Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie kenge mpo?
Ahadi yetu ipo palepale tukinyanyua kwapa mwisho wa msimu tutawaongezea pesa kidogo maana hapa tuliwapiga
20240406_214113.jpg
 
Na wameshakuja
  • Saka yuko kwenye timu bora kabisa,
  • Yuko chini ya kocha mzuri
  • Ana uzoefu wa kucheza pamoja kama timu na bado kapitwa na Palmer
  • Je Palmer yuko chini ya kocha mbovu kabisa
  • Yuko kwenye timu ya watoto na wageni karibia wote
  • Je hayo yakibadilika na kuwa bora itakuwaje?
Mnajadili upuuzi gani huu?

Uwekewe Saka na Palmer kwenye kikosi chako utaanza kumpanga uyo Palmer?
Kenge hivi mna tofauti gani na manyumbu?
 
Mnajadili upuuzi gani huu?

Uwekewe Saka na Palmer kwenye kikosi chako utaanza kumpanga uyo Palmer?
Kenge hivi mna tofauti gani na manyumbu?
  • Cole Palmer - 33 G/A
  • Phil Foden - 31 G/A
  • Bukayo Saka - 30 G/A
  • Garnacho - 13 G/A
 
Madueke naye analeta kama za Sterling hapa. Kwa nini Pochettino asiweke strick policy kwenye set pieces specialists?

 
Hyu ni nani🤓🤓🤓....ameisaidia vipi timu mpk Sasa...ipo wapi....Kai magoli yy ametupeleka top of the table again...na j4 atatunyonyolea Bayern kuku vishingo
Pamoja na Palmer kuwa wa moto, bado wengi hawajaona kwamba Arsenal inahitaji wachezaji muhimu kama Saka lakini timu kama timu haina mchezaji tegemezi kwa magoli na assisits. Hawaoni sisi ndiyo tumefunga magoli mengi zaidi na kufungwa machache zaidi kwenye ligi wakati mchezaji wetu mmoja aliyepiga hat-trick, Nketiah, hata si muanzaji kwenye kikosi chetu.
 
Luiz Felipe Scolari:

“Siku moja niliingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo kuzungumzia mbinu, lakini nilipowaona Ronaldo, Kaka, Adriano, Roberto Carlos na Cafu mbele yangu, niliwaambia tu:

"Nenda uwanjani na uwe mwenyewe, nitakufahamisha ikiwa nitafanya mabadiliko yoyote."

1712436022857.png
 
Pamoja na Palmer kuwa wa moto, bado wengi hawajaona kwamba Arsenal inahitaji wachezaji muhimu kama Saka lakini timu kama timu haina mchezaji tegemezi kwa magoli na assisits. Hawaoni sisi ndiyo tumefunga magoli mengi zaidi na kufungwa machache zaidi kwenye ligi wakati mchezaji wetu mmoja aliyepiga hat-trick, Nketiah, hata si muanzaji kwenye kikosi chetu.
Ukweli usiopingika, kama Palmer angekuwa anacheza Arsenal angemzidi Saka mara mbili kwa ubora. Lakini kwa vile sasa anachezea timu inayojengwa na watoto, anaonekana hana contribution yeyote kwa timu inayoshika namba 9 kwenye ligi na hivyo Saka anakuwa bora kwa vile contribution yake imeiweka Arsenal juu kwenye ligi. Hayo ni mawazo potofu na ni mtu mwenye damu ya ushabiki tu atafikiri hivyo. Mchambuzi wa kweli wa soka anaweka pembeni ushabiki wakati wa kuchambua soka
 
Kati ya vitu ambavyo hatutajuta ni kumuuza Havertz na Mount. Walikuwa ni mizigo kweli kweli kwenye timu
Tulikuwa na akina Salah, Kelvin, Declan Rice, Jamal Musiala na bado Chelsea inao wengi watatoka na kuwika kwenye tim u zingine. Hii ndio ishara ya mti mzuri uliomea vizuri na kukomaa, huzaa matunda mazuri na kusambaza mbegu ili izae kwingineko
 
Kwa kweli sipati hizi kelele kuhusu Havertz kutoka kwa mashabiki wa Arsenal ambao sijui hata kama walikuwa wakimfuatilia alipokuwa huku Chelsea.

