Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

BLUES Ian Maatsen ni MALI SAFI na MTU WA MAANA SANA kwanini huyu kijana kaenda dortmond tutampoteza huyu
 
1713339558403.png
 
Simkubali sana Luiz Enrique lakini nadhani angekuwa bora mara 5 ya Pochettino kama angeletwa hapa Chelsea. Sasa hivi tungekuwa tupo kwenye namba 5 pale kwenye epl au hata top 4
1713343682091.png
 
Meza zote jana zilizpinduliwa, leo naona hakuna meza za kupindua ila naona giza nene kwa Arsenal na Man City

Bayern Munich wako nyumbani na hawana ligi tena, wamebakiwa na hili kombe tu. Ebu tuone hawa watoto wa Arteta watafanya maajabu gani leo pale Alianz Arena
 
🚨 RASMI SASA:
Baada ya Arsenal kutoka kwenye mashindano ya UEFA usiku wa leo

RB Salzburg kuingia sasa kwenye mashiundano ya Kombe la Dunia kwa vilabu.
  1. Manchester City,
  2. Chelsea.
  3. Real Madrid,
  4. Atlético Madrid.
  5. Bayern,
  6. Borussia Dortmund.
  7. Paris Saint-Germain.
  8. Inter,
  9. Juventus.
  10. Benfica,
  11. Porto.
  12. Salzburg.
1713389941990.png

1713388041676.png
 
Meza zote jana zilizpinduliwa, leo naona hakuna meza za kupindua ila naona giza nene kwa Arsenal na Man City

Bayern Munich wako nyumbani na hawana ligi tena, wamebakiwa na hili kombe tu. Ebu tuone hawa watoto wa Arteta watafanya maajabu gani leo pale Alianz Arena
Vilabu vyote vya Uingereza vimeondolewa kwenye Ligi ya Mabingwa ya UEFA 2023/24. Hata hivyo, vilabu mashuhuri PSG, Borussia Dortmund, Bayern Munich, na Real Madrid zimeibuka washindi na kusonga mbele kwa mchezo unaotarajiwa wa nusu fainali zitakazofanyika Mei 7, 2024. Hatua hii ya kusisimua itashuhudia PSG wakimenyana na Dortmund. , wakati Bayern Munich itamenyana na Real Madrid. Tia alama kwenye kalenda yako, kwani fainali ya UCL imepangwa kufanyika tarehe 1 Juni 2024.
1713391314895.png
 
Wakuu, mm sijaelewa inakuwaje mpaka tunacheza club world cup
Coefficient factor ya UEFA, Chelsea inayo kubwa kwa sababu ya kushiriki michuanoi ya UEFa mara nyingi na kujikusanyia alama nyingi
mfano
points zinatolewa hivi kwa UEFA teams
  1. Alama 2 kwa ushindi
  2. Pointi 1 kwa sare
  3. Pointi 4 za kufuzu kwa hatua ya makundi
  4. Alama 5 za kufuzu kwa Raundi ya 16
  5. Pointi 1 ya maendeleo kwa kila hatua ya shindano baada ya hapo
 
Nyie Kenge za darajani hivi mnataarifa kua leo saa 7:30 mpo dimbani mnakipiga na Mamacita?
Mtieni makwezi huyo kipara ngoto tukakutane fainali tuwapee kombe lenu.
1713617295173.jpg
 
Barcelona 0 - 1 Chelsea
UEFA Women Champion League Semi-final
 
Manshit tunamfumua ,halafu ninyi final ni bora Msiingize timu uwanjani la sivyo mtajua kilichomtoa manyoya kuku kishingo
Nyie wenetu sana, sisi Nyumbu wala hatuna baya na nyie tutawapea tu kombe lenu, kikubwa kazeni tu makalio mpite maana mkilegeza taco kidogo tu Manshit anawapitishia kono lake la sweta.
Ni dhereu kubwa sana Manshit kujibebea kila kombe analolitaka hapo Uingereza.
1713620248440.jpg
 
Man city vs Chelsea
FA Cup Semi-final

4-2-3-1

------------------Jackson---------------------

Palmer --------- Gallagher ------------ Madueke

------Enzo -------------------- Caicedo --------

Cucurella -------Silva-------Chalobah ------Gusto

SUBS
  1. Bettinelli
  2. Badiashile
  3. Disasi
  4. Gilchrist
  5. Chilwell
  6. Chukwuemeka
  7. Mudryk
  8. Sterling
  9. Washington
My opinion

Palmer kucheza winga wa kushoto ni ujinga, safari ya mwisho alipocheza huko hakuonekana kama angecheza kulia au namba 10
 
Man city vs Chelsea
FA Cup Semi-final

4-2-3-1

------------------Jackson---------------------

Palmer --------- Gallagher ------------ Madueke

------Enzo -------------------- Caicedo --------

Cucurella -------Silva-------Chalobah ------Gusto

SUBS
  1. Bettinelli
  2. Badiashile
  3. Disasi
  4. Gilchrist
  5. Chilwell
  6. Chukwuemeka
  7. Mudryk
  8. Sterling
  9. Washington
My opinion

Palmer kucheza winga wa kushoto ni ujinga, safari ya mwisho alipocheza huko hakuonekana kama angecheza kulia au namba 10
Kocha wetu anapenda kuforce mambo yote hayo kwasababu yakutaka wacheze wote Enzo, Caicedo na Gallagher
 
Jackson ni mchezaji mzuri ila inabidi aboreshe sana maamuzi yake katika nyakat sahihi mengine yote anayafanya vizuri ila linapokuja swala la maamuzi hapo tu ndio anapowakera watu
Jackson ni version nyeusi ya Kai Harvez, forward anaefika golini halafu anakosa maamuzi ya nini afanye huyo ni takataka kama takataka zingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom