Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,790
- 4,284
Wewe una ubongo wa mbu ,chelsea kamfunga Luton game zote mbiliCheltako kwa penat
Ngoja akutane na Luton sasa kuchezesha tu wowowo
Wewe una ubongo wa mbu ,chelsea kamfunga Luton game zote mbiliCheltako kwa penat
Ngoja akutane na Luton sasa kuchezesha tu wowowo
Umegonga kwenye msumari kabisaPalmer anaibeba Chelsea wakati hao wengine timu zao zinawabeba, sterling, Jackson wangekua clinical kutumia nafasi Palmer angekua na takwimu bora zaidi!
Hapo phiri foden
Ni mtazamo
Palmer anaibeba Chelsea wakati hao wengine timu zao zinawabeba, sterling, Jackson wangekua clinical kutumia nafasi Palmer angekua na takwimu bora zaidi!
Halafu kuna watu wanawalaumu akina Disasi japo wanastahili kidogo kwa sababu na wao ni wazito na hasa BadiashileTunaongelea ushindi ila midfield yetu haieleweki kucheza na enzo na Caisedo ni tatizo kubwa hakuna anayelinda back four ,hakuna anayenusa hatari wote unawakuta mbele huko gape ni kubwa kati ya midfields na mabeki wa kati ,jibu ya haya yote ni LAVIA ambaye ni mgonjwa 24/7
Cheltako kwa penat
Ngoja akutane na Luton sasa kuchezesha tu wowowo
Ni kama tuna bahati mbaya Lavia ,nkunku,fofana wote hawa wangeongeza quality kubwa ya kikosi cha kwanzaHalafu kuna watu wanawalaumu akina Disasi japo wanastahili kidogo kwa sababu na wao ni wazito na hasa Badiashile
Tunatakiwa kuwa na DM aina ya akina Makelele au Michael Osien. Pia tuwe na experienced CB angalau mmoja wa kucheza na Disasi. Nampenda Disasi kwa sababu ya mentality aliyonayo. Akicheza na CB bora na yeyye atakuwa hot
Halafu kuna watu wanawalaumu akina Disasi japo wanastahili kidogo kwa sababu na wao ni wazito na hasa Badiashile
Tunatakiwa kuwa na DM aina ya akina Makelele au Michael Osien. Pia tuwe na experienced CB angalau mmoja wa kucheza na Disasi. Nampenda Disasi kwa sababu ya mentality aliyonayo. Akicheza na CB bora na yeyye atakuwa hot
Wamechana ukweli akakasirika?
Ratiba inaweza ikawa inatubeba ila kiuhalisia hatuna uhakika.Tumetoutiana point 5 na Man Utd aliye nafasi ya 6. Kama tutashinda mechi ya Jumapili ugenini dhidi ya Sheffield tunabakisha point 2 huku tukiombea Man Utd apoteze dhidi ya Liverpool J2 hiyohiyo na hapo tutakua bado na kiporo cha mechi moja.
Maana yake ni kwamba nafasi ya kuingia top 6 bado ipo mkononi mwetu.
Kutokua na uhakika ndio mpira wenyewe. Ndio maana mwishoni nikasema ni swala la wachezaji na bench haya yapo mikononi mwao kutufurah8sha au kutukeraRatiba inaweza ikawa inatubeba ila kiuhalisia hatuna uhakika.
Yani mpaka game iishe. katika game za kushinda ndio unakuta tunadraw o tunapoteza
Kuna matahaira watakwambia SAKA.
Kuna matahaira watakwambia SAKA.
Na wameshakujaKuna matahaira watakwambia SAKA.