Tatizo mnamuweka Arteta kwnye meza moja na klopp na kipara, hapo ndipo mnapokosea na hapo ndipo tunatofautiana, hajatuprove chochote! pamoja nakupewa timu kw miaka mi4.Klopp ilimchukua misimu mingapiš¤ š¤ ..mbona unaongea kama fyuzi zimekata hivi kichwani....in almost 8 years ana EPL moja na UEFA moja...model ya Project ya Arsenal na Chelsea ni vitu viwili tofauti sisi tulikuwa na mizigo mingi aliyoikuta akaitoa yte akaleta watu kazi....asipobeba kombe kubwa in these 2 years then unaweza kuanza kumuuliza maswali magumu maana Kila kitu kapewa....halafu nikukumbushe tu kabeba hiko kikombe mlichomtoa Nyukesto kwa Penalt akiwa na beki ya kina Sokratis na David Luiz...sembuse Sasa ana Saliba na Malgalhaes pale nyuma...kaa kwa kutulia bwana mdgo show ndo imeanza rasmi
Na hawez kubeba kombe akitegemea vikina Martinel.
Sisi ni wabovu lkn nakuhakikishia Arse88 vs Chelsea, ni either chelsea ashinde au droo. nyie wenyewe mnafahamu kwnye timu ambazo mnazozihofia na chelsea pia imo. Ndio mana sina wasiwasi na nyie kuwepo pale juu.