lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Jackson kumiss chance nyingi inàonyesha kwanza anajua kujiweka kwenye mkao wa kufunga- sifa nzuri ya kwanzaJamaa mpira anaujua, tatizo lake ubinafsi na stamina hana
Timu imemvumilia sana kwa ujinga wake
Pili: ànao uwezo wa kuhold mpirà na kuwachezesha wenzake
Tatu: ana uwezo mkubwa wa kupokonya mipirà kwenye final third
Nne: sio injury prone
Tano: ana umri mdogo, wachezaji wengi chini ya miaka 23 hawako vizuri hasa kwenye kufanya maamuzi. Kwa umri huo Jackson bado anao muda wa kukomaa na kuwa na faidà kubwa kwenye timu
Sita: Jackson anamudu kucheza vizuri nafasi nyingi za mbele kuanzia striker, LW, RW, No. 10, CAM etc
Saba: Jackson kashafunga mabao 16 na assists 6 hivi kwenye michuano yote kwa Chelsea
Tumpime msimu ujao na msimu wa tatu. Things will be all right