Ndg kwanza tunazungumzia Kai wa sasa hivi sio yule wa Chelsea
Pili hata tukirudi nyuma Kai alichezeshwa nafasi zote za mbele,
CAM
LW
RW
Flase no. 9
Zote hizo alicheza
All in all hata alipokuwa Chelsea rate au frequencies za kukosa magoli sio kama ya Jackson
May be kwa sababu hawezi kujiposition vizuri kama Jackson, main agenda
Kama ukifuatilia kwenye EPL wachezaji wote wenye miss nyingi ni walke wanaojua kujiposition vizuri kwenye mkao wa kufunga magoli
Kwa hiyo mimi mchezaji anayekosa nafasi nyingi namuona kama ana potentia;l kubwa
Mfano Haaland ndie anaongoza kwa kukosa nafasi 30 hadi sasa
- Erling Haaland 30 misses
- Darwin nunez 25 misses
- Ollie Watkins 19 misses
- Nicolas Jackson 18 misses
- Alexander Isak 15 misses
Katika hiyo orodha niambieni takataka ni nani, Jackson ni moja wa forward wazuri sana kama mkiamua kuangalia kwa jicho la kimpira