Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yani City leo yupo unga kweli naisi kwa sababu katoka kucheza jumatano ila hawa kima chelkenge wanavyocheza utoto pale mbele hadi unajiuliza wako mazoezini nini.
 
Chelsea ikicheza mashabiki wake wanapita mitaani huku wamevaa bikini na kutingisha makalio kama bata mzinga.
Kenge kabisa nyinyi.
1713636790346.jpg
 
Kocha wetu anapenda kuforce mambo yote hayo kwasababu yakutaka wacheze wote Enzo, Caicedo na Gallagher
Chelsea vs Man City kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA
Enzo hakutakiwa kucheza leo, ilitakiwa kuwa Sterling Palmer na Madueke wakitengeneza safu ya mashambulizi matatu nyuma ya Jackson. Lakini licha ya kila kitu, timu ilicheza vizuri sana. Ikiwa wataendelea kutumia fomu hii, tunaweza kupata na kupata nafasi katika nafasi ya 6 au 7.
 
Chelsea vs Man City kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA
Enzo hakutakiwa kucheza leo, ilitakiwa kuwa Sterling Palmer na Madueke wakitengeneza safu ya mashambulizi matatu nyuma ya Jackson. Lakini licha ya kila kitu, timu ilicheza vizuri sana. Ikiwa wataendelea kutumia fomu hii, tunaweza kupata na kupata nafasi katika nafasi ya 6 au 7.
Utoto unatucost sometimes ,sasa Jackson clear chance kama zile anatingisha kalio tu ,upewe clear chance zipi ili ufunge ?
 
Kwa game ya leo sina lawama kwa Poch, Tumecheza vizuri ila ni sisi wenyewe tumeshindwa kutumia nafasi zetu.


Next Vs Arsenal J5 (PL) a must win game katika mbio za kuwania Europa upande wetu

KTBFFH
 
Kuna watu wanadai Pochettino asilalamikiwe
Pamoja na kwamba tulicheza vizuri ila bado anastahili lawama

Jukumu la kupanga kikosi ni la Kocha. Ningekuwa katika nafasi yake, nisingemlazimisha Enzo kucheza lakini badala yake, ningemchagua Sterling upande wa kushoto, Palmer katikati, na Madueke upande wa kulia. Mbali na hayo, kila kitu kingine kilikwenda sawa. Safu ya kiungo na mabeki ilionyesha kubalance na utulivu mkubwa, na mpito mpira ulikuwa bora sana kuliko hata Man city. Walakini, umaliziaji wa Jackson kama kawaida yake, ulikuwa ni janga kubwa.
 
Kwa game ya leo sina lawama kwa Poch, Tumecheza vizuri ila ni sisi wenyewe tumeshindwa kutumia nafasi zetu.


Next Vs Arsenal J5 (PL) a must win game katika mbio za kuwania Europa upande wetu

KTBFFH
Mimi ninayo kidogo kama nilivyoeleza kule. Naona Enzo kalazimishwa kucheza
Sterling angeanza kushoto, Palmer katikati na Madueke kulia ingekuwa bora zaidi. Imefika wakati sasa Enzo awe anapumzishwa ili kuwapa wengine fursa na yeye akijiandaa kucheza fresh kwenye mechi zingine.
Kuna watu wanadai Pochettino asilalamikiwe
Pamoja na kwamba tulicheza vizuri ila bado anastahili lawama

Jukumu la kupanga kikosi ni la Kocha. Ningekuwa katika nafasi yake, nisingemlazimisha Enzo kucheza lakini badala yake, ningemchagua Sterling upande wa kushoto, Palmer katikati, na Madueke upande wa kulia. Mbali na hayo, kila kitu kingine kilikwenda sawa. Safu ya kiungo na mabeki ilionyesha kubalance na utulivu mkubwa, na mpito mpira ulikuwa bora sana kuliko hata Man city. Walakini, umaliziaji wa Jackson kama kawaida yake, ulikuwa ni janga kubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom