Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

tunacheza dhidi ya sheffield ila hatuna control ya mchezo

Sio namna yoyote tukimaliza wa 6/7 hapa tutakaa hapa hapa 10/9
 
Tunaongoza ila hatuna control ya game
Wachezaji hawakabi, hawawezi kuruka wala hawapress. Ni Silva tu anaweza kuruka. Nikisema wachezaji wafupi naambiwa sio sababu. Niambiwe ni mchezaji gani pale anayeweza kuruka. Goli la pili ni wazi mpira wa juu umetuua
 
Kwa hiyo unataka kusema Potter ndiye aliisuka timu. Tutarudi pale pale
Potter aliweka foundation, brighton wameuza ila na wale walioletwa wengi wamekuwa na majeruhi

Hence RDZ analazimika kutumia wachezaji ambao either from academy.

Umeuza muhimili wa team Caicedo + McAlister kwa wakat mmoja unategemea nini
 
Leo Palmer hajatubeba
Sasa imagine tusingekuwa na Palmer Chelsea unadhani ingekuwa wapi kwenye table??😀😀😀😀😀😀
 
Wachezaji hawakabi, hawawezi kuruka wala hawapress. Ni Silva tu anaweza kuruka. Nikisema wachezaji wafupi naambiwa sio sababu. Niambiwe ni mchezaji gani pale anayeweza kuruka. Goli la pili ni wazi mpira wa juu umetuua
Mkuu hoja ya ufupi ni ya hovyoo.

Poch kwenye swala kujilinda ameshindwa na swala la Kucontrol game ameshindwa

Hata wakat wa Lampard tulikuwa tunaona wachezaj ni wafupi n mabeli ni wabovu alipokuja Tuchel defens ilikaaa sawa na hilo linakuka swala la Coaching
 
Angalia tulivyozidiwa

MASHUTI:

Sheffield United - 11 - Chelsea -6

MASHUTI KWENDA GOLINI:

Sheffield United - 6 - Chelsea - 3

NAFASI KUBWA ZILIZOTENGENEZWA:

Sheffield United- 3 - Chelsea - 1

MASHUTI NDANI YA BOX:

Sheffield United - 8 - Chelsea - 3

MIPIRA YA JUU ZILIZOFANIKIWA:

Sheffield United - 55 - Chelsea - 47

KONA

Sheffield United - 7 - Chelsea - 6
 
Mkuu hoja ya ufupi ni ya hovyoo.

Poch kwenye swala kujilinda ameshindwa na swala la Kucontrol game ameshindwa

Hata wakat wa Lampard tulikuwa tunaona wachezaj ni wafupi n mabeli ni wabovu alipokuja Tuchel defens ilikaaa sawa na hilo linakuka swala la Coaching
Hata kuruka kocha kawazuia
 
Leo Palmer hajatubeba
Sasa imagine tusingekuwa na Palmer Chelsea unadhani ingekuwa wapi kwenye table??😀😀😀😀😀😀
hawez kuwa na influenc ya game kama upande wake alikuwa Madueke, na yeye kucheza zaidi no 10 au kwenda LW
 
Wachezaji hawakabi, hawawezi kuruka wala hawapress. Ni Silva tu anaweza kuruka. Nikisema wachezaji wafupi naambiwa sio sababu. Niambiwe ni mchezaji gani pale anayeweza kuruka. Goli la pili ni wazi mpira wa juu umetuua
Mwenyewe umesema hawaruki,sasa ufupi unaingiaje hapo,au gori lilikuwa la kichwa?,Timu lako kiujumla bovu na sio linafungwa et sababu wachezaji wafupi
 
Hata kuruka kocha kawazuia
Coaching coaching mkuu
Angalia Arsenal wanvyodefend unahisi ni individual zile bali yote yanaanzia mazoezini na jinsi kocha alivyoisuka

Mkuu jaribu kuangali na ucompare Badiashile,Disasi,Colwill,Silva, kwenye urefu halaf compare Gabriel Meghalaes na Saliba ,White,Tomiyasy na Kiwior kwenye height halaf ulete hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom