juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
hii sio game ya leo tu mkuuTatizo linaanzia kwenye midfield. Leo Gallagher amacheza chini anajikuta kaenda kushambulia kaacha gap nyuma
hii sio game ya leo tu mkuuTatizo linaanzia kwenye midfield. Leo Gallagher amacheza chini anajikuta kaenda kushambulia kaacha gap nyuma
Kuna mtangazaji amesema Jackson alikuwa anamzuia Madueke asimnyang'annye mpira Palmer, Ngoja tuonae replayHaya ndio mambo huwa tunayasema. Poch inabidi awaambie hawa wachezaji Palmer ndio mpigaj n 2nd taker ni madueke labda wao ndio waamue
Jackson ni mpuuzi hakuna haja kuonesha reaction ya vile Poor
Galagher leo ndio kasimama kama Captain- Good
Kuna haja ya Poch kulizungumzia hili swala.Nachukia hii hali ya kila mara penalti inagombewa. Mwisho wa siku watatwangana uwanjani hawa watoto wa Pochettino
Ni wajinga hao watoto,Nachukia hii hali ya kila mara penalti inagombewa. Mwisho wa siku watatwangana uwanjani hawa watoto wa Pochettino
Nooo. Jackson na yeye alitaka kupiga mpk Palmer akamsukuma huoni hata kusherehekea kwake kama hajarizikaKuna mtangazaji amesema Jackson alikuwa anamzuia Madueke asimnyang'annye mpira Palmer, Ngoja tuonae replay
Huwa nasema humu ni takataka moja ya hovyoJackson ni takataka
Jackson anakasoro zake ila Kuna mda mnamkosea heshima mule kuna mchezaji ni vile tu bado ajawa na maamuzi sahihi katika wakat sahihi ila vitu vingine vyote uwanjan huwa anafanya kwa usahihiJackson ni takataka
Jackson ni takatakaJackson anakasoro zake ila Kuna mda mnamkosea heshima mule kuna mchezaji ni vile tu bado ajawa na maamuzi sahihi katika wakat sahihi ila vitu vingine vyote uwanjan huwa anafanya kwa usahihi
Bila kusahau ana 10goal epl katika msim wake wa kwanza