Ngoja nicheke 😂😂😂 Palmer yupi unamzungumzia wa mbagalaTunawapiga halafu baada ya mechi Arteta atafanya mazungumzo na Palmer juu ya yeye kuvaa jezi nyekundu/nyeupe ya North London msimu ujao
Ngoja nicheke 😂😂😂 Palmer yupi unamzungumzia wa mbagalaTunawapiga halafu baada ya mechi Arteta atafanya mazungumzo na Palmer juu ya yeye kuvaa jezi nyekundu/nyeupe ya North London msimu ujao
huyo huyo 'ice cold' wenu. mwacheni dogo aje akae benchi pale arsenal aangalie angalie japo kuwa kwenye champions league kukoje kukojeNgoja nicheke 😂😂😂 Palmer yupi unamzungumzia wa mbagala
Ana umwa ila sio injuryKwahy Palmer anaumwa ðŸ˜ðŸ˜
Hivi Chilwell hapa alikua anafikiria nini kuchelewa kupiga cross?Ebu angalieni moja ya uchezaji wa Jackson pasi murtua kwenda kwa Chilwell ambaye alichelewa kupiga krosi kwa Sterling
View attachment 2970109
Yan nimeingia humu ili nitume picha kama hii
Kesho tunacheza na Arsenal nyumbani kwake halafu Jumamosi tunacheza Aston villa. Kama tutafanikiwa kushinda mechi zote hizi au moja wapo basi tunaweza panda mpaka juu ya Man Utd. Tushinde tu dhidi ya Arsenal
kesho ndo tutawafundishaa maana halisi ya footballKwani kesho ni mbali basi.....
Pochettino rasmi sasa ni mmiliki wa kiwanja cha Chelsea
View attachment 2970532
Stamford bridge hata wewe unaweza nunua hisa zakeToa maelezo yenye kujitosheleza
Unafki umeanza lini? 😄😄😄 kwetu umekuja kusema Chelkenge wanasema watatupiga nyingi. Nakuja huku kuwachimba biti nakuta umesema sisi tumesema tutawapiga nyingiArsenal kwenye Uzi wao eti wanasema watakupigeni nyingi.
FT:
Arsenal 1 - 2 Chelsea
Stamford bridge hata wewe unaweza nunua hisa zake
Ukiingia kwenye tovuti ya chelsea kuna form unadownload unajaza then unasubir confirmation
Stamford bridge iko chini ya CPO (Chelsea Pitch Owner) na hawa ndio wenyehaki na jina la Chelsea
Maendelezo yoyote ya uwanja au kuhama lazima hawa watu wakubali.
Manager wengi wanaokuja huwa wananunua hisa za uwanja tu nahis hata Tuchel na yeye ni mmoja ya wenye hisa kama sijakosea