Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mudryk chini ya Arteta mngeimba poo,

Ila kwakuwa yuko chini ya kocha wa hovyo ni kumpotezea tu kipaji chake.
 

Attachments

  • IMG_2687.jpeg
    IMG_2687.jpeg
    139 KB · Views: 17
Leo tunacheza dhid ya Spurs ni mech muhim kama tunania yoyote ya kushiriki Europa msim ujao

Alama 3 za leo ni za muhim sana
 
Leo tunacheza dhid ya Spurs ni mech muhim kama tunania yoyote ya kushiriki Europa msim ujao

Alama 3 za leo ni za muhim sana
Na wao wanahitaji points tatu muhimu Ili wafufue matumaini ya kucheza UEFA...mwny nguvu ashinde
 
Mnapitia wakati mgumu sana. Leo 5 zinawahusu tena. Nawaombea mema sana leo ila naona kama ni ngumu sana kwa Chelkenge hawa kuwafunga spuds, hata kama mko nyumbani.
 
Tangu game ya Aston Villa 2nd half na leo mpaka mda huu tunapokuwa tunampira Cucurella anacheza kama Kiungo na hii inatupa advantage
 
2nd half naona kuna dalili za goal kurudi, ni kama hakuna chochote tunachokifanya
 
Hizi game za Burnley,Sheffield hizi game poch ujinga wake ndio ulifanya tupoteze point 4

Next VS West Ham
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom