verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,121
- 6,184
Wanasema ufupi unasababisha wafungweKwa hiyo huu uzi ni lawama na kulalamika tu ila mkija majukwaa ya timu zingine mnajitunisha 🤣🤣🤣🤣
Pathetic
Wachezaji wote takataka
Wanasema ufupi unasababisha wafungweKwa hiyo huu uzi ni lawama na kulalamika tu ila mkija majukwaa ya timu zingine mnajitunisha 🤣🤣🤣🤣
Pathetic
Pochetino ashabet😂 kwa combo ya badiashil n disasi
Muwaombee manure
alafu ndo wanatuona sisi ni wasumbufuKwa hiyo huu uzi ni lawama na kulalamika tu ila mkija majukwaa ya timu zingine mnajitunisha 🤣🤣🤣🤣
Pathetic
Huwa sizipendi post na comments za aina hii. Cole Palmer anachokifanya Chelsea sio hisani alisajiliwa ili afanye yale anayofanya. Sasa post za aina hii zitaanza kumfanya mchezaji ajione special zaidi ya wengine na kuota mapembe. Yan kwamba Chelsea ipo pale ilipo kwa sababu yake.. smh!!Bila mchango wa Cole Palmer wa mabao 29 kwenye Premier League, Chelsea wangekuwa kwenye eneo la kushushwa daraja 😬
Mauricio Pochettino amewataka wachezaji wake kuthibitisha kuwa sio tu 'Cole Palmer Football Club'.
Je, The Blues wamemtegemea sana nyota wao mchanga Cole Palmer kwenye ushindi wa mechi zake?
Leo kuanzia saa nne usiku tutajua pale Emirate
View attachment 2972086
Siku hizi umeacha kumtaja De ZerbiWatu wengi wanawabeza hawa watu
Arne Slot
Ruben Amorim
Xabi Alonso
Sebastin Hoeness wa Stuttgart
Hawa wote niliowataja nibora na wazuri kuliko kocha tulienae sasa Poch
Humu ndani watu washazoea majina makubwaWatu wana masihara. Hawaoni kazi anayoifanya? Kuitransform team kua ya ushindani, anasababisha hadi top talents za timu zigome kuuzwa zinabaki pale pale
De Zerbi yupo nimeweka macoach nje ya premier leagueSiku hizi umeacha kumtaja De Zerbi
Over 5.5Zitakuwa dakika 90 ndefu sana hizi
10 mins. Arsenal 1-0 Chel
Yamekuwa mungu ndie anaejua😂😂😂Daah Bediasheli kaanza.
Ila kiukweli tunachopitia ni Mungu ndio anajua
Nilishangaa mwenyeweMbona Jackson hajapewa red card aisee? Tayari mmeshaanza kubebwa nyie