lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Ukiacha assists ya leo magoli mengiune mawili ilikuwa juhudi ya Jackson, anakuwaje takataka, kwani kuna mchezaji asiye na kasoro?Jackson anakasoro zake ila Kuna mda mnamkosea heshima mule kuna mchezaji ni vile tu bado ajawa na maamuzi sahihi katika wakat sahihi ila vitu vingine vyote uwanjan huwa anafanya kwa usahihi
Bila kusahau ana 10goal epl katika msim wake wa kwanza