Wachukue kiatu cha mfungaji bora wampatie tu Palmer,
Nimekumbuka msimu mmoja hivi, mechi ya mwisho ndiyo ilikuwa inaamua bingwa wa Ligi kuu kati ya Chelsea na Man Utd.
Chelsea walikuwa na mechi na Wigan...ushindi wowote Chelsea bingwa, penalty ikapatikana then Drogba akaenda akachukua mpira ili apige kwa ajili ya kuwania kiatu cha mfungaji bora ila Lampard akamnyanganya akimwambia subiri kwanza tutafute ubingwa ndipo tuamie kwenye kiatu.
Baada ya dk 90, Chelsea 7 Wigan 0...Tukawa mabingwa.
Sasa badala ya Madueke kumsaidia Cole kutafuta Kiatu cha ufungaji, yeye anamvuta shati...Shenzi kabisa.