Sijaona chochote tofauti na yule Havertz wa Chelsea. Yuko kwenye timu bora iliyo dhabiti tu akijipachika humo humo kwa tubao tuwili tutatu hapa na pale. Sasa ana mabao 9 na assists 5 kwenye mechi 30 alizocheza. Sasa hapa kaongeza nini tuseme ukweli!

Tuchel alipoiimarisha Chelsea na kushinda UCL, alicheza kama mwanasoka world class kipindi hicho kwa kutufungia goli la ushindi na tulijawa na wazimu kweli kweli kwamba tumekula dume. Mara tu timu ilipoanza kuwa na matatizo, alirejea kwenye default, play as usual hadi tukamchoka kweli kweli.

Ni aina ya mchezaji anayepanda nyuma ya timu na wenzake. Hakuna la zaidi hapo. Haibebi timu au hajitokezi kubadilisha matokeo kama wanavyofanya wachezaji wa kaliba za juu.
1712441741161.png
 
Ligi ndio hiyo inaisha, ana goli 9 na assists 5, ebu tuambieni kaimarika wapi? Mna bebwa na UPEPO usiojulikana umetoka wapi. Havertz ni yule yule kama alivyokuwa Chelsea. Mkigundua kuwa tuliwapiga msije humu kulia lia maana pesa haturudishi
Tunabebwa na upepo ambao haujulikani umetoka wapi??🤣🤣🤣...are u serious mkuu....sasa naanza kuamini ww uwezo wako wa kufikiri ni mdogo kama Mkohoti....hqmna tofauti
 
Ligi ndio hiyo inaisha, ana goli 9 na assists 5, ebu tuambieni kaimarika wapi? Mna bebwa na UPEPO usiojulikana umetoka wapi. Havertz ni yule yule kama alivyokuwa Chelsea. Mkigundua kuwa tuliwapiga msije humu kulia lia maana pesa haturudishi
Mate 😎
20240406_223110.jpg
 
Tunabebwa na upepo ambao haujulikani umetoka wapi??🤣🤣🤣...are u serious mkuu....sasa naanza kuamini ww uwezo wako wa kufikiri ni mdogo kama Mkohoti....hqmna tofauti

Takwimu za Kai alipokuwa Chelsea hazina tofauti yoyote na za sasahivi ambazo yupo Arsenal. Hivyo hana alichoboresha.

Alifunga goli la Ushindi fainali ya Champion League akawapa Kombe. Hivyo ameshadeliver ndani ya Chelsea.

Kwa arsenal hajawapa chochote mpaka muda huu.

Sasa kujifanya ameshadeliver ndani ya Arsenal hamuoni kuwa munajitekenya na kucheka wenyewe?
 
Ukweli usiopingika, kama Palmer angekuwa anacheza Arsenal angemzidi Saka mara mbili kwa ubora. Lakini kwa vile sasa anachezea timu inayojengwa na watoto, anaonekana hana contribution yeyote kwa timu inayoshika namba 9 kwenye ligi na hivyo Saka anakuwa bora kwa vile contribution yake imeiweka Arsenal juu kwenye ligi. Hayo ni mawazo potofu na ni mtu mwenye damu ya ushabiki tu atafikiri hivyo. Mchambuzi wa kweli wa soka anaweka pembeni ushabiki wakati wa kuchambua soka
Huenda uko sahihi. Je, unadhani aina ya uchezaji wa Palmer akiwa Arsenal chini ya Arteta utakuwa sawa na aina ya uchezaji wake akiwa Chelsea chini ya Poch?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom