Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

S
Yani nimekuambia Kai ameshinda goli la ushindi wa Kombe wewe unaleta habari za magoli ya ushindi wa Mechi?

Huna akili kabisa hata kwa Luton wachezaji wanafunga magoli ya ushindi wa mechi 🚮🚮
Sasa kijana kwani tyri ameshaondoka Arsenal Kiasi cha kusema hajatupa kombe lolote au hajatupa mafanikio UEFA...ww unazungumzia zilipendwa mm nazungumzia Hali ya Sasa Kiasi ligi inaendelea na bdo tupo UEFA...mbona unakuwa empty set kama wenzako kina Lembu na Mkohoti...halafu nilikuwa najuaga ww ni Livakuku kumbe ni Chelkenge🤠🤠🤠....basi ntakuwa naangalia cha kukujibu maana siwezi kusumbuana na mtu anavutana mashati na kina Fulham...ni upotevu wa muda na energy kwakwli
 
S

Sasa kijana kwani tyri ameshaondoka Arsenal Kiasi cha kusema hajatupa kombe lolote au hajatupa mafanikio UEFA...ww unazungumzia zilipendwa mm nazungumzia Hali ya Sasa Kiasi ligi inaendelea na bdo tupo UEFA...mbona unakuwa empty set kama wenzako kina Lembu na Mkohoti...halafu nilikuwa najuaga ww ni Livakuku kumbe ni Chelkenge🤠🤠🤠....basi ntakuwa naangalia cha kukujibu maana siwezi kusumbuana na mtu anavutana mashati na kina Fulham...ni upotevu wa muda na energy kwakwli

Mimi ni Arsenal

Kai hawezi kukupeni hata kombe la kuoga kwa mganga
 
Mimi ni Arsenal

Kai hawezi kukupeni hata kombe la kuoga kwa mganga
Chelkenge nishaanza kuwajua kwa comment zenu...zimekaa kichawichawi hivi na kukata tamaa...ila sishangai maana Hali yenu ni mbaya sana kiuhalisia....sasahivi mmebaki kupiga ramli tu🤠
 
Ligi ikiisha tutawaongezea aftatu ndugu zetu..na yule Jorginho tutawaongezea jero🤠🤠...mmeacha kumuuza reece James mzee wa namba ya kudumu wodini mkauza Jorginho mipasi...ama kwli Chelkenge ni vichaa
Kwa Kai pale mmepgwa.
 
Shefield United VS Chelsea FC

Chelsea formation: 4-2-3-1
Chelsea line up:
1712505213898.png


Subs:
  1. Bettinelli
  2. Sharman-Lowe
  3. Badiashile
  4. Gilchrist
  5. Chukwuemeka
  6. Casadei
  7. Sterling
  8. Mudryk
  9. Washington
 
Recruitment recruitment recruitment brighton wakeuza wachezaji wazuri na walioletwa bado + injury

Bayern inamatatizo mengi na wala sio swala la Kocha
Yan we jamaa huwa unanifurahisha sana. Lakini ngoja tu tuache kuyajadili haya maana kwa hakika hatutamaliza
 
Ushabiki kitu kibaya sana
Inamfanya mtu kuwa kip0ofu zaidi ya kipofu na kiziwi zaidi ya kiziwi
Mfano ni kama ww sasa🤠🤠...tatizo lenu mnataka kuaminisha watu kitu kilichofeli kwenu na kwa wenzako kiwe kinachukuliwa hvyohvyo...kitu ambacho sio sawa...wqchezaji wengi kwnu walionekana hawafai ila huko kwa wenzenu wamefanya vzuri na hilo hamtaki kabisa kulisikia
 
Shefield United VS Chelsea FC

Chelsea formation: 4-2-3-1
Chelsea line up:
View attachment 2956737

Subs:
  1. Bettinelli
  2. Sharman-Lowe
  3. Badiashile
  4. Gilchrist
  5. Chukwuemeka
  6. Casadei
  7. Sterling
  8. Mudryk
  9. Washington
Kukosekana kwa Gusto leo imewapa afadhali wapinzani. Disasi hawezi kutengeneza mashabulizi yaani ni CB anayecheza kulia
 
Marc Cucurella:

"Sisi kidogo ni timu isiyo thabiti, lakini tunahitaji kuwa na utulivu na kushinda kila wiki.

"Tuna mchezo muhimu (leo) kwa sababu ikiwa hatutashinda basi pointi tatu (dhidi ya United) ni bure."
Well said and Good Mentality
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom