazima tuwafunge tu.